Wana jamii Salaam,
Naomba kama kuna mwanajamii anatumia TTCL Mobile BroadBand ama ana habari juu ya huduma hii katika mji wa Kilosa huko morogoro anijuze juu ya ufanisi wake.
Natnguliza...
Jamani ninashughulika na uuzaji wa lab reagents,hospital equipments ,chemicals ,consumables and surgical equipments.
delivery ni mpaka kwa site yoyote within Tanzania
Guys and gals,
I offer the following services for those in the advertising industry, those with businesses or those in need of writing services.
Copywriting- coming up with attractive copy for...
For all geek talks, join me on ZANBYTES FORUM at the following URL http://forums.zanbytes.com/.This used to be Zanzibar Forum, but politics have been restricted on that Forums.May be there will be...
Jamani natafuta ushauri kuhusu injini ya aina ya 2LT ambayo ipo kwenye magari aina ya Toyota Prado. Injini hii nahisi haifai kwa mazingira ya joto au tropical climate kwani huwa haichelewi...
Magomeni hapajanichosha, ila kubadili mazingira si vibaya.
Natafuta kiwanja Mbezi Beach.
Gharama ya kiwanja 5 milioni TZsh, tunaweza kuzungumza vile vile.
Ukubwa wa kiwanja si ajenda kubwa...
Basi la shabiby limenusurika kutumbikia mto ruaha baada ya kupata tyre bust huko morogoro
kwa habari zaidi
nunua nipashe kesho
majeruhi wachache wako hospital
kuna lady 1 anauza gari yake so kaniomba niiweke hapa kama kutakuwa na mwenye interest nayo then wafanye biashara.
details
white toyota RAUM 2000 year of manufacture
1450 CC
85,000 km
options...
Wanajamii salamu!! naomba msaada wa taarifa. Ningependa kufahamu shule ambayo ina hostel au boarding school ambayo fee yake kwa mwaka is around TZS 1.5million.
Hii shule iwe good academically in...
Heri ya mwaka mpya wana JF wooote!
Wakuu natafuta Toyota Hiace Dungu (2L Engine) bajeti yangu ni finyu (M.7) lakini najua ndani ya JF hakishindikani kitu.
Naomba kisiwe kimeo sana maana...
Kuna rafiki yangu anatafuta nyumba ya vyumba viwili, sebule iwe master na jiko lake iwe na parking na gate maeneo ya kijitonyama. tuwasiliane kwa namba 0712 202320
A recently redeveloped modern property of four
bedrooms located in Ununio is available for rent.It is fenced . Decent and safe Neighbourhood. Ununio Beach is next to Bahari Beach. The House is...
Habarini wandugu.Nilibahatika kununua site hapo Kimara Kilungule na sasa imenishinda kwani nimepata mawazo ya kutafuta makazi Kigamboni na ninaiuza kwa yeyote aliye tayari.Ina ukubwa wa mita 20...
We are 34 days before the meeting of FODEM takes place.
What is FOSDEM?
FOSDEM is a free and non-commercial event organized by the community for the community. The goal is to provide Free...
A recently redeveloped modern property of four
bedrooms located in Ununio is available for rent.It is fenced . Decent and safe Neighbourhood. Ununio Beach is next to Bahari Beach. The House is...
Muda si mrefu mwanamziki wa Msondo Ngoma Josee Maina amefariki dunia ndani ya daladala alikuwa akienda kurecord Sinza.
Poleni ndugu wa marehemu pamoja na mashabiki wa Msondo Ngoma.
More news to...
Salaam sana
Tafadhili kama kuna mtu anayeweza kusaidia jinsi ya kudownload computer ant-virus au duka ambao naweza kununua kwa hapa Dar es salaam
Tafadhali naomba unisaidie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.