JF kila kitu kinawezekana....wakuu natafuta ramani ya nyumba ya vyuma vitatu au vinne...nyumba ya kawaida...au ikipatikana hata ya ghorofa moja..lakini ground floor iwe na na hata vyumba viwili i...
WanaJf wote naomba kutoa tangazo la kuwa ninauza Portable external Hard disks za
Seagate.
500GB kwa Tshs 160,000/=
na
1TB kwa Tshs 230,000/=
unaweza kuzitumia kwenye operating system...
Nyumba inapangishwa sinza kumekucha, ina vyumba vitatu vya kulala na masterbedroom moja, sebule, dinning, jiko na store, nyumba ina marumaru za spain, parking kubwa na fence ya uhakika, bei ni...
Wakuu,
Naiuza BlackBerry yangu kwa bei ya kutupwa (BB Bold 9700). You mention the price, we negotiate.
Imetumika kwa 4months, ina screen protector (haijapata mikwaruzo).
Devices ZOTE zipo ikiwa...
Niko nje ya nchi kwa muda wa miaka 5 sasa, hivyo basi sijui biashara gani inalipa kwa wakati huu.So mwenye ideal naomba anishauri ili niweze kumuwezesha bi.mkubwa(mama) maana kila biashara anayo...
nimekuwa nikiangalia Scoan and emanuel Tv for a long time, nimetokea kupenda na kuwaamini....jamani, nani anaelewa hapa tz naweza kupata wapi anoiting water and wrist band from TB joshua...
Property and Real Estate Tanzania Offers accommodation for rent
In Mbezi Beach close to Tangi Bovu.
Three bedrooms (one en suite),
Sitting, dinning, kitchen, maid's room en suite, open...
Hellow wanaJF
Wandugu jamani ninaombeni msaada wenu najua hapa kuna watu wa kila aina,mafundi,engineers, doctors etc. Kwa mtu yoyote atakayekua anahitaji Vifaa kwa engine aina ya 1AZ ambayo...
Nauza Iphone 3Gs. Original From USA. Tuwasiliane kupitia Inbox humu ndani. Nitakuwepo Dar Mwezi ujao.
Simu nimeitumia kidogo, ila haina Mkwaruzo hata kidogo. yaani inaonekana mpya kabisa. Ina...
Hivi wadau,nimekuwa nikifikiria kuanza kununua bidhaa kama nyumba,viwanja,magari au pikipiki kwenye minada ya hadhara. Sasa najiuliza,italipa?Naweza kupata vitu kwa bei nafuu kwenye minada then...
Heshima kweni wakuu najua hapa kutakuwa na watu wana maduka ya spare part za magari pls. natafuta site mirror na power window za verossa. kama unazo nifahamishe waungwana pamoja na bei zake
Wandugu nahitaji vyumba viwili na sebule iwe masters ktk maeneo hayo hap[o juu,na ikiwa na kajiko itapendeza zaidi.bei isizidi 200,000/= kwa mwezi.hata kama unajua ambayo itakuwepo baada ya mwezi...
Kiwanja chenye ukubwa wa 40x40 kinauzwa Mbezi Madukani nyuma ya shule ya St Anne. Bei ni Milioni 15. Mtu wa kati hatakiwi. Mwenye shida kweli apige 0754 340606.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.