Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wana jamii Salaam, Naomba kama kuna mwanajamii anatumia TTCL Mobile BroadBand ama ana habari juu ya huduma hii katika mji wa Kilosa huko morogoro anijuze juu ya ufanisi wake. Natnguliza...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamani ninashughulika na uuzaji wa lab reagents,hospital equipments ,chemicals ,consumables and surgical equipments. delivery ni mpaka kwa site yoyote within Tanzania
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Guys and gals, I offer the following services for those in the advertising industry, those with businesses or those in need of writing services. Copywriting- coming up with attractive copy for...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
For all geek talks, join me on ZANBYTES FORUM at the following URL http://forums.zanbytes.com/.This used to be Zanzibar Forum, but politics have been restricted on that Forums.May be there will be...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani natafuta ushauri kuhusu injini ya aina ya 2LT ambayo ipo kwenye magari aina ya Toyota Prado. Injini hii nahisi haifai kwa mazingira ya joto au tropical climate kwani huwa haichelewi...
0 Reactions
18 Replies
7K Views
Magomeni hapajanichosha, ila kubadili mazingira si vibaya. Natafuta kiwanja Mbezi Beach. Gharama ya kiwanja 5 milioni TZsh, tunaweza kuzungumza vile vile. Ukubwa wa kiwanja si ajenda kubwa...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Basi la shabiby limenusurika kutumbikia mto ruaha baada ya kupata tyre bust huko morogoro kwa habari zaidi nunua nipashe kesho majeruhi wachache wako hospital
0 Reactions
4 Replies
2K Views
kuna lady 1 anauza gari yake so kaniomba niiweke hapa kama kutakuwa na mwenye interest nayo then wafanye biashara. details white toyota RAUM 2000 year of manufacture 1450 CC 85,000 km options...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Wanajamii salamu!! naomba msaada wa taarifa. Ningependa kufahamu shule ambayo ina hostel au boarding school ambayo fee yake kwa mwaka is around TZS 1.5million. Hii shule iwe good academically in...
0 Reactions
38 Replies
16K Views
Hey members! Natafuta mitsubish pajero GDI at 6.5m
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Heri ya mwaka mpya wana JF wooote! Wakuu natafuta Toyota Hiace Dungu (2L Engine) bajeti yangu ni finyu (M.7) lakini najua ndani ya JF hakishindikani kitu. Naomba kisiwe kimeo sana maana...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Kuna rafiki yangu anatafuta nyumba ya vyumba viwili, sebule iwe master na jiko lake iwe na parking na gate maeneo ya kijitonyama. tuwasiliane kwa namba 0712 202320
0 Reactions
7 Replies
2K Views
A recently redeveloped modern property of four bedrooms located in Ununio is available for rent.It is fenced . Decent and safe Neighbourhood. Ununio Beach is next to Bahari Beach. The House is...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habarini wandugu.Nilibahatika kununua site hapo Kimara Kilungule na sasa imenishinda kwani nimepata mawazo ya kutafuta makazi Kigamboni na ninaiuza kwa yeyote aliye tayari.Ina ukubwa wa mita 20...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
MARK II in good condition low mileage for Sale for 6,000,000 Shillings only.4 S Engine-
0 Reactions
4 Replies
2K Views
We are 34 days before the meeting of FODEM takes place. What is FOSDEM? FOSDEM is a free and non-commercial event organized by the community for the community. The goal is to provide Free...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kawawa kuzikwa leo jijini Dar es Salaam...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
A recently redeveloped modern property of four bedrooms located in Ununio is available for rent.It is fenced . Decent and safe Neighbourhood. Ununio Beach is next to Bahari Beach. The House is...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Muda si mrefu mwanamziki wa Msondo Ngoma Josee Maina amefariki dunia ndani ya daladala alikuwa akienda kurecord Sinza. Poleni ndugu wa marehemu pamoja na mashabiki wa Msondo Ngoma. More news to...
0 Reactions
30 Replies
15K Views
Salaam sana Tafadhili kama kuna mtu anayeweza kusaidia jinsi ya kudownload computer ant-virus au duka ambao naweza kununua kwa hapa Dar es salaam Tafadhali naomba unisaidie.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom