Kuna rafiki anauza gari lake aina ya suzuki vitara escudo.
Ni Spaniards waliomaliza term yao ya ajira Tanzania na wanataka kurudi kwao Spain.
Unaweza kuwasiliana kwa namba zao (wanajua kiswahili...
Salaam
Kwa wale ambao (au ndugu zao au rafiki) watahitaji kupata viwanja vilivyopimwa maeneo ya Kerege naomba tuwasiliane. Kwa sasa nimeanza utaratibu wa kubadilisha matumizi ya shamba langu la...
jamani mwenzenu siku ya leo nimepata msiba mkubwa wa kupotelewa na bestman wangu mpendwa. Ameilea ndoa yangu kwa muda wa mwaka mmoja na miezi miwili tu. Nisipotembelea JF kesho mjue kuwa nipo...
kama mgawo wa umeme unakwamisha biashara zako, basi pacificamarine inakuletea "USED HONDA Generator" inayofanana na iliyoko kwenye picha. Ilikuwa inatumika USA. Iko Dar es salaam. Ina hali nzuri...
The Epson PowerLite 5500C projector
Kwa wale wenye TV ndogo na unahitaji kupata picha kubwa za TV au video, au kama umechoshwa na kutumia chaki kufundishia vyuoni basi wasiliana nasi...
Ndugu wanajamii forum,
Ninayo furaha kuwafahamisha kwamba tunayo Kampuni mpya inayojishughulisha na uingizaji wa bidhaa mbalimbali kutoka U.K
Zamtech International (T) Ltd is the leading...
Shamba lenye ekari 45 linauzwa moshi-tpc mkoani kilimanjaro
limepimwa na lipo katika hali nzuri.
Bei ni maelewano(kulingana na mahitaji yako)
contacts:0713-932616 0754-828280/
habari wana jamii..natafuta gari aina ya toyota vitz, carina, rav 4(3doors), raum...iwe nzuriambayo haijatumika sana...my budget is 4mil...
contact 0712 392134
Nauza gali zangu mbili zenye sifa zifuatazo:
toyota vx ya mwaka 2000, manual, inatumia diezel, nimekuwa nikiendesha mwenyewe (mwanamke). Bei maelewano.
landrover ya mwaka 2005, automatic...
Naomba nitangaze biashara yangu humu JAMVINI ili iwafikie wale wenye mahitaji.
Kama unatafuta au una shida na kitu, kifaa au chombo chochote kipya au kilichotumika, tena genuine, au unatafuta...
Wandugu ninataka kusoma CISA, niko Arusha.
nimejaribu ku dodosa dodosa sijapata anywhere naweza pata Review Classes.
Tafadhalini kwa alie na information zozote please naomba. else kama kuna...
Nyumba inauzwa Sinza Mapambano about 600 metre from Shekilango Road, ina vyumba vitatu, sebule, dining lounge na jiko! Plus uwa wa kutosha ambao una vyumba viwili vya kupangisha,bei 230m and...
kuna shule ya english medium nursery and primary maeneo ya njia panda segerea wana utaratibu mzuri kwa wenye kipato kidogo. katika kulipa ada unaweza kukubaliana ulipe kwa awamu ngapi kulingana na...
For interested Parties, there are plots for sale located in Kinzudi, Dar es Salaam.
Location is in the highlands of Kinondoni Municipal also known as Mbezi Juu, Behind New Vodacom Head Quaters...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.