Nashida na gari aina ya landcruiser hzj 75/78/79 hardtop/pick-up kwenye hali nzuri tafadhali, (sitaki mkebe au ambayo imepiga tindo), tafadhali niandikia email ( bei + picha) yake. Asante
Wadau nimeona niwape habari kwa yeyote mwenye mpango wa kunua gari, nadhani ni gari nzuri na bei nzuri pia
Its for immediate sale
2000 Toyota Rav 4 J
Its a VVT- I engine, KM 1000330
Engine...
Wadau, habari zenu?
Eid-Mubarak!
Naomba mwenye kujua wapi naweza kupata tents za aina hii au zinazofanana na hizi - ambazo zina good quality.
Zinauzwa wapi na zinapatikana kwa bei gani (range)...
je, unataka laptop za kisasa toka marekani kwa bei nafuu? afridev company limited, wasambazaji na wauzaji wa computer, tunapenda kuwataalifu kuwa, computer aina ya dell pentium 4, mpya na used...
Nauza gari yangu aina ya land cruiser prado kama inavyoonekana pichani bei ni 17 million haina tatizo lolote na mwenye kutaka kuiona awasiliane nami kwa namba 0767234224
Wadau heading inajieleza, natafuta gari aina ya Premio, engine isiwe D4. offer yangu ni 6 million, lakini gari iwe nzuri na bora. mawasiliano ni o784419o3o
2000 Toyota Opa for sale..
Price: $7,000 (Non negotiable)
Features:
Mileage: 110,000 km
Beautiful Interior and great condition
Everything working good
No Accident
Duty fully paid with...
Wakuu,
Nauza Mazda Demio ya Mwaka 2003,
CC 1300,
Mille-age 106,000
Petrol,
Milango 5,
5 seater,
Ishasajiliwa,
Imetoka Bandarini last week,
Bei 7.8Mil,
Picha nitaziweka soon,
Mwenye...
PROMO PROMO PROMO
Schoolbook classic is web portal for schools and academic entities. With schoolbook you can easily find different school profiles around the word, together with schools...
Nina Iphone version 3.1.3 nataka ku-upgrade iwe 4.2.4 au zaidi mwenye uwezo huo nijulishe ili nikuletee unirekebishie Mimi Niko Dar-es-salaam.
Pia itapendeza kama ataweza kuniwekea Winterboard.
USHAURI KUHUSU UNUNUZI WA GARI
Samahani kwa usumbufu wadau.
Naombeni ushauri wenu kuhusu gari kati ya OPA NA NADIA ipi inakula mafuta sana.
Vipi na garama za service.
Nahitaji kununua kati ya...
I have Mini Laptops Available from USA, If you or your friends interested let me know. Limited Stock
Dell Inspiron Mini 10
Intel Atom 1.6GHZ
1GB RAM
160GB Hard Drive
10.1 '' WideScreen
WIFI...
Taarifa iliyonifikia hivi punde ni kwamba Bi. Esther Reuben ameaga dunia muda mfupi uliopita katika hospitali ya Hindu Mandal jijini Da es salaam.
Kwa wale waliosoma Moshi technical secondary...
Wakuu natanguliza shukrani.
Nategemea kuja Dar mwanzoni mwa September sasa ni wapi naweza pata nyumba ya kupanga kwa muda mfupi kama wiki 2 au less hivi, hakuna masharti magumu sana ila tu iwe...
jamani nilitangaza kua kuna fremu ninazipangisha maeneo ya manzese midizini na godown sasa zimebakia fremu nne na godown moja bei za fremu ni 160,000 na warehouse ni mil moja na laki sita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.