kuruta ni mdudu
Member
- Dec 26, 2016
- 36
- 83
- Thread starter
- #21
Taratibu napata wasifu wako, endelea kidogoHicho cheti Cha BAKWATA kimetoka Saudi Arabia mkuu?
Taratibu napata wasifu wako, endelea kidogoHicho cheti Cha BAKWATA kimetoka Saudi Arabia mkuu?
Utakuwa ulipewa cheti fake...Maana cheti cha Ndoa kinatolewa na serikali kinapitia tu Kanisani ama Msikitini...Habari zenu wadau wenzangu.
Miaka michache iliyopita nilifunga ndoa ya kidini na nikapata cheti cha kidini(BAKWATA), kwa sasa nalazimika kupata cheti cha ndoa kutoka serikalini (kazini kinahitajika), naomba kujua utaratibu ukoje kwa mtu ambae tayari alishafunga ndoa na anahitaji cheti cha serikali na gharama zikoje?
Asanteni.
Huwezi kujua kila jambo, hata hivyo usilazimishe kuonekana kila kitu unakijuaUtakuwa ulipewa cheti fake...Maana cheti cha Ndoa kinatolewa na serikali kinapitia tu Kanisani ama Msikitini...
Hapana wadau BAKWATA nasikia wana vyeti vyao. Kuna zile ndoa za waislam unamuona binti asbh, mchana mntangaza uchumba jioni ndoa. Hapo shehe hatoi cheti cha serikali wana vyeti vyao vya kudanganyia.Cheti cha ndoa ni cha serikali, dini ni wakala tu wa kufungisha ndoa, kumbuka ndoa inayokubalika kwa mujibu wa sheria za ndoa ni mke mmoja, hivyo basi kwa waislamu mke wa kwanza tu ndiyo utapewa cheti cha ndoa cha serikali. Kumbuka kuwa mawakala wote wa kufungisha ndoa vyeti wanavyo, makanisani, misikitini na pia bomani.
Kuna vyeti vya Bakwata kama Bakwata, na kuna vyeti vya serikaliMkuu, nimesoma Comments zote na kutambua kuwa kuna uwalakini katika ufungishaji wa ndoa yenu.
Moja, kwa utambuzi na uhalali wa ndoa lazima cheti kitolewe na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia sehemu ulipopafungisha. Misikiti na makanisa ni Mawakala tu wa Serikali katika kukamilisha zoezi hilo.
Lakini huenda wengine hatuna mwanga nao. Sasa tunaimba utuambie kama BAKWATA wana vyeti vingine vya ndoa tofauti na hizo zinazotolewa na Serikali. Je, cheti hicho kinatolewa na nani?
Hii itatusaidia na pia kuondoa sintofahamu baina ya watu hapa wanaokuwa mwanga, ambao kimsingi wapo sahihi kabisa.
Kwa uzoefu wetu cheti cha ndoa cha dini au serikali ni kile kile cha jamhuri ya Tanzania. Ila tu kuna sehemu inaonyesha kuwa ni ndoa ya kikristu, ya kiislamu au ya kiserikali. Watu hawajaelewa imekuaje umepewa cheti tofauti na wengine? Tueleweshe mkuu hatujaelewa!Wakuu msiwe wabishi cheti cha Bakwata kwa sasa hakitambuliwi serikalini.Mimi ni mtumishi nina akili timamu msidhani hapa naandika kitu nisichokijua.
Kama mtu hujui namna ya kunielekeza ni vema ukatulia tu
Kama alivyosema mtoa mada nimegundua watu wengi mnacoment bila uelewa. MTU kashakwambia alipew cheti kisichotambuliwa hivi shida hapo nini nini kinawafanya msielewe?Mkuu, nimesoma Comments zote na kutambua kuwa kuna uwalakini katika ufungishaji wa ndoa yenu.
Moja, kwa utambuzi na uhalali wa ndoa lazima cheti kitolewe na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia sehemu uliyofungisha. Misikiti na makanisa ni Mawakala tu wa Serikali katika kukamilisha zoezi hilo.
Lakini huenda wengine hatuna mwanga nao. Sasa tunaomba utuambie kama BAKWATA wana vyeti vingine vya ndoa tofauti na hivyo vinavyotolewa na Serikali. Je, cheti hicho kinatolewa na nani? Je, kinafananaje?
Hii itatusaidia na pia kuondoa sintofahamu baina ya watu hapa wanaokuwa mwanga, ambao kimsingi wapo sahihi kabisa.
Kama ungeleewa uzi wangu basi usingeandika hayo, alafu nipo serious nahitaji msaada sasa kama hili jambo hulijui just relax uendelee kusoma comments za wenzetu.
Endelea kusubiri.Taratibu napata wasifu wako, endelea kidogo
Cheti cha Bakwata kazini wanataka cha serikali, cha Bakwata wanapokea ila hakina nguvu katika mambo kama uhamisho na maslahi ya mtumishi.Cheti ulichopewa na bakwata ndio hicho peleka huko kazini maana hicho ndio cheti cha ndoa kilichoidhinishwa na serikali, kama ww ni muislam utapewa na shekh alieidhinishwa na bakwata na kama ww ni mkristo utapewa padri aliekifungisha ndoa huko kanisani na kama ulifungia bomani yaana kwenye office ya mkuu wa wilaya/mkoa au kwa kada utapewa cheti nacho ni cha serikali. Basi usihangaike kutafuta cheti wakati unacho
Alipewa na nani cheti kisichotambuliwa? BAKWATA hawatoi cheti kisichotambuliwa.Kama alivyosema mtoa mada nimegundua watu wengi mnacoment bila uelewa. MTU kashakwambia alipew cheti kisichotambuliwa hivi shida hapo nini nini kinawafanya msielewe?
Jf vichwa ngumu mpo wengi
Labda hiyo siku uliooa walikupa fake, mimi pia nimefunga ndoa hiyo na nimepewa cheti na bakwata chenye muhuli wa serekali ya Kijiji pia. Hakuna cheti cha ndoa kisichoitambua uwepo wa serekali.Wakuu msiwe wabishi cheti cha Bakwata kwa sasa hakitambuliwi serikalini.Mimi ni mtumishi nina akili timamu msidhani hapa naandika kitu nisichokijua.
Kama mtu hujui namna ya kunielekeza ni vema ukatulia tu
Tatizo la binadamu ni kutaka kuonekana anajua kila jamboEndelea kusubiri.
Kama alipewa cheti cha kudanganyia hapo sawa.Hapana wadau BAKWATA nasikia wana vyeti vyao. Kuna zile ndoa za waislam unamuona binti asbh, mchana mntangaza uchumba jioni ndoa. Hapo shehe hatoi cheti cha serikali wana vyeti vyao vya kudanganyia.
Inawezekana siko sahihi kwa mujibu wa ndoa yako uliyofunga, lakini ukweli ni kwamba kwa mujibu wa sheria ya ndoa ya mwaka 1971 si kila MTU ana mamlaka ya kufungisha hadi pale atakapokuwa na leseni ya kufungisha ndoa ambayo inatolewa na msajili mkuu wa ndoa. Inawezekana aliyekufuñgisha ndoa hana leseni hiyo hivyo kutokuwa na kitabu cha vyeti vya ndoa ambacho kinaambatana na hiyo leseni.Wakuu msiwe wabishi cheti cha Bakwata kwa sasa hakitambuliwi serikalini.Mimi ni mtumishi nina akili timamu msidhani hapa naandika kitu nisichokijua.
Kama mtu hujui namna ya kunielekeza ni vema ukatulia tu
Kama wewe ni mtumishi wa serikali jiandae kutafuta cheti cha serikali.Labda hiyo siku uliooa walikupa fake, mimi pia nimefunga ndoa hiyo na nimepewa cheti na bakwata chenye muhuli wa serekali ya Kijiji pia. Hakuna cheti cha ndoa kisichoitambua uwepo wa serekali.
Baana e usituchoshe hapa.maswali unayoulizwa hutaki kujibu umebaki ooh mnajifanya mnajua.kama hutaki tukusaidie funga mjadala nenda huko RITA wakakusikilize.Tatizo la binadamu ni kutaka kuonekana anajua kila jambo![]()
Endelea na kazi utafute ugali wa familia, hili nililouliza wewe hulijui ndio maana unajibu kujifurahisha
Hakuna unachojua katika hili, unajichosha mwenyewe kutaka kucomment kila jambo hata usilolijuaBaana e usituchoshe hapa.maswali unayoulizwa hutaki kujibu umebaki ooh mnajifanya mnajua.kama hutaki tukusaidie funga mjadala nenda huko RITA wakakusikilize.
