I find below invitation of importance to indigenous and inhabitants of Kagera or whomever planning to have a vacation in Bukoba during this season . Not bad and cost nothing to share!
Dear...
wakuu, nimepata vi-diem vya christmas milioni saba, nahitaji toyota cami kwa yeyote anayeuza, iwe kwenye hali nzuri tuu, naihitaji haraka pesa isije ikapata mahitaji mengine, mwenye nayo anicheki...
Wadau, kwa mwenye kuweza nisaidia, nna kahela kangu kadogo, nataka nunua kagari ili kurahisisha shughuli zangu za kila siku...napenda starlet o swift ambayo ina hali nzuri kidogo. Nashukuru.
Wakuu,
Naomba mwenye Polk Audio Subwoofer anipe bei yake tafadhali - I desperately need it , Ningeprefer DSW PRO500 model. Natanguliza shukurani za dhati!
ndugu zangu walioko Tabora mjini mimi natafuta kiwanja kilichopimwa size ya kati (medium) chenye ofa au hati kabisa. Kiwe kinafikika kwa gari na pia kisiwe mbali sana na barabara.. kuu kisiwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.