Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ninauza gari yangu Mitsubishi Canter Truck tipper la Mwaka 2003 liko Zanzibar bei millioni 20 sababu za kuuza nikuwa nahitajia pesa haraka nimetokezewa na matatizo kwa mwenye kutaka au kuliona...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu nataka kujifunza kijapan, beginners stage, kwa yeyote anayeweza nishauri nianzaje ili niweze kusoma for the shortest time as possible, ntamshukuru sana. Natanguliza shukrani zangu za dhati.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wana JF members Ninauza Soseji kutoka Peramiho, Songea Mkoani Ruvuma ni soseji nzuri kwa familia. Watoto huzipenda sana hizi, ukizihitaji tafadhali wasiliana nami kwa simu 0715 497259 au...
0 Reactions
32 Replies
13K Views
Kama wewe ni mmoja wa watu wenye kutaka kuona wengine pia wanaishi kwa furaha na amani, basi tafadhari sana Fungua HAPA Kisha chukua Hataua.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Natafuta nyumba ya kupanga iwe maeneo ya sinza, Mikocheni au Kijitonyama. Iwe ya vyumba vitatu (au hata viwili), Sitting room, dining room, jiko na stoo. Iwe na choo na bafu ndani. Iwe inaeza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari waungwana, Je kuna bingwa humu anayejua au ana network ya jamaa wanaoshughulika na ujenzi?? Msaada waungwana nitashkuru sana.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Located at Kibamba C.C.M area in Kinondoni Municipality Dar es Salaam City. About 25 metres from Morogoro Road. Plot Size: HEKARI MOJA NA ROBO. Bei 25mil. Maelewano yapo. Kwa maelezo zaidi piga...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kama ndiyo kampuni ya ulinzi ya KALU SECURTY inaouwezo wa kutoa huduma hiyo kwako tunatoa huduma ya ulinzi kwenye Makampuni mbali-mbali,shule,maofisi,na sehemu mbali-mbali utakazotuhitaji kulinda...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Wandugu nataka kufanya tafiti kuhusu Viwanda vya Kusindika Maziwa Tanzania vinavyofanya kazi vilivyopo kwa sasa,ningependa kujua majina na mikoa vilipo ,pamoja na kuwa nina orodha ya baadhi ya...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Wana JF, Nina Mac Laptop used ninaiuza please see below for further details The following are the specs for my Power book G4 15' Mac OS X Version 10.3.9 Processor 1.5 PowerPc G4 Memory...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari wa JF! Siku kadhaa niliweka thread iliyouliza kuhusu magari, niliomba ushauri kuhusu gari na wengi walinishauri nitafute Nissan March au Vitz au Fun Cargo. Lakini katika kuperuzi nimeona...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Gari inauzwa, piga namba 0784 419030, atakayehitaji picha, ni PM. Pia nitashukuru kupata msaada wa namna ya ku-attach doc, maana hapa link imegoma.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
kama yupo muuzaji ani PM please tuongee biashara fasta fasta
0 Reactions
12 Replies
2K Views
located at Msasani Peninsula, Masaki, this property is a convergence of modern functionality bespoke finishes, including materials sourced from various European countries. With superb...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Located at Kibamba C.C.M area in Kinondoni Municipality Dar es Salaam City. About 25 metres from Morogoro Road . Roof: Is of hipped type covered with corrugated iron sheets on timber members. No...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Silver, 2000 model, 3s injini, 1998cc, Imesajiliwa Tz 15/04/2011 Imetembea km 117834, Bei 12.5mil. 0784225000
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Heshima mbele wana JF, Nahitaji Document Feeder ya photocopier Canon IR 2520 (DADF-AB1 for Canon IR 2520). Ningependelea kupata mpya, naomba mwenye nayo anijuze naipata kwa bei gani ifikishwa...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Rav 4, 3 doors inahitajika. Model ya 1998 au 1999. contact 0786305664
0 Reactions
1 Replies
1K Views
wana JF. Maelezo yanajieleza, iwe pentium 4, nzuri, pesa ipo mkononi.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau, Naulizia kama kuna mtu anafahamu hospitali hii ilipo, au ana contact za hapo. Nimetafuta kwenye google, lakini sijapata info kamili. Hii hospitali ipo Dar es salaam, ila sijajua ni eneo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom