Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

  • Closed
Kampuni ya Yecco(T)Ltd inakuarifu kuwa sasa utapata modem za kisasa za internet ambapo utakuwa unalipa elfu mbili miatano tu kwa mwezi! Contact 0715865544
0 Reactions
43 Replies
6K Views
Nivije? Jaman natafuta cable ya kukonekt kwnye tv my psp ili niweze kudisplay kwenye tv na vilevile Psp lcd displays kama zinapatikana
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nivije? Jaman natafuta cable ya kukonekt kwnye tv my psp ili niweze kudisplay kwenye tv na vilevile Psp lcd displays kama zinapatikana
0 Reactions
0 Replies
1K Views
viwanja vinauzwa mbezi luis vya bei nafuu sana. mita 35*25 3milion, 25*25 mita 2milion, 20*20 mita 1.5milion. viko eneo la makazi. Dalali hatakiwi. (kwa taarifa zaidi piga: 0718334726)
1 Reactions
17 Replies
4K Views
NOkia n97 for sale iko bomba imetumika just for one week, for more information call this no 0713 813081.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
iko good condition,if you would like to have it call this no 0773741113.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Happy Birthday LilyFlower! Nakupongeza sana kwa kufanya maamuzi sahihi ya kutoka tumboni mwa Mama yetu siku kama ya leo miaka kadha iliyopita! Mungu akujaalie dazani za miaka ya ziada, na...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
WAKUU HESHIMA MBELE Natafuta Shule ambayo inafundisha Kifaransa hapa JIJINI DAR au kwingineko. Nursery na pia Gradi 1 mpka 7. na pia hapo baadaye secondary Please kwa kupoteza muda wenu kunipa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Eneo hilo lipo sambamba na shule ya international St.Marry. Inauzwa kwa garama ya sh.milion 250/= tu. hati ya makazi na biashara. kwa kupaona tuwasiliane kwa 0713 852 625.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ni Fupi, ipo katika hali nzuri. Ina route ya Mwenge Kariakoo. Bei ni 10,000,000/=. Maelewano yapo
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu, natafuta shamba Loliondo kule kwa Babu lenye ukubwa wa kuanzia ekari 300. Mtu yeyote anaye juwa nani anauza au kama ni Serikali inauza, please PM me.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Tafadhari rejea tena katika topic tajwa hapo juu. Ninauza piki piki yangu aina: SanLg toleo la kwanza iko katika mazingira na hali nzuri. Imetumika Miezi miwili na nusu tu matumizi ya kawainda...
0 Reactions
6 Replies
7K Views
Hello JF, Sasa taa ya ajabu inachaji Simu pia!! Haitumii Betri Haitumii umeme wa jua Haitumii Mafuta ya Taa/Petroli/Dieseli Waranti ya mwaka mmoja kwa kila manunuzi. Ndogo na inabebeka Crank...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Ninauza Laptop DELL XPS M1330 2GB RAM 130GB Hard Drive CD/DVD Writer Windows Vista Business Microsoft Office 2007 TShs 450,000.00 Nauza pamoja na modem ya Vodacom. Nimekuwa nayo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Tunahitaji kiwanja maeneo ya Mbweni au Boko. Call Number: 0715 29 2731 Dalali hatakiwi.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tafadhari wakuu mwenye kuwa na habari au kuwa nacho ani PM, Sifa kiwe karibu na ofisi, au shule! Tafadhari wakuu naomba msaada wenu!
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ndugu zangu rejeeni somo tangulizi hapo juu mimi ninauza Pikipiki yangu aina ya CT 100 Bajaj ipo kwenye hali nzuri lengo ni kuachana na matumizi ya pkpk hivyo nipo tayari kwa mazungumzo wasiliana...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nyumba iliyopo Mbezi Luisi karibu na Mbezi High School inapangishwa. Nyumba ina Sebule, chumba cha kulala na stoo. Kodi ni shilingi 100,000/= kwa mwezi. Malipo ni kwa mwaka. Kwa mawasiliano...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ndg zanga jana nilikwenda Mlimani City nikapaki gari yangu pale na kuacha baadhi ya vitu ndani ya gari kama laptop na hard disk GB 500 ikiwa na mambo muhimu sana kwa bahati mbaya nikaingia ndani...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
wakuu poleni na majukumu mazito ya kujenga nchi kupitia P.A.Y.E! Mimi ninatafuta DCM isiwe imechoka sana, mwenye nayo anaweza kuni-pm. all the best!
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Back
Top Bottom