Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Salam wana JF, Kwa wale wote wanaotaka kusoma Uandishi wa Habari, Utangazaji na Radio Production naomba uni PM ukieleza haya:- 1. Unaishi wapi?? 2. Upo tayari kusoma kuanzia lini?? Nitakupa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mimi ni kijana wa kiume.Nimemaliza fm 6 mwaka huu.Sina kazi jamani.yoyote aneweza anisaidie nipo TABOSA MJINI.Computer naweza kutumia vizur.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafuta vitabu vya ebooks kwa ajili ya Advanced level kama ifuatavyo: 1. Fundaumentals of physical chemistry by Chand 2. Biology science - Taylor Greeen 3. Inquiry into life - Sylivia Naomba...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ndugu wana jf kwa yeyote mwenye taarifa naomba anifahamishe, ninahitaji toyota raum iliyotengenezwa kuanzia mwaka 2000. Natanguliza shukrani
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Natafuta vitabu vya ebooks kwa ajili ya Advanced level kama ifuatavyo: 1. Fundaumentals of physical chemistry by Chand 2. Biology science - Taylor Greeen 3. Inquiry into life - Sylivia
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari kwa wanajamii forums wote! Mimi ni kijana wa kitanzania ninaye amini katika mabadiliko na maendeleo. Naimani kama tunataka kujenga taifa la kisasa na lenye mitazamo ya kisasa katika masuala...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana JF natafuta used ipad with 3g+wifi,ikiwa na 32 gb sio mbaya.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
new office space 250 square meters suitable for offices, gym, canteen e.t.c. Enough parking space. located next to shopper’s plaza along old bagamoyo road (mikocheni). *$14 per square meter...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Dear ma sis Nakutakia sikuku njema ya ukumbusho wa kuzaliwa kwako;kwanza nampongeza mama aliekubali kukubeba miezi tisa bila kumtukuza mzee wetu aliepigana wewe kuja dunian na mwisho kwa wale wote...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
natafuta nyumba maeneo ya kuanzia mbezi Africana kurudi hadi kijitonyama hadi makumbusho. vyumba viwili vya kulala, sebule, jiko, dining, na parking. Thanks
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ipo Kimara Mavurunza mita chache kutoka ''Morogoro road''. Ina vyumba vinne vya kulala(kimoja master bedroom, self contained). Ina sebure kubwa yenye ukubwa wa sqm 40, jiko lenye ukubwa wa sqm 15...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Natafuta meneja wa kusimamia mradi wa kusaga, kukoboa,kupack na kuuza nafaka. Anatakiwa awe na uzoefu walao wa miaka miwili katika kazi hiyo hapa Dar es salaam. Awe na elimu walao ya kidato cha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Vipo Mbezi Beach Juu. Vipo umbali wa kilomita nne kutoka Bagamoyo Road inayofanyiwa upanuzi. Vipo viwanja saba. Viwili vina Hati Miliki (Tittle Deed), kila kimoja kina ukubwa wa sqm 1000 au 25...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa wale wapenzi wa muziki wa Kikongo, pata raha isiyo na kifani hapa: MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI!
0 Reactions
4 Replies
2K Views
MacBook 2.4GHz : 250GB 2.4GHz Intel Core 2 Duo 2GB DDR3 memory 250GB hard drive1 8x double-layer SuperDrive NVIDIA GeForce 320M graphics Built-in 7-hour battery2 zipo 4 (brandy new)na kila...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Ninaomba kufahamishwa mitandao ya kijamii ya aina ya Jamii forums kutoka nchi za jirani kama Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Malawi, Zambia na Congo ( DRC). Iwe ni ya lugha ya kiswahili au...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ni ya mwaka 2004 E series E240, km 55200 bei ni USD $30,000 iko kwenye condition safi sana all the services books are available.
0 Reactions
10 Replies
3K Views
mwenye kiwanja maeneo ya mikese(moro) anifahamishe bei ,ukubwa na kilipo
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Zipo kijitonyama kisiwani karibu na kisiwani Polisi Post au shule ya mama Salma. Kila moja ina vyumba vitatu vya kulala sebure diining jiko na store. Maji masaa 24. kila moja inapangishwa kwa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
URGENT: A three bedroom, fully furnished house, is IMMEDIATELY REQUESTED, for lease in the Masaki Suburb of Dar es Salaam. The budget is USD 4,000.00 per month, payable annually. If you are the...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom