Rapid Rural Development Implementation Foundation (RARUDEIF), a national non profit NGO with registration number OONGO/1243 wishes to announce its 10,000 Plus Fundraising Campaign for year 2012...
2010 Bajaj Pulsar
Mahali iliko: Dar Es Salaam
Kuingizwa na Kuandikishwa Tanzania : 2010
Ujazo: 150cc
Odometer: 9400 km
BEI: TSHS 2,750,000/=
Contacts: 0714 539263
Nimeitumia pikipiki hii kwa...
Napenda kuwakaribisha wana Jamii Forum Wote kwenye Group ya SAUTI YA WATANZANIA tuweze badilishana mawazo na kupeana Taarifa ya kinachoendelea hapa Nchini kwetu Tanzania.
Group hili linaruhusu...
Naomba msaada wenu nahitaji kupata laptop Dell latitude ya 4GB (new/used) kwa matumizi ya kawaida ni wapi naweza kununua,? Bei ya kulipa laki 4 to 4.5. Naomba mnijuze wandugu na wenyeji wa maeneo...
DODOMA SANAA GROUP. Kazi za sanaa, tunachora michoro ya aina mbalimbali, mabango, mafundi bingwa wa rangi na ujenzi. Tunaandika mashairi na ngonjera kwa ajili ya sherehe mbalimbali kwa kiwango cha...
Wana JF,
Nakuja kwenu nikomba mnisaidie Mtanzania na mwanaJF mwenzenu mkopo WA Mil 5, hata kwa riba ambapo nitaanza kulipa baada ya mwezi mmoja. Nina gari na ia nyumba. Gari naweza kuacha kadi...
Blackberry Torch 9800 for sale in Arusha. Almost new, used for only two months since bought. Price $430. Comes with earphones and charger. Serious buyers only email: richie_massive@yahoo.com
Habari wanajamii
Natafuta motors 100-130 hp kwa ajili ya kusagisha na kukoboa mahindi kwa wingi, anybody anakofahamu sehemu hapa Dar wanauza let me know, any details nitafurahi plus costs
Nimetumwa na mjasiriamali mmoja nimtangazie biashara yake.
Anazo NOKIA N8, anauza kwa 250,000/=
Kama unahitaji send me a PM, nikutumie namba yake ya simu. Yuko based DAR
Nawasilisha...
Wandugu najua humu hakuna lisilo tatuliwa angalau kwa mawazo!! Hivi machine za kufyatulia matofali nitazipata kwa kiasi gani na wapi? natanguliza shukrani za dhati!!
Kiwanja kinauzwa kipo mita 800 kutoka NJIA PANDA(HIMO) kama unaelekea Dar-es Salaam ukitokea Arusha,ukubwa wake ni heka moja kimepimwa kama eneo la mji kwa ajili ya maandalizi ya jiji la...
Habari wakuu.
Gari mbili zinauzwa tanga.
Toyota IST. year 2002. 90,000 km. in good condition.
bei. 13 mil.
Toyota Caldina. year 1996. 4.5 mil. In good condition.
price negotiable for...
wakuu wangu, naomba msaada wa kupata kiwanja cha kuishi. sehemu yenyewe iwe na sifa zifuatazo
1. iwe sehemu yenye climate nzuri ( mvua hazikosekani)
2. udongo wenye rotuba ( natazamia kufanya...
Wapendwa,
Tunapenda kuwakaribisheni wote kuwa kwa yeyote mwenye kuhitaji simu original na zenye waranty ya mwaka mzima (nokia, samsung, LG, Blackberry all models, Sonny Erricsson)...chonde atuone...
Wadau, kuna vyumba kwa ajili ya Wanafunzi wa Tumaini University, Iringa. Ni umbali wa mita 200 tu kutoka chuoni, kila chumba ni self contained, kina maji na umeme. Kila chumba kina kitanda...
Shamba lenye ukubwa wa ekari mbili linauzwa. Shamba hilo lipo katika kijiji cha Kerege Matumbi, kuelekea njia iendayo katika kijiji cha kilemela. Ni kilomita moja toka katika barabara ya lami...
Kama unahitaji muziki kwa shughuli ya aina yeyote ile,iwe ubarikio,ubatizo,komunio,Kipaimara,Ndoa,Harusi,Send Off,Beg Party,Kitchen Party,Graduation,Mkutano,Misiba,Mhadhara au aina ya Sherehe...
hii ni kampuni inayoshughulika na maswala ya solar and electrical installation
Sehemu tulizo bobea kwa ujumla:
General domestic and industrial electrical installation.
Electrical machines and...