Kampuni ya Yecco(T)Ltd inakuarifu kuwa sasa utapata modem za kisasa za internet ambapo utakuwa unalipa elfu mbili miatano tu kwa mwezi! Contact 0715865544
viwanja vinauzwa mbezi luis vya bei nafuu sana.
mita 35*25 3milion, 25*25 mita 2milion, 20*20 mita 1.5milion.
viko eneo la makazi. Dalali hatakiwi.
(kwa taarifa zaidi piga: 0718334726)
Happy Birthday LilyFlower!
Nakupongeza sana kwa kufanya maamuzi sahihi ya kutoka tumboni mwa Mama yetu siku kama ya leo miaka kadha iliyopita!
Mungu akujaalie dazani za miaka ya ziada, na...
WAKUU HESHIMA MBELE
Natafuta Shule ambayo inafundisha Kifaransa hapa JIJINI DAR au kwingineko. Nursery na pia Gradi 1 mpka 7. na pia hapo baadaye secondary
Please kwa kupoteza muda wenu kunipa...
Eneo hilo lipo sambamba na shule ya international St.Marry. Inauzwa kwa garama ya sh.milion 250/= tu. hati ya makazi na biashara. kwa kupaona tuwasiliane kwa 0713 852 625.
Wakuu, natafuta shamba Loliondo kule kwa Babu lenye ukubwa wa kuanzia ekari 300. Mtu yeyote anaye juwa nani anauza au kama ni Serikali inauza, please PM me.
Tafadhari rejea tena katika topic tajwa hapo juu. Ninauza piki piki yangu aina: SanLg toleo la kwanza iko katika mazingira na hali nzuri. Imetumika Miezi miwili na nusu tu matumizi ya kawainda...
Hello JF,
Sasa taa ya ajabu inachaji Simu pia!!
Haitumii Betri
Haitumii umeme wa jua
Haitumii Mafuta ya Taa/Petroli/Dieseli
Waranti ya mwaka mmoja kwa kila manunuzi.
Ndogo na inabebeka
Crank...
Ninauza Laptop
DELL XPS M1330
2GB RAM
130GB Hard Drive
CD/DVD Writer
Windows Vista Business
Microsoft Office 2007
TShs 450,000.00 Nauza pamoja na modem ya Vodacom.
Nimekuwa nayo...
Ndugu zangu rejeeni somo tangulizi hapo juu mimi ninauza Pikipiki yangu aina ya CT 100 Bajaj ipo kwenye hali nzuri lengo ni kuachana na matumizi ya pkpk hivyo nipo tayari kwa mazungumzo wasiliana...
Nyumba iliyopo Mbezi Luisi karibu na Mbezi High School inapangishwa. Nyumba ina Sebule, chumba cha kulala na stoo. Kodi ni shilingi 100,000/= kwa mwezi. Malipo ni kwa mwaka. Kwa mawasiliano...
Ndg zanga jana nilikwenda Mlimani City nikapaki gari yangu pale na kuacha baadhi ya vitu ndani ya gari kama laptop na hard disk GB 500 ikiwa na mambo muhimu sana kwa bahati mbaya nikaingia ndani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.