Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Mtanzania mwenye makazi yake nchini Marekani ameanzisha kampuni ya simu itwaya umojaphone kwa ajili ya international calls, na bei ni poa kulinganisha na makampuni mengine kama vile VOIP na SKYPE...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Viwanja vinauzwa Mbezi Makabe ukubwa 22x25 bei sh M2.5 kwa anayehitaji tafadhali piga simu namba 0713876210
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu kuna mfanyakazi mwenzangu kapata email ifuatayo kuhusu green card, yeye anaamini kuwa habari hiyo ni kweli, japo tumemshauri sana kuwa awe makini, maoni wakuu... Dear John Mwen'gan...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Habari wadau Nauza Bajaji yangu imetumika miezi 2 tu, Aina ya TVS King 2 stroke Bei poa na maelewano, iko Upango karibu na diamond jubilee kwa mawasiliano zaidi piga 0764 321519
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Iwe haijagongwa,imetumika si zaidi ya 6Month,1500cc,5doors,any colour bt not red,any yr but >1997,Naomba kama unayo nisaide ndg yangu.Preff Automatic,Km ilizotembea <125,000KM. RE.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kiwanja kwa ajili ya matumizi ya shule ya nursery kinauzwa, kina ukubwa wa 2400 square meters. Kiwanja kimepimwa na kina hati kwa matumizi ya shule ya nursery na kipo Mwanagati, Ilala eneo la...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Great Thinkers, Natafuta nyumba, ikiwa na vyumba 2 vya kulala, Sebule, Chooo, Jiko na Parking maeneo yeyote Arusha (preferably Njiro, Burka,Nane Nane, isiwe mbali sana na barabara kubwa.
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Are you looking to Rent to or Buy a Property? Are you looking for a Tenant or a Buyer for your Property? Visit:Property & Real Estate Tanzania For more information please call: 0784225000...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa wapenzi JF mlioko Dodoma naomba msaada sehemu gani wanaprint vitabu?? ninauhitaji sana kama unafanya hiyo kazi na upo dom pliz tuwasiliane! Uni pm Asante.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
helo wakuu,ningependa wakuu mnipe mchanganuo wa bei za viwanja maeneo tofautofauti ya mikoa yetu,ili nijue ni kwa jinsi gani nitawekeza katika ardhi,na kuanzisha miradi mbalimbali. nawasilisha...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hii gari naipenda saaana!! Ila ni adimu kidogo kuziona but katika kutafuta tafuta kwangu niliweza kuiona kwenye website moja inauzwa kwa dola 876 USD ni ya mwaka 1997 na imetembea km 100,000 in CC...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
habari wakuu,ninahitaji used pool table kutoka kwa mtu.nina bajeti ya 500,000/=,ningependa zaidi ile ya kutumia mia mbili automatically. nawasilisha wakuu.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Heshima yenu wakuu Kama jambo hili litakuwa si mahala pake naomba mnistahi. Nahitaji kufahamu kwa kina ama undani wa charges za kuingiza gari nchini baada ya malipo ya CIF inakuaje. Na gari hiyo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wakuu!!! Nauza 1Tb aina ya seagate(Go Flex) kwa bei ya Tshs 225,000/= zinatumika kwenye Operating system aina yoyote. Kwa anaehitaji naomba ani-PM kwa mawasiliano ziadi. Asante.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
jipatie External harddisks 2.5" za brand za SAMSUNG, LG, TRANSCEND ukubwa wa 500GB kwa Tsh 140,000/= tu.
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Tunaprinti na kudizaini, business card, t-shirts, adverts etc kwa mawasiliano-0717 081 415
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habar zenu wakuu,naomba msaada kama kuna nafas za tempo zinapatkana kuanzia saa kumi na mbili jioni (after my class hourz). Ni mwanafunz wa degree ya banking & Finance katika chuo cha usimamizi wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Rangi Cream White Model 2002 Bei 12 million TZS Angalia picha zake hapa chini ukiridhika Wasiliana nasi kwa namba. 0713 531152
0 Reactions
23 Replies
26K Views
NINAUZA TOYOTA MARK II GX 100 ya mwaka 2000 bei 8.8 IMEINGIA TANZANIA MWAKA JANA MWEZI WA SITA mawasiliano 0713 99 45 42 (picha zipo nimeshindwa kuattach hapa)
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Nyumba inapangishwa mbagala maji maji matitu vyumba vya kulala vinne, kimoja self container, sebule moja, dining room, jiko, choo na bafu ndani, na stoo- bei laki mbili- mawasiliano- 0717 08 14 15
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom