JoJiPoJi
JF-Expert Member
- Aug 8, 2009
- 2,907
- 3,260
Salam wadau!
Nashughurika na kusafirisha mizigo kwenda mikoani, sasa kutokana na kuzidiwa na mizigo nimeamua kutafuta gari za kukodi ila kwa makubaliano maalumu na nitakuwa nailipa kwa wiki, gharama za mafuta na posho ya mtu mmoja(DEREVA) juu yangu, gari iwe ya kubeba tani kumi na iwe kwenye hali nzuri, kwa yoyote mwenye kuwa nayo ani PM nipo DSM
JoJiPoJi
Nashughurika na kusafirisha mizigo kwenda mikoani, sasa kutokana na kuzidiwa na mizigo nimeamua kutafuta gari za kukodi ila kwa makubaliano maalumu na nitakuwa nailipa kwa wiki, gharama za mafuta na posho ya mtu mmoja(DEREVA) juu yangu, gari iwe ya kubeba tani kumi na iwe kwenye hali nzuri, kwa yoyote mwenye kuwa nayo ani PM nipo DSM
JoJiPoJi