Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nyumba iliyopo Mbezi Luisi karibu na Mbezi High School inapangishwa. Nyumba ina Sebule, chumba cha kulala na stoo. Kodi ni shilingi 100,000/= kwa mwezi. Malipo ni kwa mwaka. Kwa mawasiliano...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ndg zanga jana nilikwenda Mlimani City nikapaki gari yangu pale na kuacha baadhi ya vitu ndani ya gari kama laptop na hard disk GB 500 ikiwa na mambo muhimu sana kwa bahati mbaya nikaingia ndani...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
wakuu poleni na majukumu mazito ya kujenga nchi kupitia P.A.Y.E! Mimi ninatafuta DCM isiwe imechoka sana, mwenye nayo anaweza kuni-pm. all the best!
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Ninahitaji Toyota Kluger Ikipatatikana ya 2002-2003 sio mbaya...Nina budget ya 20M Tsh. Mwenye ujuzi naweza pata wapi ani PM....Naweza ongeza ikafika 21M...Kama budget hiyo ni ndogo. Buswelu
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Toyota Rav4,1999 year of manufacture 3s FE engine 1988cc register in 2009 one owner. full loaded AC,sports Rim,Silver color, 112,000km 5doors,CD radio kenwood and nice speakers. price 9.5M...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
gari nauza aina Subaru Forester Year 1999, Km 105,000, 2.0cc, 4WD, Automatic, Turbocharge, good condition, small scruch and dent, kutoka Japan ilikua na KM88,000 so, almost 15000km nimetumia...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Bajeti shs 400,000 pia ukiwa na vifaa vingine vya secretalial services tuwasiliane kupitia O784225000
0 Reactions
8 Replies
5K Views
habari ya subuhu wanajamii wenzangu! Naomba mnisaidie mawazo, je nyumba yenye thaman ya mil 40, unaweza ukapata mkopo wa kiasi gani bank kwa kutumia hati kama security!
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Silver 1999 petrol engine 1zz 179Occ 41231km. Price 7mil For more infortation call 0717114409
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nahitaji Toyota Rav 4 ya 2004 nakuendelea au Sizuki Grand Vitara ya 2005 nakuendelea, not more than 100,000 kms. Budget: 13,000,000 tsh
0 Reactions
60 Replies
12K Views
1kz injini 1997 na kuendelea. Kama unayo piga simu 0717114409
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Watanzania mlio Dodoma kama una nyumba unapangisha maeneo ya Area C au D dodoma please usichelewe! Sifa za nyumba 1. Kuanzia vyumba vitatu 2. Maji na umeme viwepo 3. fee kati ya laki 2 hadi 3. 4...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Kama tangazo linavyo jieleza mwenye mali iliyoko katika hali nzuri jamani ani PM fasta.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wana JF wenzangu, Kama kuna muhitaji wa shamba enel la ekari moja liko Kibaha Karibu nakwa Mathias, lina michungwa michache na miti kadhaa ya mitiki. Maji ya bomba kuu hupitia mpakano mwake, liko...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wapendwa napenda kutoa pole kwa nduguwa ndugu yetu alietutoka majuzi uko india akiwa matibabu bw osiah rajabu..ni jiran yangu kijana aliekutana na miale ama mapigo ya dunia akiwa mdogo sana ndan...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
1kz injini milango mitano model ya 97 na kuendelea. Unayo piga simu 0717114409
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau inahitajika Yard ya kuuzia magari( car show room) yenye uwezo wa kuhifadhi magari yasiyopungua 200. Pia iwe pembeni ya main roads ili bidhaa zionekane kiurahisi kwa watu wanaotumia barabara...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Iwe na vyumba viwili self contained iwe maeneo ya sinza,ubungo,mwenge,bajeti 250,000 mawasiliano 0717114409
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nyumba iliyopo Mbezi Luisi karibu na Mbezi High School njia ya kuelekea Mpiji Magoe inapangishwa. Ipo kilomita moja kutoka barabara ya Morogoro. Nyumba ina sebule, chumba cha kulala, stoo ndogo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu, Kiwanja kinauzwa hekari Moja 70x70 - kina hati kamili. Kipo Gongolamboto - Bei Maelewano. Ndani ya eleo hili kuna nyumba ya vyumba 4 self contained, fanya haraka.
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Back
Top Bottom