Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nyumba nzuri ya vyumba viwili vya kulala (kimoja master), sitting room, jiko na choo. Iko kwenye compound ya nyumba 4, zimezungushiwa uzio wa ukuta.Kuna parking ya kutosha magari zaidi ya 6. Kodi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
nahitaj D620 kwa yyte aliyo nayo ni pm...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ina accesories zake zote including charge na headphone, ni 85,000 tu! Ina kaa na charge na ina guarantee. Huwezi pata sehemu yoyote kwa bei hii! CHANGAMKA SASA 0713079282
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafuta laptop au notebook yenye at least spcfctn: 320 gb hdd na kuendelea,1 gb Ram,iwe na speed ya kutosha,dvd RW,Wireless internet,etc iwe mpya au used isiwe na matatizo,mwenye nayo nipm pls...
0 Reactions
0 Replies
972 Views
Naomba kujua bei ya Play station 2 na 3, mpya, kama unazo ni pm, mtoto wangu ananisumbua sana, me nipo Kinondoni Dar..
0 Reactions
1 Replies
1K Views
wanajamii wenzangu ninauza KITU KIPYAA HAKUNA UTANI ! U.P.S Aina ya (INFORM GUARD ) KUTOKA UJERUMANI INA MWEZI TU HAPA NCHINI ichukuwe kwa 350,000/- Model:600A 600Ap Input:AC 220-230-240V...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Mambo vp wadau, Nauza Netbook HP MINI 110-3500 ni mpya kabisaaaaa, spec zake ni: Hard Disk - 250GB Ram - 1GB Processor - Intel Atom 1.60ghz dual Bluetooth Wireless SD card reader Bei ni Tshs...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
for sale toyota land cruiser prado engine 1kz - 3,000cc 1994 model imported in may 2011 with comprehensive insurance price $13,000
0 Reactions
11 Replies
3K Views
ambaye anaweza niuzia iyo simu anistue
0 Reactions
4 Replies
1K Views
mambo vp wadau, kwa mara nyingine nashusha mzigo mpya ubaoni ni Ipad 64GB mpya kabisa kwa 750,000/=. Nicheki kupitia 0655003510 uondoke na jiwe!
0 Reactions
9 Replies
2K Views
wakuu mzigo huo umeingia nchini siku si nyingi. karibuni kwa wale wote watakaokua interested!! call me through:713400763 or drop me an email at: imzzotz@yahoo.com asanteni! NB: FUNGUA attachment!!
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Ni mpya kabisa haina scratch, ipo kwenye cover yake na cd ya GTA victy.. Bei ni elfu 35,000 kama unaitaji nitafute kwa 0713079282
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nina laki 2, natafuta bb curve ikiwa kwenye hali nzuri na accessories zake kama headphone na charge... Kama hipo nitafute kwa 0713079282
0 Reactions
4 Replies
1K Views
120 gb hdd 15 tft color screen dvd rom bei 300,000 inafanya kazi vizuri call 0719 104 300
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Kiwanja kipo mbweni kina 30*40m bei 40M, kuna Shamba lipo kigamboni mwasonga karibu na Dar es Salaam Zoo heka 7 bei 15M, kuna Shamba lipo Visiga Madafu Kibaha, linafaa kufuga, kufungua shule Heka...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Iko DSM, Segerea. Ina 3 rooms na choo cha ndani. Kama inakufaa ni pm ukionyesha no. yako ya simu.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafuta nokiax201 used yenye bei nzuri
0 Reactions
3 Replies
2K Views
mambo vp wakubwa, Nauza Samsung Galaxy Tab 32GB ni mpya..... Bei ni 600,000/= nipigie kwa 0655003510 au ni PM au tuma msg kwa namba 0753196849. NB. kwa wale ambao wameshanunua simu kutoka kwangu...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Please wenye ujuzi wa uingizaji magari used toka Japan naomba msaada wenu......gharama za uingizaji tanzania huwa ngapi(approximate).....(mpaka gari linakuwa barabarani)??? mf. CIF+INSPECTION...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
1.HP pavilion dv6000,Duo,250gb ram,dvd rw,webcam,wlan, Tshs:820,000 2.HP Compaq v6000,Duo,160 gb,2gb ram,dvd rw,webcam,wlan,Tshs.680,000 3.HP Pavilion tx 1000,Duo,120gb,1.5 gb ram,dvd...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom