wadau nisaidieni, naomba kama mwenye details zozote kuhusu hili, nyumba iwe na vyumba 2 vya kulala (kimoja kikiwa self contained itapendezazaidi), sebule kubwa ya kutosha, na stoo. pia kama meter...
Habari za wakati na salamu za sikukuu ndugu wanajukwaa la jamii,
Tunayofuraha sana kujitambulisha kwenu na kwa umma wa watanzania waishio ndani na nje ya mipaka yetu ya kijiografia, Darproperty...
nahitaji mashine ya kukobolea mpunga (SB-50 Rice Mill machine) kuna yoyote anaejua bei zake kwa sasa na inapo patikana na contact zao? natanguliza shukran
Hi Waheshimiwa,nahitaji kujua wapi naweza pata au mwenye Toyota Starlet ya bei ya kuridhisha ili mradi iwe haijatembea hapa kwetu and unregistered, Year 2000 or latest,manual /automatic,white...
Kiwanja/viwanja vinauzwa kwa ujumla. Hekari 20 kwa mil 70. Eneo lipo kiluvya maeneo ya kwa Sumaye(waziri mkuu mstaafu). Ni umbali wa kilomita 9 toka barabara ya Dar-Morogoro.
Kwa mawasiliano...
Habari wana jf!
Kuna kiwanja chenye hati kinauzwa bei chee
kiko kipawa mpya aka kwa mbike na kiko tambarare
ni vile viwanja waliopewa watu waliohamishwa kipawa kupisha ujenzi wa uwanja wa ndege...
Ipo Kimara Temboni Saranga. Ina vyumba vitatu vya kulala, sebure, gereji na jiko. Haijakamilika. Ipo katika kiwanja chenye ukubwa wa mita 34 kwa 26. Bei shilingi 25mil. Maelewano yapo. Kwa...
SHIMI ENTERTAINMENT tunatoa huduma za Music na MC, Photo and Video Shooting kwenye sherehe na shughuli mbalimbali. Pia tunafanya promotion za bidhaa mbalimbali kwa street music na dancers. SHIMI...
.
Ipo Mbezi Shamba kwa mzungu pembezoni mwa barabra iendayo Mbezi Makabe. Ipo katika kiwanja chenye ukubwa wa mita 29 kwa 27 Ina vyumba vitatu vya kulala, masta na jiko. Haijakamilika. Bei...
tsup wana jf?
Natafuta laptop yenye full size keyboard na yenye widescreen!
Iwe hp,cmpq,tshb au del na yny spec latest as webcam,2ghz prcr,320gb hdd,2gb ram..
Yeyote ambye anaweza kunisaidia...
Napenda kutoa ushauri kwa wanaJF kuwa, ni vyema tukawa na sikukuu yetu ambayo pamoja na mambo mengine itatoa tathmini kuhusu michango mbalimbali inayotolewa na mbember wa JF. Pawepo pia na mshindi...
Ipo Mbezi Shamba kwa mzungu pembezoni mwa barabra iendayo Mbezi Makabe. Ipo katika kiwanja chenye ukubwa wa mita 29 kwa 27. Ina vyumba vitatu vya kulala, masta na jiko. Haijakamilika. Bei...
Gari hizi ni aina ya Toyota,mbili ni Toyota corona na moja ni Toyota corola E100,Zote ni rangi nyeupe,sports ream,hatu uzi gari moja moja,unashauriwa kuja na fundi wako wakati wa kununua,they are...
Wakuu, nina noah ya mwaka 2001 na nimeiingiza tz sept 2010, odo inasomeka 142880. Kutokana na ugumu wa maisha na kupanda kwa bei ya petrol nimeshindwa kuimudu. Kuna jamaa kapatikana anataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.