Mtanzania mwenye makazi yake nchini Marekani ameanzisha kampuni ya simu itwaya umojaphone kwa ajili ya international calls, na bei ni poa kulinganisha na makampuni mengine kama vile VOIP na SKYPE...
Wakuu kuna mfanyakazi mwenzangu kapata email ifuatayo kuhusu green card, yeye anaamini kuwa habari hiyo ni kweli, japo tumemshauri sana kuwa awe makini, maoni wakuu...
Dear John Mwen'gan...
Habari wadau
Nauza Bajaji yangu imetumika miezi 2 tu, Aina ya TVS King 2 stroke
Bei poa na maelewano, iko Upango karibu na diamond jubilee kwa mawasiliano zaidi piga 0764 321519
Iwe haijagongwa,imetumika si zaidi ya 6Month,1500cc,5doors,any colour bt not red,any yr but >1997,Naomba kama unayo nisaide ndg yangu.Preff Automatic,Km ilizotembea <125,000KM.
RE.
Kiwanja kwa ajili ya matumizi ya shule ya nursery kinauzwa, kina ukubwa wa 2400 square meters. Kiwanja kimepimwa na kina hati kwa matumizi ya shule ya nursery na kipo Mwanagati, Ilala eneo la...
Great Thinkers,
Natafuta nyumba, ikiwa na vyumba 2 vya kulala, Sebule, Chooo, Jiko na Parking maeneo yeyote Arusha (preferably Njiro, Burka,Nane Nane, isiwe mbali sana na barabara kubwa.
Are you looking to Rent to or Buy a Property?
Are you looking for a Tenant or a Buyer for your Property?
Visit:Property & Real Estate Tanzania
For more information please call: 0784225000...
Kwa wapenzi JF mlioko Dodoma naomba msaada sehemu gani wanaprint vitabu?? ninauhitaji sana kama unafanya hiyo kazi na upo dom pliz tuwasiliane! Uni pm
Asante.
helo wakuu,ningependa wakuu mnipe mchanganuo wa bei za viwanja maeneo tofautofauti ya mikoa yetu,ili nijue ni kwa jinsi gani nitawekeza katika ardhi,na kuanzisha miradi mbalimbali.
nawasilisha...
Hii gari naipenda saaana!! Ila ni adimu kidogo kuziona but katika kutafuta tafuta kwangu niliweza kuiona kwenye website moja inauzwa kwa dola 876 USD ni ya mwaka 1997 na imetembea km 100,000 in CC...
habari wakuu,ninahitaji used pool table kutoka kwa mtu.nina bajeti ya 500,000/=,ningependa zaidi ile ya kutumia mia mbili automatically.
nawasilisha wakuu.
Heshima yenu wakuu
Kama jambo hili litakuwa si mahala pake naomba mnistahi.
Nahitaji kufahamu kwa kina ama undani wa charges za kuingiza gari nchini baada ya malipo ya CIF inakuaje. Na gari hiyo...
Habari wakuu!!!
Nauza 1Tb aina ya seagate(Go Flex) kwa bei ya Tshs 225,000/=
zinatumika kwenye Operating system aina yoyote.
Kwa anaehitaji naomba ani-PM kwa mawasiliano ziadi.
Asante.
Habar zenu wakuu,naomba msaada kama kuna nafas za tempo zinapatkana kuanzia saa kumi na mbili jioni (after my class hourz). Ni mwanafunz wa degree ya banking & Finance katika chuo cha usimamizi wa...
NINAUZA TOYOTA MARK II GX 100 ya mwaka 2000 bei 8.8 IMEINGIA TANZANIA MWAKA JANA MWEZI WA SITA mawasiliano 0713 99 45 42 (picha zipo nimeshindwa kuattach hapa)
Nyumba inapangishwa mbagala maji maji matitu vyumba vya kulala vinne, kimoja self container, sebule moja, dining room, jiko, choo na bafu ndani, na stoo- bei laki mbili- mawasiliano- 0717 08 14 15
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.