SHAMBA lipo moshi vijijini kata ya mbokomu kijiji cha korini juu, shamba lina eneo la kiwanja cha kujenga, lina migomba na kahawa,bei maelewano piga 0716692928 au 0752381305 na o686296385.
sema bei kama unaona noma ni pm bei,kama inalipa tufanye biashara,nataka sana kuishi kijijini,nikanywe mbege ili mradi asije mdogo wa mwisho aanze kukidai hicho kihamba.
shamba linafikika kwa gari, umeme nao upo unahitaji nguzo moja au mbili hivi.
pia MAJI yapo karibu. (shamba lipo just few meters from Fukeni lutherun church).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.