Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kisima cha elimu, Vitabu mbali mbali e-book vinapatikana hapa
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kuna mzee wangu mmoja ana lori lake scania 124 pulling, anatafuta trailler la kuvutwa. Kama kuna mtu anajua sehemu wanauza tafadhari msaidie.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakubwa, kuna mtu anajua sehemu specialized ambapo naweza kupata seedlings za maua? Kuna maua fulani ninayo yatafuta, nina jina lake scientific na nikiliona nitalijua ila sijaliona barabarani...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Toyota corrolla ae100 cc 1.5 iko katika hali nzuri,inatembea. bei 4.2m nipigie kwenye hii no 0712576022
0 Reactions
3 Replies
2K Views
HP G60 535DX notebook pentium(R) Duo-core cpu t4300 speed 2.10Ghz RAM 3Gb 320GB of hard disk sytem type:64-bit operating system inbult webcam inbuilt bluetooth Intel graphics media...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Lipo Km.5 kutoka Bagamoyo mjini, na km 2.5 kutoka barabarani upande wa kushoto ukiwa unatoka Dar es Salaam. Mazao ya kudumu: Miembe na Mikorosho. Kuna Nyumba ya Mlinzi ya chumba kimoja. Ni eneo...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Have you qualified for training in basic computer applications? have a talk with me you are high needed!
0 Reactions
2 Replies
941 Views
mimi kwa jina Naitwa Arnold Kavishe, nimehitimu International Diploma in Computer Engineering, katika chuo cha New Horizons. ningependa kupata kazi ya IT TECHNICIAN! naomba msaada wako tafadhali!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Dolphin Sea and Air (T) Ltd is a privately owned customs clearing and freight forwarding agent, which was founded in 2005 and based in Dar es Salaam.Dolphin offers a full compliment of services...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
KAMPUNI ya simu ya mkononi ya Vodacom Tanzania, imezindua simu maalum kwa ajili ya watu wenye ulemavu wa macho na matatizo ya kusikia zitakazoweza kuwasaidia kutumia simu hizo. Akizungumza na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kuna kijana mtaalamu sana wa masuala ya media anaweza kukingizia kipato cha juu sana hasa kama una radio ukimwajiri! Waajiri na wenye radio tuwasiliane ni mtaalamu sana wa ubunifu wa vipindi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
"kwa wanawawke wanaojipenda tu" Pacificamarine@yahoo.com inakutelea perfume ili uweze kunukia vizuri zaidi ya kina mama wote walio ofisini kwako, au kwenye sherehe husika. Changamkia perfume hii...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Gari Subaru Forester Silver la mwaka 2001, cc 2000 linauzwa. Gari iko katika hali nzuri kabisa na inatembea. Contact no 0712556010,0655033300 au 0754032000. Bei yake 8m maongezi yapo.
1 Reactions
5 Replies
2K Views
The irrigation pump is ready for use, it is installed on the trailer to make it movable, suitable for Stock watering, Spray, irrigation, Domestic water supply, Water extraction from saturated...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Dar City Centre. 2000 Square meters Located Dar es Salaam city centre along Azikiwe Strees Price USD 4.6 Mil/- MASAKI A plot of 2400 Square Meters size, off Chole Road Ideal for...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kutakuwana Jukwaa la Wajasiliamali litakaloendeshwa na wajasilia mali wa Kitanzania walionza biashara yao kwa mtaji mdogo na sasa wamepata mafanikio makubwa kufikia ngazi ya kuwa WAWEKEZAJI hapa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
mahali:holili,moshi karibu mpaka wa tanzania na kenya(customs,uhamiaji) ukubwa ekari 12 bei maelewano mawasiliano o754-828280
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Brand new Laptop yenye spesfication kama ifuatavyo; Model: N5010, Inspiron Manufacturer: Dell Hard disc: 500GB Ram: 4GB Processor: Intel(R) 2.67GHz Core i5 Webcam Wireless Bluetooth...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
natafuta mbwa kwa ajili ya ulinzi na binafsi na petty dog kwa yeyote mwenye naye au anaye jua sehemu wanaopatikana anaweza kuwasiliana na mimi iwe mbegu nzuri na kubwa angalizo sihitaji mbwa...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
plots ziko eneo la kibamba zimepimwa (surveyed) zinauzwa square metre moja tsh 5,500 wahi conctact 0754 450803
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom