Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Gari hizi ni aina ya Toyota,mbili ni Toyota corona na moja ni Toyota corola E100,Zote ni rangi nyeupe,sports ream,hatu uzi gari moja moja,unashauriwa kuja na fundi wako wakati wa kununua,they are...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Iwe Chumba sebule, Jiko na choo. Bajeti ni Tsh 150000 kwa mwezi malipo ya mwaka mzima yapo tayari. Mwenye nayo aniPM.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu, nina noah ya mwaka 2001 na nimeiingiza tz sept 2010, odo inasomeka 142880. Kutokana na ugumu wa maisha na kupanda kwa bei ya petrol nimeshindwa kuimudu. Kuna jamaa kapatikana anataka...
0 Reactions
15 Replies
9K Views
Earn $2000/month via part time jobs. Easy form filling data entry jobs Earn $1500-2500 per month from home. No marketing / No MLM . We are...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Very luxury spacious Villa fixed with Split A/C, ceramic tiles flooring, 4 Bedrooms ( 2 bedrooms with toilets & bathrooms), separate Living and dinning rooms, small garden & car park, available...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
nina sony imeua motherbord,nauza kama spea,inakilakitu,model nomber VGN-FJ270 kama vipi piga 0655945598
0 Reactions
0 Replies
871 Views
haya habar njema,ukitaka full movies HD quality 4 free in yo mobil phone jus go to o2cinemas.com,tayar nshadaunlod k2 inaitwa The Source Code
0 Reactions
0 Replies
1K Views
....natafuta mtu wa kubadilishana nae stuffs lyk movies,programs n.k,mimi ni mpenzi sana wa vitu hivyo so i wish nikapata watu wawili watatu wenye hobies kama zangu,library yangu ya movies ina...
0 Reactions
70 Replies
7K Views
Kiwanja kikubwa kipo Nyegezi, kina nyumba ya chumba na sebule na jengo jingine dogo pembeni. Kina sehemu ya Parking. Bei Mil. 13 mawasiliano 0767007830
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ninauza gari yangu Mitsubishi Canter Truck tipper la Mwaka 2003 liko Zanzibar bei millioni 20 sababu za kuuza nikuwa nahitajia pesa haraka nimetokezewa na matatizo kwa mwenye kutaka au kuliona...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu nataka kujifunza kijapan, beginners stage, kwa yeyote anayeweza nishauri nianzaje ili niweze kusoma for the shortest time as possible, ntamshukuru sana. Natanguliza shukrani zangu za dhati.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wana JF members Ninauza Soseji kutoka Peramiho, Songea Mkoani Ruvuma ni soseji nzuri kwa familia. Watoto huzipenda sana hizi, ukizihitaji tafadhali wasiliana nami kwa simu 0715 497259 au...
0 Reactions
32 Replies
13K Views
Kama wewe ni mmoja wa watu wenye kutaka kuona wengine pia wanaishi kwa furaha na amani, basi tafadhari sana Fungua HAPA Kisha chukua Hataua.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Natafuta nyumba ya kupanga iwe maeneo ya sinza, Mikocheni au Kijitonyama. Iwe ya vyumba vitatu (au hata viwili), Sitting room, dining room, jiko na stoo. Iwe na choo na bafu ndani. Iwe inaeza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari waungwana, Je kuna bingwa humu anayejua au ana network ya jamaa wanaoshughulika na ujenzi?? Msaada waungwana nitashkuru sana.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Located at Kibamba C.C.M area in Kinondoni Municipality Dar es Salaam City. About 25 metres from Morogoro Road. Plot Size: HEKARI MOJA NA ROBO. Bei 25mil. Maelewano yapo. Kwa maelezo zaidi piga...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kama ndiyo kampuni ya ulinzi ya KALU SECURTY inaouwezo wa kutoa huduma hiyo kwako tunatoa huduma ya ulinzi kwenye Makampuni mbali-mbali,shule,maofisi,na sehemu mbali-mbali utakazotuhitaji kulinda...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Wandugu nataka kufanya tafiti kuhusu Viwanda vya Kusindika Maziwa Tanzania vinavyofanya kazi vilivyopo kwa sasa,ningependa kujua majina na mikoa vilipo ,pamoja na kuwa nina orodha ya baadhi ya...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Wana JF, Nina Mac Laptop used ninaiuza please see below for further details The following are the specs for my Power book G4 15' Mac OS X Version 10.3.9 Processor 1.5 PowerPc G4 Memory...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari wa JF! Siku kadhaa niliweka thread iliyouliza kuhusu magari, niliomba ushauri kuhusu gari na wengi walinishauri nitafute Nissan March au Vitz au Fun Cargo. Lakini katika kuperuzi nimeona...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom