Mimi ni mwanafunzi wa Tumaini University-Iringa,naingia mwk wa 2,naomba sana waungwana na wakuu mlio humu msaada wenu either kuni"sponsor" au kunidirect ili nipate sponsorship.nitaprovide details kwa atakayeonesha nia ili ajue kainvest sehemu ya uhakika.Natanguliza shukrani jamani!