Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

eneo linauzwa madale heka 8, lina hati ukinunua unapewa na hati ya kiwanja. Bei mil 64 Tshs. Kwa maelezo zaidi piga simu number 0755955385.
0 Reactions
3 Replies
983 Views
picha zinajieleza. gari iko katika hali nzuri kabisa, imetembea kilometer 18,000 tu tangu kuingia nchini. bei 12,500,000/- (milioni kumi na mbili, laki tano tu) 2500cc, vvti engine, AC, FM radio...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
COROLLA i 100 ipo ktk hali nzuri ukiichukua ni kwenda kuipiga rangi nyeupe tu ina full AC contact 0712 85 66 82 au 0715 63 70 61 Yombo dovya dsm
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Ina vyumba viwili vya kulala kimojawpo kikiwa maste, sebure na jiko. Kodi shs 350,000 kwa mwezi. Unalipa kodi ya mwaka 4,200,000 pamoja na kodi ya mwezi ya wakara. Karibu.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
wadau,habarini za wikiend mwenzenu natafuta telescope ya kununua mitaani wapi naweza kuipata? mwenye nayo au anayrfahamu wapi naweza kupata aniPM au anipe namba za simu na bei yake JF daima
0 Reactions
2 Replies
1K Views
asalaam wana jamii, zile uv light za kucheki kama hela ni original au fake nitaipata wapi.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
SUBARU FORESTER 2000 4WDTOUGH SUV ALL DUTY & TAXES - PAID DETAILS: YEAR/ MONTH 2001 DISPLACEMENT 2000cc STEERING Right TRANSMITION Automatic FUEL Gasoline/Petrol REG #:T...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Wadau anaejua duka la fanicha za shule kama vile viti vya plastic nzito na miguu ya chuma na desks zenye miguu ya chuma pia kwa hapa Dar wanakouza bei ya rejareja.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nyumba ya vyumba 11 inauzwa iko barabarani Kinondoni Mkwajuni. Bei milioni 70, Kwa maelezo zaidi sms au piga 07155549911
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Are you looking for a database driven software ? We are specialized in designing & developing Quality software applications to meet and exceed customer expectations. Our main areas of expertise...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mtu anayehitaji mbao za mgwina, mgelegele, mninga please pm me, zipo pia za aina nyingi.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
jamani nina simu aina ya motorola droid pro xt610 ilikuwa inatumika usa sasa tatizo ina lock nimeipeleka kariakoo wababaishaji naombeni yeyote anayejua mtaalamu atakaye weza ku unlock anisaidie...
0 Reactions
0 Replies
857 Views
Naomba msaada wa majina ya hivi viwanda kwa Kenya na Tanzania nakama unamawasiliano yao ya email au website zao utakuwa umenisaidia zaidi nataka kujaribu kufanya biashara ya madawa kutoka nje ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Office zetu zipo Mikocheni A karibu na shoppers plaza,tunajulikana kwa jina la DISOLN.Tuna-design website safi kwa matumiz ya biashara,binafs au kampun.Bei zetu zinanzia sh. 200,000 hadi...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wandugu Kuna kiwanja kinauzwa Mtwara Mjini Kipo mtaa wa kilimahewa, kiwanja hiki kinukubwa wa eneo la mita za mraba zaidi 2300 ( kama nusu heka), Sehemu yote ya maeneo haya imepimwa ila...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Halo Kama nilivyo sema siku chache zilizo pita kwamba kiwanja kinauzwa kipo mtwara mjini, mtaa wa mjimwema, kiwanja kinaukubwa wa zaidi ya 2300 metre squre, bei yake ni 14M. Sasa nimeambatanisha...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
mileg less laki moja,manual au auto ,milango 5.naomba wenye uelewa wa haya mambo ya magari wanisaidie .aksanten
0 Reactions
11 Replies
2K Views
iphone 3g 16gb black in good condition.......price 210,000tzs ...... ....if interested pm me
0 Reactions
3 Replies
968 Views
Back
Top Bottom