Kiwanja kinauzwa - Bunju

Una master plan ya maeneo hayo?bunju eka 1 kwa 3m?????isije ikawa shamba la bilali limevamiwa
 
The boss unaitaji ekali ngapi we tuwasiliane tuu,
ureni ukitembebea kwa miguu toka barabarani ni like 30m tuu
bongolala tunayo hati ambayo inalipiwa ardhi kila mwaka ilo kwa iyo usiofu.
Ukiitaji paona we tuwasiane tuu ni eneo safi sana sana tuu...... Email yangu ni apo juu
 
Nimeshakwenda na muuzaji mmoja pale Baobab aliniambia heka laki 8. Nikaenda na pesa pamoja na land officer wa Bagamoyo muuzaji akakimbia so JF PEOPLE be careful.
 
P/se niachie eka moja nategemea kuwa mkopaji wa kwanza kwenye jf saccos, please i am serious do not ignore my request.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom