Natafuta kiwanja Tabora Mjini..

Natafuta kiwanja Tabora Mjini..

Dotowangu

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2011
Posts
242
Reaction score
77
ndugu zangu walioko Tabora mjini mimi natafuta kiwanja kilichopimwa size ya kati (medium) chenye ofa au hati kabisa. Kiwe kinafikika kwa gari na pia kisiwe mbali sana na barabara.. kuu kisiwe kinajaa maji hasa kipindi hiki cha masika.. Kama unacho au una mtu unamfahamu tafadhali naomba unitumie private message(PM) ili tuanye biashara ya kuuza na kununua.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom