Natafuta Kiwanja/Viwanja - Mwanza

Natafuta Kiwanja/Viwanja - Mwanza

Buswelu

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2007
Posts
1,998
Reaction score
356
Hello JF

Kama kuna mwenyeji wa mwanza anaye jua sehemu gani kuna viwanja au mashamba yanauzwa kwa bei nzuri,si zaidi ya 10m naomba tujulishane.
Au kuna unfinished house ambayo ina ramani nzuri pia tufahamishane.

Shukrani.
Buswelu.
 
Je unahitaji viwanja vilivyopimwa tu au hata ambavyo havijapimwa pia? Mashamba yapo buhongwa kama uko serious ni pm. nb; mm sio dalali na wala sihitaji dalali
 
kipo kiwanja eneo la buswelu hakija pimwa bei mlil 3
pia ipo nyumba yenye ramani nzuri na ina hati
ipo barabarani --mawasiliano 0764368242
 
Hello JF

Kama kuna mwenyeji wa mwanza anaye jua sehemu gani kuna viwanja au mashamba yanauzwa kwa bei nzuri,si zaidi ya 10m naomba tujulishane.
Au kuna unfinished house ambayo ina ramani nzuri pia tufahamishane.

Shukrani.
Buswelu.

Do you have anywhere specific unapopataka au just any where in Mwanza. Kuna mtu namjua anauza sehemu ya shamba lake;
 
Back
Top Bottom