All,
I have shipped used buses from Japan, they are at a good condition and able to go anywhere at any time. they are available and can be hired for any event at any time.
Commission will be...
5 doors, manual transmission, petrol black in color, 78456km, Duty paid, not registered 2000 year of manufacture in good condition, Imported recently from UK. Price 18mil. Negotiable. 0717114409
Kama kuna mtu ameshawahi kuagiza gari kutoka kwa befoward japanese car exporters naomba anipe ushauri juu ya reliability yao katika kuagiza magari kutoka kwao coz naona jamaa bei zao kiasi ni...
Wana JF nauza JIWE yaani engine yako kiboko kwa hard work Mitsubishi Fuso ROsa bus passenger 26,colour green/white Engine type 4D32 Ipo Japan Inakuja mwisho wa mwezi huu Bei Tshs 33,000,000...
FOR SALE KONICA MINOLTA C360 , DIGITAL PRINTER AND COPIER. PRINTS FULL COLOUR UPTO A3 SIZE. FOR ALL YOUR PRINTINGS FROM BUSINESS CARDS, FLIERS, BROCHURES, LETTERHEADS. YOU CAN ALL DO THEM IN THIS...
kipo kitalu F . Ukubwa wa kiwanja meta mraba 384. Muda wa miliki miaka 99. Matumizi ya kiwanja ni kwa ajili ya RESIDENTIAL .Bei shs 48mil. Mawsiliano 0717114409
Ndugu wanajamii, salaam.
Kwa mwenye kuweza kunisaidia kupata chumba kwa ajili ya ofisi namkaribisha.
Nahitaji chumba cha ofisi kwa ajili ya kijikampuni changu.
Mahali-Dar es salaam
Eneo-kuanzia...
Unamahitaji ya mchanganuo wa wa biashara (Business Plan)? Tunatengeneza business plan kwa bei ndogo na inaweza kupatikana katika kipindi cha wiki 2. Business plan zetu zinafuata standard ya UK...
Shamba lenye ukubwa wa ekari sita (6) linauzwa maeneo ya puna-kimbiji. Lipo karibu na Anderson beach ni dakika kumi na tano tu(15mns) hadi kufika beach. Kwa more infomation: contact 0715 664 478.
Friends
Nimepokea hii mail hapo chini! Nimeshinda pesa mingi sana na sasa najiandaa kushusha kanisa la kisasa Tanzania. Hebu someni wenyewe
Mch Masa.
THE COCA COLA COMPANY
PROMOTION PRIZE...
Wana JF kwanza hongera zenu nakupeni kwa majukumu yenu katika jamii. Naomba msaada wa namba za simu za viongozi na Wabunge wa CUF. Majuma kadhaa yaliyopita niliona namba za viongozi na Wabunge wa...
Ipo kimara stop over. Self contained ya vyumba vitatu, jiko, sebure na dinning, ni nyumba ya kisasa. Ipo ndani ya uwanja wa nusu eka . Bei tshs 65mil. kwa maelezo zaidi piga simu 0717114409
Rav4 Manual Estate, 2.0L, petrol ya 2002 inauzwa. Imetoka UK na imelipiwa ushuru, imeandikishwa na road licence. Imefika hapa nchini mwaka huu na hajitumika nchini. Ni rangi ya dhahabu na kila...
WANA JF Natafuta watu waliosoma Leganga primary School Usa River Arusha kuanzia mwaka 1982-1988. Akina Muhammad Ali, Israel, Hariri Khamisi, rehema, Yolanda, Zakaria Simon, msafiri na wengineo...
SHAMBA lipo moshi vijijini kata ya mbokomu kijiji cha korini juu, shamba lina eneo la kiwanja cha kujenga, lina migomba na kahawa,bei maelewano piga 0716692928 au 0752381305 na o686296385.
Mimi ni mwanafunzi wa Tumaini University-Iringa,naingia mwk wa 2,naomba sana waungwana na wakuu mlio humu msaada wenu either kuni"sponsor" au kunidirect ili nipate sponsorship.nitaprovide details...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.