wadau wa jf kuna nyumba nzuri ya vyumba 3, choo, bafu, jiko, store, dinning room, sitting room na eneo kubwa tu la uwanja inauzwa. Umeme na maji vipo.
Ipo kimara mwisho - ghorofani nyuma ya makaburi - njia ya kwenda bonyokwa.
Bei ni milioni 25 (maelewano yapo)
kwa maelezo na mawasiliano zaidi tafadhali piga hizi namba hapa chini
0755 198216, 0755 310028 na 0716 193600.
wadau wa jf kuna nyumba nzuri ya vyumba 3, choo, bafu, jiko, store, dinning room, sitting room na eneo kubwa tu la uwanja inauzwa. Umeme na maji vipo.
Ipo kimara mwisho - ghorofani nyuma ya makaburi - njia ya kwenda bonyokwa.
Bei ni milioni 25 (maelewano yapo)
kwa maelezo na mawasiliano zaidi tafadhali piga hizi namba hapa chini
0755 198216, 0755 310028 na 0716 193600.
Joel, I beg you come clean, hii nyumba nahisi kama ina issue fulani, ilipostiwa hapa hapa last month na bei ikawekwa M.35.sawasawa ngugu zangu lakini kwa sasa nipo nje ya mji kwa hiyo itakuwa ngumu kuweka picha, labda baada ya wiki moja hivi na ushee.
nyumba ipo mita 400 kutoka barabara ya morogoro, mita 35 kutoka barabara iendayo bonyokwa.ili upate maelezo zaidi kwa sasa piga namba hizi 0755 198216 na 0755 310028.
Nashukuru kwa kuliona hilo....Joel, I beg you come clean, hii nyumba nahisi kama ina issue fulani, ilipostiwa hapa hapa last month na bei ikawekwa M.35.
Serious buyers sio lazima wajibu humu, hupiga simu. Binafsi kuna mtu kanituma nimtafutie nyumba ya kununua ASAP kabla ya Dec. 31. Nlipoliona hili tangazo nikatake trouble kupiga simu. Ikapokelewa na mkaka, nikamwambia naomba kwenda kyuiangalia. Akanijibu hana nafasi.
Nikajaribu namba ya pili, ikapokelewa na mdada, nikamwambia nataka kuiona, akesema aliyeachiwa hayupo mpaka wiki inayofuata, nilimuhakikishia huyo mwenye shida amenipa mandate yote na deal ni cash cash, nikaona hawa wenye hii nyumba are not serious au inaissue, nyumba yenye sifa hizo kuuzwa kwa M. 25 tangu October mpaka sasa Dec na haijapata mnunuzi!, was supposed to be a hot cake lakini si bure kuna kitu!.