Nyumba ya kukodi Dar kwa muda mfupi

Nyumba ya kukodi Dar kwa muda mfupi

Sokwe Mjanja

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2009
Posts
575
Reaction score
298
Wakuu natanguliza shukrani.

Nategemea kuja Dar mwanzoni mwa September sasa ni wapi naweza pata nyumba ya kupanga kwa muda mfupi kama wiki 2 au less hivi, hakuna masharti magumu sana ila tu iwe sehemu nzuri ya kufikika na usalama. Iwe full furnished wakuu

Mwenye nayo au amjuaye mwenye nayo ani PM
 
Hi Sokwe, Unakuja mjini? ngoja nikusaidie ndugu yangu:
Budget yako ni ngapi?
Unataka iwe na vyumba ngapi?
Taja eneo 2/3 unazo taka (masaki masaki ao mbagala mbagala?)
Unataka iwe na parking?
Full furnished maana yake nini? na vijiko na dish ao viti na vitanda tu?
Jibu hapo utaona kitomai anakuletea kitu poa.
 
Hi Sokwe, Unakuja mjini? ngoja nikusaidie ndugu yangu:
Budget yako ni ngapi?
Unataka iwe na vyumba ngapi?
Taja eneo 2/3 unazo taka (masaki masaki ao mbagala mbagala?)
Unataka iwe na parking?
Full furnished maana yake nini? na vijiko na dish ao viti na vitanda tu?
Jibu hapo utaona kitomai anakuletea kitu poa.

Afadhali ndugu yangu angalau umetokeza kunisaidia, nimeuza Korosho nataka kuja mjini kidogo kuosha macho na kupiga picha.
Nyumba iwe tu sehemu nzuri japo ningependa mitaa ya Mwenge, Kijitonyama, Hata Town si mbaya sana. Bajeti anapanga mwenye nyumba ila najua tutaelewana tu.
Nikija nikutafute RussianRoulette? Nina kakiasi kidogo ka kuponda raha!
 
Sasa ndugu yangu Sokwe, ulipata? mbona hautujulishi tukakupigie deki?
 
Back
Top Bottom