Natafuta nyumba yenye vyumba viwili, sebule,jiko na choo popote DAR ES SALAAM. Iwe ndani ya fensi na sehemu ya kupaki gari.
KODI YA MWEZI ISIZIDI LAKI MOJA NA NUSU ( 150,000/=)
Kwa sasa mchakato wa kuwasaka wanachama (ambao asilimia kubwa ya walengwa ni wanafunzi wanaosoma katika chuo kikuu cha Lumumba-Moscow) unaendelea huku maandalizi ya vikao vya ufunguzi wa tawi...
Kampuni ya Yecco(T)Ltd inakuarifu kuwa sasa utapata modem za kisasa za internet ambapo utakuwa unalipa elfu mbili miatano tu kwa mwezi! Contact 0715865544
viwanja vinauzwa mbezi luis vya bei nafuu sana.
mita 35*25 3milion, 25*25 mita 2milion, 20*20 mita 1.5milion.
viko eneo la makazi. Dalali hatakiwi.
(kwa taarifa zaidi piga: 0718334726)
Happy Birthday LilyFlower!
Nakupongeza sana kwa kufanya maamuzi sahihi ya kutoka tumboni mwa Mama yetu siku kama ya leo miaka kadha iliyopita!
Mungu akujaalie dazani za miaka ya ziada, na...
WAKUU HESHIMA MBELE
Natafuta Shule ambayo inafundisha Kifaransa hapa JIJINI DAR au kwingineko. Nursery na pia Gradi 1 mpka 7. na pia hapo baadaye secondary
Please kwa kupoteza muda wenu kunipa...
Eneo hilo lipo sambamba na shule ya international St.Marry. Inauzwa kwa garama ya sh.milion 250/= tu. hati ya makazi na biashara. kwa kupaona tuwasiliane kwa 0713 852 625.
Wakuu, natafuta shamba Loliondo kule kwa Babu lenye ukubwa wa kuanzia ekari 300. Mtu yeyote anaye juwa nani anauza au kama ni Serikali inauza, please PM me.
Tafadhari rejea tena katika topic tajwa hapo juu. Ninauza piki piki yangu aina: SanLg toleo la kwanza iko katika mazingira na hali nzuri. Imetumika Miezi miwili na nusu tu matumizi ya kawainda...
Hello JF,
Sasa taa ya ajabu inachaji Simu pia!!
Haitumii Betri
Haitumii umeme wa jua
Haitumii Mafuta ya Taa/Petroli/Dieseli
Waranti ya mwaka mmoja kwa kila manunuzi.
Ndogo na inabebeka
Crank...
Ninauza Laptop
DELL XPS M1330
2GB RAM
130GB Hard Drive
CD/DVD Writer
Windows Vista Business
Microsoft Office 2007
TShs 450,000.00 Nauza pamoja na modem ya Vodacom.
Nimekuwa nayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.