Nampongeza mwanangu Franklin kwa kutimiza miaka miwili.
Mungu akulinde na kukutunza,maisha yako yawe ya mafanikio,baraka na amani.
Your Mumy
Mary C
Mekelle-Tigray State
Ethiopia
Ndugu,
Mimi nimekuwa natumia TV ya SONNY Triniton, Lakini sasa imechoka kwani rangi haionekani vizuri. Hivyo nataka kununua TV nyingine. Budget ni kama 700K hivi. Nimeshauriwa nininue Flat...
The African Studies Program of the University of Iowa will hold a Symposium
entitled ³The Future of Multiparty Democracy in East Africa² on April 1-2,
2011. All events will be held at the...
MAGETI;
MILANGO NA MADIRISHA YA CHUMA AU ALUMINIUM;
FREMU ZA MILANGO ZA CHUMA (STEEL) KWA WASIOPENDA USUMBUFU WA MCHWA;
MATANGI YA UKUBWA MBALIMBALI KWA AJILI YA KUHIFADHI NAFAKA;
VIOO VYA...
Tanzanian Training Centre for International Health, Ifakara
REFRESHER COURSE FOR CLINICAL OFFICERS 2011
18- 29 April 2011 Ifakara, Tanzania.
This course is open to clinical officers...
Ipo nyuma ya Ubungo kibangu shule ys Msingi. Ina vyumba vitatu vya kulala. uzio. sebure. jiko. Ni self contained. Kodi ni tzs 300,000 kwa mwezi. Mawasiliano 0784225000 or 0717114409
Wakuu heshima mbele!natafuta generator ndogo kwa matumizi ya nyumbani,manake huu mgao wa umeme ishakua taabu!kwa sisi tuanoishi huku maporini unaweza kumkanyaga nyoka akakugonga bure,gharama...
Natafuta nyumba ya kupanga Arusha iwe ya vyumba viwili vya kulala,sebule,jiko,choo na bafu,pia geti,umeme na maji.
bei ianzie 100,000/= hadi 150,000/= kwa mwezi ndiyo tutakayomudu kwasasa wana JF...
Wenyeji wa KATA ya Kinampnda!
Kuna shule huko nyumbani inaitwa Kinampanda SSekondari inatchafua jina letu,
Ni hizi shule zilizoanzishwa na Mkwere bila maandalizi!Hata iwe vipi wengi watoto wetu...
Ninauza simu kwa bei nafuu kabisa
1. HTC Wildfire imetumika mara chache(UK), almost karibu na mpya, touch screen android phone,iko na pouch rangi ya pink (kwa masista duu) bei laki tatu na nusu...
NYUMBA yenye vyumba 3 , dinind, sitting, jiko na choo+bafu pamoja na uwanja mkubwa inauzwa kimara mwisho - ghorofani.
bei Mil 35 (O.N.O).
kwa mawasiliano ya kutumiwa picha za nyumba na maelezo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.