Nashukuru sana mtaalam, Hii ni professional work ni bora wateja kujua uwezo/elimu na hata uzoefu na mafanikio ya kikazi ili kuwajengea imani naamini kwa namna hiyo utapata wateja wengi humu mm mojawapo.
Asante sana kwa ushauri wako. Ningependa niwasiliane na mteja moja kwa moja juu ya CV yangu na wenzangu ninaoshirikiana nao. Lakini kwa ufupi Mimi mwenyewe nina masters ya Management, Economics and Consumer studies ya Wageningen University and Research Centre, Uholanzi na pia nina BSc. ya Food Science and Technology kutoka chuo kikuu cha kilimo Sokoine Morogoro. Nina kozi mbali mbali za management, Business na enterpreneurships. Nimefanya kazi na NGOs (local and International) kama Mratibu na Mkurugenzi nikihusika na kubuni miradi na kuiandikia proposal zake. Pia nimefanya kazi za kujiriwa Tanzania na Botswana. Sasa hivi mimi na wenzanngu tumeamua kufanya kazi za kibiashara zaidi na kupunguza kazi za non for profit and services.
Mimi mwenyewe nipo full time kwa kazi hizi, nashirikiana na wenzangu wawili wanaonipa msaada part time, wa kwanza ni MBA ya ESAMI (makao makuu yake yapo Arusha chini ya Maastricht school of Business Management ya Uholanzi na mfanyakazi wa kiwanda cha cement. Mwingine ni MBA ya London University na mfanyakazi wa zaidi ya miaka 10 katika board ya kahawa wakisaidia wakulima, wanunuzi, wauzaji, exporters wa kahawa nje na ndani ya nchi. Ana uzoefu mkubwa wa biashara za mazao. Pia tunamtumia one of a friend with BA ya Mzumbe na mhasibu mmoja kutoka TIA.
Terms. Ukitaka tukuandikie mradi wako, utawajibika kutupa details mbali mbali (jambo linaloweza kufanyika kwa simu na mails) lakini kwanza utajibu maswali 6 ya kwanza ili tuweze kuset na kukubaliana terms and conditions.
1. Aina ya Biashara unayotaka kuandikiwa Biz-Plan
2. kama biashara yako ndio inaanzishwa (start up Biz) au ni biashara ambayo ipo tayari? (kwa mfano unataka kupanua)
3. Biz-Plan itakuwa ya kazi gani? mathalani kuombea mkopo au unataka kuitumia kama tool/guide
4. Unataka kuanza biashara yako lini?
5. Mtaji na ukubwa wa biashara yako?
6. Wajibu wetu baada ya kumaliza kazi ya kukuandikia Bz-Plan (kama tutwajibika kutoa consultancy zingine katika biashara yako)
Tukisha pata majibu ya maswali hayo pamoja na maswali mengine yanayoweza kujitokeza kama follow up questions tutaweza kujua tutakuwa na workload kias gani. Kwa mfano tutajua kama kazi yako itahitaji kusafiri, kufanya research kama kuwaconsults CHAMBER, TCI, board mbali mbali nk. Tutajua muda inaochukua na pia tutajua out put itakuwa katika ubora gani. (We quarentee ubora unaokubalika at International standards)
Tukisha kudetermine hayo tutakupa kiwango chetu cha fee ya kufanyia kazi hiyo, Muda wa kuderiver product (bila visingizio vya umeme) kama tutakubalina terms tutasaini mkataba wa kazi. Na fee yetu inalipwa kwa awamu 3.
Awamu 1. Kabla ya kuanza kwa kazi (kiasi kidogo usually robo ya malipo yote)
Awamu 2. Baada ya kumaliza First Draft na kupitiwa na mteja na kujiridhisha kuwa tupo in the right direction according to his/her wishes)
Awamu 3. Baada ya kukabidhi final product.
Wakati wa mchakato huo tutakuwa na mikutano miwili ya ana kwa ana na mteja (tupo tayari kusafiri kumfuata mtaje alipo)
1st. Meeting. Kumpa First Draft na kujadiliana juu ya marekebisho muhimu ya kufanywa
2nd Meeting. Kukabidhi Final Product. (Katika mkutano wetu wa mwisho tunafanya power point presentation na tunamruhusu mteja kualika watu anaopenda washiriki kwenye presentation hiyo, hasa watalaam anaoamini wanaweza kumpa critical advices) Kama kutakuwa na marekebisho ya lazima yatafanywa within 24 hrs na mteja atapewa kazi yake iliyokamilika.
Final product ni:
1. Two hard copies (soft bind/or spiral) coloured printed
2. Soft copy in PDF
Karibu sana, nitumie maswali kwenye PM au
mbogela@yahoo.com
Napatikana kwa namba 0787410315/0754 247915