Mitsubishi Fuso Rosa Bus 4D32 for SALE

Mitsubishi Fuso Rosa Bus 4D32 for SALE

Original Pastor

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2007
Posts
1,274
Reaction score
52
Wana JF nauza JIWE yaani engine yako kiboko kwa hard work Mitsubishi Fuso ROsa bus passenger 26,colour green/white Engine type 4D32 Ipo Japan Inakuja mwisho wa mwezi huu Bei Tshs 33,000,000 Milion. Hiyo ikija inasajiliwa kabisa kwa jina lako mwenye kuhutaji. Anayetaka Pcha ani PM nimtumie. Kwa anayejua magari asiiache hiii kwani injini yake ni sawa na canter 4D32
 
Kwanini Picha kwa PM?

You mean you want my E-mail adress? how will you send the Pictures?

Wengine tunaogopa usalama wa taifa.
 
kwa nini wewe unauza ? ni model ya mwaka gn? ulishaiona physically ? am interested ....
 
Wana JF nauza JIWE yaani engine yako kiboko kwa hard work Mitsubishi Fuso ROsa bus passenger 26,colour green/white Engine type 4D32 Ipo Japan Inakuja mwisho wa mwezi huu Bei Tshs 33,000,000 Milion. Hiyo ikija inasajiliwa kabisa kwa jina lako mwenye kuhutaji. Anayetaka Pcha ani PM nimtumie. Kwa anayejua magari asiiache hiii kwani injini yake ni sawa na canter 4D32

Duh! hiyo bei sasa... labda wanaweza wazee wa vijisenti peke yao!!
 
Mitsubishi Fuso ROsa bus passenger 26,colour green/white Engine type 4D32 YEAR 1991
 
Wakuu kuna jamaa alinipm nimempanamba hanipigii kama yupo apige hata meseji hajibu
 
Wewe Shark Acha dharau yale magari yote unayopanda Bongo Dala dala Za mwaka 1977 na pia hata Ma DCM ya mwaka 1964 Sasa wewe unaona ya longi hata ukiangalia Nissani Civilia, ISuzu Jorney ,Hino zote mwaka 1990 za mwaka 199 mpaka sasa zina CC 4200 na kuendelea mpaka 5800 na hakuna Dereva anayezitaka hizo. Hii ni taarifa tu kaka

Ya longi sana
 
Wewe Shark Acha dharau yale magari yote unayopanda Bongo Dala dala Za mwaka 1977 na pia hata Ma DCM ya mwaka 1964 Sasa wewe unaona ya longi hata ukiangalia Nissani Civilia, ISuzu Jorney ,Hino zote mwaka 1990 za mwaka 199 mpaka sasa zina CC 4200 na kuendelea mpaka 5800 na hakuna Dereva anayezitaka hizo. Hii ni taarifa tu kaka

Kweli aisee,
Nlikua sijajua mkuu wangu, samahani sana.
Tunapanda gari za zamani sana kisasi cha kwamba inabidi upande na mwamvuli ndani ya basi.
Ila sasa na wewe unaweka margin kubwa bwana,
 
Haya bana nimekugongea like

Kweli aisee,
Nlikua sijajua mkuu wangu, samahani sana.
Tunapanda gari za zamani sana kisasi cha kwamba inabidi upande na mwamvuli ndani ya basi.
Ila sasa na wewe unaweka margin kubwa bwana,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom