Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

nimepigiwa simu na mtu namba zake ni za Airtel katika kuongea kaaza kunitukana sasa ninataka kujua huyu mtu ni nani nitumie njia gani kumpata
0 Reactions
15 Replies
3K Views
wadau nisaidieni, naomba kama mwenye details zozote kuhusu hili, nyumba iwe na vyumba 2 vya kulala (kimoja kikiwa self contained itapendezazaidi), sebule kubwa ya kutosha, na stoo. pia kama meter...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari za wakati na salamu za sikukuu ndugu wanajukwaa la jamii, Tunayofuraha sana kujitambulisha kwenu na kwa umma wa watanzania waishio ndani na nje ya mipaka yetu ya kijiografia, Darproperty...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
nahitaji mashine ya kukobolea mpunga (SB-50 Rice Mill machine) kuna yoyote anaejua bei zake kwa sasa na inapo patikana na contact zao? natanguliza shukran
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hi Waheshimiwa,nahitaji kujua wapi naweza pata au mwenye Toyota Starlet ya bei ya kuridhisha ili mradi iwe haijatembea hapa kwetu and unregistered, Year 2000 or latest,manual /automatic,white...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kiwanja/viwanja vinauzwa kwa ujumla. Hekari 20 kwa mil 70. Eneo lipo kiluvya maeneo ya kwa Sumaye(waziri mkuu mstaafu). Ni umbali wa kilomita 9 toka barabara ya Dar-Morogoro. Kwa mawasiliano...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wana jf! Kuna kiwanja chenye hati kinauzwa bei chee kiko kipawa mpya aka kwa mbike na kiko tambarare ni vile viwanja waliopewa watu waliohamishwa kipawa kupisha ujenzi wa uwanja wa ndege...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ipo Kimara Temboni Saranga. Ina vyumba vitatu vya kulala, sebure, gereji na jiko. Haijakamilika. Ipo katika kiwanja chenye ukubwa wa mita 34 kwa 26. Bei shilingi 25mil. Maelewano yapo. Kwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
SHIMI ENTERTAINMENT tunatoa huduma za Music na MC, Photo and Video Shooting kwenye sherehe na shughuli mbalimbali. Pia tunafanya promotion za bidhaa mbalimbali kwa street music na dancers. SHIMI...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kipo KIBAMBA CCM. Kina ukubwa wa heka moja. Kipo mita 50 kutoka barabara ya Morogoro. Bei shilling 20mil. Kwa maelezo ya ziada piga simu 0717114409.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
. Ipo Mbezi Shamba kwa mzungu pembezoni mwa barabra iendayo Mbezi Makabe. Ipo katika kiwanja chenye ukubwa wa mita 29 kwa 27 Ina vyumba vitatu vya kulala, masta na jiko. Haijakamilika. Bei...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa mahitaji ya kutengenezewa Magazine, logos, brochures,matangazo kwa bei nafuu wasiliana nami kupitia email: ckundawa@gmail.com or cell 0718656164
0 Reactions
0 Replies
984 Views
tsup wana jf? Natafuta laptop yenye full size keyboard na yenye widescreen! Iwe hp,cmpq,tshb au del na yny spec latest as webcam,2ghz prcr,320gb hdd,2gb ram.. Yeyote ambye anaweza kunisaidia...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Napenda kutoa ushauri kwa wanaJF kuwa, ni vyema tukawa na sikukuu yetu ambayo pamoja na mambo mengine itatoa tathmini kuhusu michango mbalimbali inayotolewa na mbember wa JF. Pawepo pia na mshindi...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Ipo Mbezi Shamba kwa mzungu pembezoni mwa barabra iendayo Mbezi Makabe. Ipo katika kiwanja chenye ukubwa wa mita 29 kwa 27. Ina vyumba vitatu vya kulala, masta na jiko. Haijakamilika. Bei...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nahitaji kuingia kwenye jukwaa la mambo ya kikubwa,nifanyeje??
0 Reactions
2 Replies
990 Views
Gari hizi ni aina ya Toyota,mbili ni Toyota corona na moja ni Toyota corola E100,Zote ni rangi nyeupe,sports ream,hatu uzi gari moja moja,unashauriwa kuja na fundi wako wakati wa kununua,they are...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Iwe Chumba sebule, Jiko na choo. Bajeti ni Tsh 150000 kwa mwezi malipo ya mwaka mzima yapo tayari. Mwenye nayo aniPM.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu, nina noah ya mwaka 2001 na nimeiingiza tz sept 2010, odo inasomeka 142880. Kutokana na ugumu wa maisha na kupanda kwa bei ya petrol nimeshindwa kuimudu. Kuna jamaa kapatikana anataka...
0 Reactions
15 Replies
9K Views
Back
Top Bottom