Salam wana JF,
Kwa wale wote wanaotaka kusoma Uandishi wa Habari, Utangazaji na Radio Production naomba uni PM ukieleza haya:-
1. Unaishi wapi??
2. Upo tayari kusoma kuanzia lini??
Nitakupa...
Natafuta vitabu vya ebooks kwa ajili ya Advanced level kama ifuatavyo:
1. Fundaumentals of physical chemistry by Chand
2. Biology science - Taylor Greeen
3. Inquiry into life - Sylivia
Naomba...
Natafuta vitabu vya ebooks kwa ajili ya Advanced level kama ifuatavyo:
1. Fundaumentals of physical chemistry by Chand
2. Biology science - Taylor Greeen
3. Inquiry into life - Sylivia
Habari kwa wanajamii forums wote!
Mimi ni kijana wa kitanzania ninaye amini katika mabadiliko na maendeleo. Naimani kama tunataka kujenga taifa la kisasa na lenye mitazamo ya kisasa katika masuala...
new office space 250 square meters suitable for offices, gym, canteen e.t.c. Enough parking space.
located next to shoppers plaza along old bagamoyo road (mikocheni).
*$14 per square meter...
Dear ma sis
Nakutakia sikuku njema ya ukumbusho wa kuzaliwa kwako;kwanza nampongeza mama aliekubali kukubeba miezi tisa bila kumtukuza mzee wetu aliepigana wewe kuja dunian na mwisho kwa wale
wote...
natafuta nyumba maeneo ya kuanzia mbezi Africana kurudi hadi kijitonyama hadi makumbusho. vyumba viwili vya kulala, sebule, jiko, dining, na parking.
Thanks
Ipo Kimara Mavurunza mita chache kutoka ''Morogoro road''. Ina vyumba vinne vya kulala(kimoja master bedroom, self contained). Ina sebure kubwa yenye ukubwa wa sqm 40, jiko lenye ukubwa wa sqm 15...
Natafuta meneja wa kusimamia mradi wa kusaga, kukoboa,kupack na kuuza nafaka. Anatakiwa awe na uzoefu walao wa miaka miwili katika kazi hiyo hapa Dar es salaam. Awe na elimu walao ya kidato cha...
Vipo Mbezi Beach Juu. Vipo umbali wa kilomita nne kutoka Bagamoyo Road inayofanyiwa upanuzi.
Vipo viwanja saba. Viwili vina Hati Miliki (Tittle Deed), kila kimoja kina ukubwa wa sqm 1000 au 25...
Ninaomba kufahamishwa mitandao ya kijamii ya aina ya Jamii forums kutoka nchi za jirani kama Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Malawi, Zambia na Congo ( DRC). Iwe ni ya lugha ya kiswahili au...
Zipo kijitonyama kisiwani karibu na kisiwani Polisi Post au shule ya mama Salma. Kila moja ina vyumba vitatu vya kulala sebure diining jiko na store. Maji masaa 24. kila moja inapangishwa kwa...
URGENT: A three bedroom, fully furnished house, is IMMEDIATELY REQUESTED, for lease in the Masaki Suburb of Dar es Salaam. The budget is USD 4,000.00 per month, payable annually. If you are the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.