Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

JF kila kitu kinawezekana....wakuu natafuta ramani ya nyumba ya vyuma vitatu au vinne...nyumba ya kawaida...au ikipatikana hata ya ghorofa moja..lakini ground floor iwe na na hata vyumba viwili i...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
WanaJf wote naomba kutoa tangazo la kuwa ninauza Portable external Hard disks za Seagate. 500GB kwa Tshs 160,000/= na 1TB kwa Tshs 230,000/= unaweza kuzitumia kwenye operating system...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Wana Jf natafuta wapi naweza kupata AVG Internet Security 2011 ili ninunue. Asanteni in advance
0 Reactions
3 Replies
332 Views
Car in verry good condition: Sports reems,Big music,A/c & all electronics functional,spoiler. Bei 5 Mill, call 0712224912.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nyumba inapangishwa sinza kumekucha, ina vyumba vitatu vya kulala na masterbedroom moja, sebule, dinning, jiko na store, nyumba ina marumaru za spain, parking kubwa na fence ya uhakika, bei ni...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
digital camera aina ya canon,2 gb,color ni pink, inauzwa kwa laki tatu na nusu T shillings. mawasiliano piga 0659 158365
0 Reactions
8 Replies
2K Views
  • Closed
Wakuu, Naiuza BlackBerry yangu kwa bei ya kutupwa (BB Bold 9700). You mention the price, we negotiate. Imetumika kwa 4months, ina screen protector (haijapata mikwaruzo). Devices ZOTE zipo ikiwa...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Niko nje ya nchi kwa muda wa miaka 5 sasa, hivyo basi sijui biashara gani inalipa kwa wakati huu.So mwenye ideal naomba anishauri ili niweze kumuwezesha bi.mkubwa(mama) maana kila biashara anayo...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ni mpya na haijawahi kutumika unaweza kuiona
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Milango mitano. Automatic. Iwe katika hali nzuri. Iwe aijawai kupata ajari.Bajeti 8.5mil. Ikiwa unayo piga simu au tuma sms na 0784225000
0 Reactions
13 Replies
2K Views
nimekuwa nikiangalia Scoan and emanuel Tv for a long time, nimetokea kupenda na kuwaamini....jamani, nani anaelewa hapa tz naweza kupata wapi anoiting water and wrist band from TB joshua...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Property and Real Estate Tanzania Offers accommodation for rent In Mbezi Beach close to Tangi Bovu. Three bedrooms (one en suite), Sitting, dinning, kitchen, maid's room en suite, open...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hellow wanaJF Wandugu jamani ninaombeni msaada wenu najua hapa kuna watu wa kila aina,mafundi,engineers, doctors etc. Kwa mtu yoyote atakayekua anahitaji Vifaa kwa engine aina ya 1AZ ambayo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Viwanja vya ukubwa wa 30 x30 vinauzwa bei 4.5m kama kawaida maongezi yapo viko barabarani kabisa haya changamkeni tel 0713 240967
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Nauza Iphone 3Gs. Original From USA. Tuwasiliane kupitia Inbox humu ndani. Nitakuwepo Dar Mwezi ujao. Simu nimeitumia kidogo, ila haina Mkwaruzo hata kidogo. yaani inaonekana mpya kabisa. Ina...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hivi wadau,nimekuwa nikifikiria kuanza kununua bidhaa kama nyumba,viwanja,magari au pikipiki kwenye minada ya hadhara. Sasa najiuliza,italipa?Naweza kupata vitu kwa bei nafuu kwenye minada then...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
wasilianeni na huyu dogo anaeweza kufungua usb modem zote,anapatikana kwa no 0713482850 na 0684 482853,mie ninayo ya voda hapa natumia line ya zain
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Heshima kweni wakuu najua hapa kutakuwa na watu wana maduka ya spare part za magari pls. natafuta site mirror na power window za verossa. kama unazo nifahamishe waungwana pamoja na bei zake
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Wandugu nahitaji vyumba viwili na sebule iwe masters ktk maeneo hayo hap[o juu,na ikiwa na kajiko itapendeza zaidi.bei isizidi 200,000/= kwa mwezi.hata kama unajua ambayo itakuwepo baada ya mwezi...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Kiwanja chenye ukubwa wa 40x40 kinauzwa Mbezi Madukani nyuma ya shule ya St Anne. Bei ni Milioni 15. Mtu wa kati hatakiwi. Mwenye shida kweli apige 0754 340606.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom