Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wana jf anaefahamu namna gan ntaweza kuunganisha internet ya tigo kwenye cm,mana nimejaribu kutuma ujumbe mfupi wa neno WAP na aina ya simu na model kwenda 500 lakin imekataa,msaada tafadhal
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Vipo Mbezi Juu, TADEDO. Mita 50 kwa 25 Bei 25 milioni. Mita 47 kwa 30 Bei 25milioni. Mita 40 kwa 25 Bei 18 milioni. 2333 square meters kina Hati Miliki Bei 35mil. Mita 30 kwa 25 Bei 20...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
2000 Toyota Opa for sale.. Price: $7,000 (Non negotiable) Features: Mileage: 110,000 km Beautiful Interior and great condition Everything working good No Accident Duty fully paid with...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Kuna anaejua any relatively cheap but clean hotels in Dar city centre or close to Bibi Titi road? Asante.
0 Reactions
12 Replies
3K Views
ipo kontena njiro haijakamilika ipo kwenye lenta na kiwanja ni 20 kwa 40 meter price 22mil
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ninauza shamba lenye ukubwa wa ekari moja, lipo umbali wa kilometa 25 kutoka ferry. Eneo linaitwa mbutu Mkwajuni. Bei Tshs. 4000,000 ( Milioni nne). Mmiliki ni mimi mwenyewe, piga namba 0658 517...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habar za asubuhi. Nauza furniture. ipo kwenye very good condition. pia na deep freezee moja na fridge ndogo all in good condition. furniture on sale is kabati,dressing table,dinning table etc...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Visit www.rogers.wen.ru
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Shamba lenye ukubwa wa mita 280 urefu na 247 upana linauzwa maeneo ya kimbiji,nnje kidogo ya mji wa kigamboni. Shamba lina mazao ndani yake kama vile minazi,migomba,michungwa nk. Bei ni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tafadhali mnisaidie kutafuta nyumba ya kununua Mbagala, Tandika au Mtoni.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Ninauza shamba lenye ukubwa wa ekari moja, lipo umbali wa kilometa 25 kutoka ferry. Eneo linaitwa mbutu Mkwajuni. Bei Tshs. 4000,000 ( Milioni nne). Mmiliki ni mimi mwenyewe, ni pm tufanye...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Habari za kazi wadau, nauza gari yenye details zifuatazo; Make: Toyota Model: Corolla Colour: Pearl Year of manufacture: 1999 Engine capacity: 1587 Odometer: 109700 Price ni Millioni Nane tu...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Kimara bonyokwa, ukifika kimara mwisho unaaenda barabara kubwa ya kushoto (jakaya road) sasa along jakaya road ndio kuna hivyo viwanja. kama unahitaji piga namba 0716622185 au 0759311775...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wakuu habari za mapumziko. Naomba anayejua toyota caldina anisaidie juu ya ulaji wake wa mafuta. ni ya mwaka 1998, odo 183,000, cc 1760, engine 7A - FE. nimejaribu kuperuzi humu jamvini naona...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Habari peoples, Kwa wale wanaofahamu mteja kuna sehemu nzuri kwa biashara hiyo inauzwa, bei tuwasiliane,vibali muhimu vipo kwa biashara,iko sehemu nzuri mjini,barabara ya kenda DAR. contact 0653088887
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mwenye subwoofer inayosoma usb, na ina radio, mziki mkubwa.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wana JF Leo nimewaletea Toyota voxy. Year-2002, ni auto, inatumia petrol, mile age 80,000km, ina automatic engine startup(yani unaweza kuiwasha ukiwa hujapanda uko nje), ipo katika hali...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wana JF Leo nimewaletea Toyota voxy. Year-2002, ni auto, inatumia petrol, mile age 80,000km, ina automatic engine startup(yani unaweza kuiwasha ukiwa hujapanda uko nje), ina dark blue...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ninauza Nokia E 7 mpya kabisa 450000sh.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
7" Android 2.3 MID Tablet PC 7" Android 2.3 MID Tablet PC With: capacitive panel Leather Case, Keyboard, and Stylus Pen The very best in MID CPU - CPU:Samsung S5PV210 ARM Cortex-A8 processor...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom