Wakuu,
Nauza Mazda Demio ya Mwaka 2003,
CC 1300,
Mille-age 106,000
Petrol,
Milango 5,
5 seater,
Ishasajiliwa,
Imetoka Bandarini last week,
Bei 7.8Mil,
Picha nitaziweka soon,
Mwenye kuhitaji, PM please
Kaka mbona bei cheap namna hiyo?
Naihitai sana hiyo gari sema tu mshiko sina,
Niachie kwa mkopo basi halafu mwezi wa kumi nkupe 8.5, kuna dili nafukuzia lita-mature kipindi hicho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.