wana JF nahitaji laptop mpya au used lakini isiwe imechakaa, iwe DELL au HP kwa specification zifuatazo:
1. HP COMPAQ 4320s INTEL CORE 1330M (2.13GHZ PROCESSOR), 2GB DDR II, 250 GB HDD, DVD...
Viongozi wangu,
Salaam!
Kwa heshima na Taadhima naomba tukumbuke thread hiiHII-HAPA
Nimetaarifiwa na mwan-JF wa hapa Arusha kuwa mnamo tarehe 24/12/2010 member mwenzetu fulani waJF aliyekuwa...
Hi JF,
Good day!!
I just wanna introduce you to this great site for online music. You can get the latest music here bila chenga wala kwere. Get the latest mixtapes in US right now. Check it...
gari aina ya toyota mark II GR iko sokoni
Transmission Type: Automatic
GRADE GR Saloon
full AC
Asking Price: TZS 3,600,000
serious buyer email me at kiswagokiswago@yahoo.com
Nyumba ipo Mbezi beach, Ni nyumba kubwa double storey, ina na servant quarter,
Ni Full furnished, ina standby generator, ina internet cables
Inafaa kwa Office cum residential au residential peke...
wadau, wana JF,
Naomba yeyote anayefahamu watu wazuri na wenye gharama nafuu kwa uchoraji/design ramani za nyumba kwa ajili ya kuishi/makazi tafadhali anisaidie.
Naamini wengine wapo humu jf...
Nauza pajero IO au wengi mwaifahamu kama GDI nyeupe ya mwaka 1999 ina km 110,000 kama unahitaji nitumie email kwa lushe2010@yahoo.com kwa picha na maelekezo zaidi.
Karibu, MF.
kama kuna mdau mwenye kujua kufahamu duka /mahali/mtu ambapo naweza kununua used laptop yenye kiwango cha kuridhisha isiyozidi tshs 500,000/ tafadhali anitonye au anielekeze pa kuipata, nina dogo...
Mkakati wa Kusaidia WanaArusha .
Tunapenda kuwafahamisha kwamba FOS Imeanzisha Mkakati wa Kuchangia WanaArusha waliopata Shida kwenye Maandamano ya Wafuasi wa CHADEMA na Viongozi wao ...
Model: Mark II GR
Year: 1992
Km 197,000
Price: 3.8 M (Milioni tatu laki nane)
Ipo katika hali nzuri sana.
NB: Mnunuzi aliye serious ani-pm kwa ajili ya picha na details zingine atakazohitaji.
Jaji Mstaafu Dan Mapigano amefariki Dunia tarehe 15 januari 2011 katika hospitali ya Aga Khan ambako alikuwa amelazwa baada ya kupata stroke.
Maziko yanategemewa kuwa tarehe 19 Januari makaburi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.