Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza nokia X2. Kwa yeyote anayehitaji ani pm. Simu imetumika mwez mmoja tu. Bado ina guarantee ya mwaka vile vile, iko na protection cover mbili black na blue, unapata charger na earphones, vyote...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
WAKUU, Nimefunga mgahawa wangu na ninauza vifaa kama vifuatavyo na vimetumika miezi 6. List ni kama ifuatavyo: 1. GAS GRIDDLE 3 BURNER 2. GAS GRIDDLE 2 BURNER 3. FRYER 4. ORYX GAS TOP COOKER 5...
0 Reactions
11 Replies
10K Views
Any 1 mwenye kuuza vitu hapo juu nitafute kwa 0713079282
0 Reactions
0 Replies
954 Views
nina htaj laptop mbili aina ya dell d620. Kwa ambaye anayo iko katka hali nzuri na anauza not more than 350000 ani pm.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Haya sasa nimewawekea na picha kabisa,sitaki kuuza mbuzi kwenye gunia,bofya attachment hapo chini
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Nauza palm top tungsten t5! .Ipo katika hali nzuri,bei 120,000!
0 Reactions
9 Replies
2K Views
kichwa cha habari hapo juu chausika...ni PM nikutafute fasta
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Bei 150,000 size 320GB Muuzaji nipo dar Mnunuzi ni PM nikuachie mzigo
0 Reactions
17 Replies
2K Views
wakuu habari zenu, nataka kujua ntapata wapi laptop skins za club za Uingereza Liverpool, Arsenal, Chelsea na Manchester United kama hizo katika picha hapo kwa hapa Dar na Arusha??,,,nashkuru sana..
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Kipo maeneo ya Tatedo umbali wa kilomita 3 1/2 kutoka New Bagamoyo Road.kimepimwa na kina hati miliki. Bei 50mil. Kwa mawasiliano piga simu 0784225000 au tumia hii barua pepe...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
WanaJF Ninaomba msaada: Ninahitaji jengo la ofisi kama vyumba 2 au 3. Maeneo ninayopendelea yawe: Along Ali Hassan Mwinyi Rd, Msasani kwa Nyerere, Kijitonyama, Masaki na Upanga. Hata kama ni mtaa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndg wanajamii nauza kiwanja eneo la burka kusini lina upana wa mita 65 na urefu wa mita 120 sawa na heka 1 na nusu. mwenye kuhitaji anishtue.
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Huu mwezi ni wakati wa Wabeba boksi wengi kuja kula krismas home baada ya mihangaiko ya kusaka maisha ughaibuni ,karibuni sana sisi Wala vumbi tunaasubirieni kwa hamu,ila sasa mjitahidi kupunguza...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Wapendwa wana Malangali na wote wenye mapenzi mema na shule kongwe ya Malangali iliyoanzishwa tarehe 16/4/1928, kwa niaba ya kamati tendaji ya muda ya Malangali Alumni Association, napenda...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nyumba ina vyumba 4 master bedroom 1 vyumba 3 va kawaida sitting room dinning ipo mikocheni b nyuma ya coca cola karibia na academic international school kodi: Laki 6 kwa mwezi. Kodi ya mwaka...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kama kuna mtu mwenye dell d620 ambayo iko katika hali nzuri kabisa na yyko tayari kuiuza kwa Tshs 350000 anaweza ni pm.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wanajamii, naomba msaada kwa yeyote anaeweza kunipa taarifa sahihi ya uwezekano wa kupata kiwanja cha makazi maeneo ambayo ni nje kidogo ya mji wa Dar es salaam lakini si mbali sana kwa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
aina ya FUJIFILM MX - 1200 1.3 mega pixels Full set up with quality pictures Dc in 5V Memory card, Normal display, Price Tsh 40,000 only. Call 0713133633
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Looking for a complete engine of Make: suzuki Model: kei, Engine # F6A, Chasis: GF-HN11S, year: 2000
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nataka kununua min laptop kwa matumizi ya kazi shule na burudani binafsi...ofcoz itakua ni ku handle simpo task tu...so ningependa kufahamu ipi ni njema kati ya brand nyiiingi zilizopo kwenye...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom