Iwe maeneo ya Masaki au Osterbay.Iwe na vyumba vinne Isiwe katika gorofa lenye msongamano wa aprtments nyingi.Bajeti USD 250,000/
Kwa mawasiliano piga simu 0784225000
inauzwa hii simu ipo fresh
Haina camera lakini ni nzuri kwa kutuma emails na ina local area connection...
u can google it for more information
bei 300,000 cash
contacts:send me a pvt...
Wana JF,
Naombeni msaada na mnishauri,
Nataka Kununua Gari ktk Survey yangu nimekuta gari mbili,
Ya kwanza
CIF 6790 ni gari ya Mwaka 1998
Ya pili ni
CIF USD 9800 ni gari ya mwaka 2002...
Ninauza kiwanja changu kipo madale ni robo heka kimezungushiwa michongoma ni karibu na kwa Kawawa kinafikika kiurahisi lakini hakijapimwa bei milioni 5.5 kuna mazungumzo nauza kwa sababu nina...
Kuna plots takriban 20 ziko sokoni na nyumba moja ya ghorofa vinauzwa Dar kama ifuatavyo:-
1. Viwanja vya makazi 20 viko Madale kwa Kawawa (vina offer); bei ni kuanzia Tsh 5-50 million
2. 1...
Nyumba iliyopo Mbezi Luisi njia ya kuelekea Mpiji Magoeinapangishwa. Nyumba hiyo ipo karibu na Sekondari ya Mbezi kilomita moja kutoka barabara ya Morogoro. Nyumba yenyewe ina sebule, chumba cha...
Nauza LG GW 305 mobile kwa bei nzuri kabisa. Ina guarantee ya mwaka mzima, Qwerty keyboard easy-messaging. Send me a PM ili tufanye biashara mapema kabla bidhaa haijaenda.
Wakuu,
Nimetaarifiwa sasa hivi kwamba mke wa member mwenzetu Freetown ameaga dunia mchana huu saa7.30 kwenye hospitali ya KCMC-Moshi.
Freetown ni member 'legend' hapa majukwaani, na kwa wale...
AINA: HCDGNV111D
SPIKA TANO
7900W
3 DVDS
TAPE
SURROUND + tru sound
4 INPUTS
n.k
Tatizo lililopo: Ukijaribu kueject tray ya CD inaandika "LOCKED",so sijatumia sehemu ya CD muda...
Nauza piki piki ya miguu mitatu TWO STROKE YA INDIA
-imetumika
-bado inatembea,injini iko safi,inakula mafuta vizuri lita moja kwa karibu km 30
-bodi iko safi
-Inafaa kufanyia biashara
-Tafuta...
Heshima zenu wana JF. Nasikitika kuwafahamisha kuwa mwana JF ambaye alitangazwa hapa na Maxence Melo kuwa anaumwa sana na kuomba tumwombee amefariki dunia.
Mwana JF huyu ambaye ni mke wa mwana...
Kiwanja kinauzwa, kimepimwa,kina hati na kipo katika eneo lililopimwa (moja ya maeneo ya viwanja 20,000 vya mradi, eneo zima lina viwanja 8000 vilivyopimwa) kipo eneo la Buyuni,ilala (It is...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.