Msaada: Waliosoma Leganga primary school Usa river 1982-1988

Msaada: Waliosoma Leganga primary school Usa river 1982-1988

mdau wetu

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2011
Posts
548
Reaction score
62
WANA JF Natafuta watu waliosoma Leganga primary School Usa River Arusha kuanzia mwaka 1982-1988. Akina Muhammad Ali, Israel, Hariri Khamisi, rehema, Yolanda, Zakaria Simon, msafiri na wengineo wengi ambao siwakumbuki lakini tunaweza kukumbushana, kama wapo wani PM
 
msaada waliosoma leganga shule ya msingi USA river arusha
 
sasa praimare, tena ya dei hao wajasiriapesa wa usiku umewajulia wai weye? jamani, jamani!

Rehema - mama ntilie pale mkuyuni<br />
Yolanda - mjasiliamali wa usiku<br />
Zakaria Simon - Ni member humu ndani anatumia ID ya *&amp;***@&amp;@* (imefichwa ili kukidhi viwango vya kulinda usiri vya JF)
<br />
<br />
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom