Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

PROCESOR 1.67 GH,RAM 1GB,HARD DISC 150 GB,WEBCAM etc.....imetumika kidogo....bei ni 400,000/=.....0717754355...niko moshi
0 Reactions
0 Replies
676 Views
Serious buyer anayehitaji magari hayo anipm bei ya kawaida.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu naomba msaada wa kumpata dalali au nyumba maeneo ya magomeni,au makumbusho,,,mawasiliano yangu ni 0756417504
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Mimi ninauza Mbwa aina ya Belgian Shepherd Malinois, nimebakiza puppies wa 3. Majike 2, Dume 1. Wamezaliwa wana wiki 1 mpaka leo trh 21 July 2012. wamezaliwa puppies wa5 wawili wapo kwenye oda...
0 Reactions
18 Replies
6K Views
SAMSUNG NYEUPE s 2 laki 7.5 ina boksi BB Torch mia 500 I phone 4 mpya laki 6.5 ncheki kwa bidhaa zaidi
0 Reactions
6 Replies
1K Views
This is for all owners of the medium size restaurants/hotel and big families. Simgas Tanzania Limited has a complete solution for you by launching its second product gas 2000 after great...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Natafuta bb curve 9360 mpya,mwenye nayo tafadhali anijulishe ninunue.
0 Reactions
1 Replies
811 Views
wakuu nahitaji kujua ni duka gan hapa mjini dar es salaam linauza vifaa vya kisasa vya saloon ya kiume ,nataka kufungua soloon ,msaada wenu wadau
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Samsung Intel,Soler Energy, HD 300GB, Ram 2GB, Linux Deepin 11.12,Nyeusi Software za Microsoft zote zinaingia, Haiathiriwi na Virus Bei 600,000/= maongezi yapo! Inamiezi miwili tu...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
jamani kwa anayehitaji line za tigo pesa naomba aniPM. Bei ni nafuu
0 Reactions
11 Replies
5K Views
husika na kichwa Cha habari,nahitaji blackberry Curve 8530 (curve 2) iliyotumika.. Pesa niliyonayo CASH ni 150,000..kama Unayo send Message to this number 0782882873
0 Reactions
0 Replies
691 Views
Ni simu nzima bila matatizo yoyote, n Sent from my BB
0 Reactions
0 Replies
923 Views
Hiyo simu inauzwa imetumika miezi miwili tu. Inacharger original na headphone original. Bei ni 320,000. If interested pm me please!
0 Reactions
8 Replies
1K Views
wakuu nauza nokia asha 200 kwa kiasi cha tshs.140,000/=. kama wahitaji nipigie simu namba 0715404808, simu imetumika wiki 3 tu! Nokia Asha 200 Nokia Asha 200 review: Dual SIMpatico...
0 Reactions
0 Replies
981 Views
wakuu nisaidieni nahitaji kununua matyre ya gari langu lakini nimezunguka kwenye maduka kila nikiulizia naambiwa hili kiasi fulani ni china mara hili la india mara hili ni Vee Rubber. jamani...
0 Reactions
21 Replies
31K Views
Kiwanja kinauzwa,kipo Kigamboni(mwongozo)kina hati na kimepimwa.Hamna dalali,simu yangu ni 0753875055
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Kuna yeyote anayefahamu hawa dealers wa hizi pikipiki za Honda Ace wako wapi? 2012 Honda Ace CB125 and Ace CB125-D – $627 Motorcycles for African Market | Motorcycle.com News
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Txup ma brethren n ccstas tc ma hp dat al of u your are cool.Am teking dc opportunity 2 anounce dat am selling a vehicle a kind of pickup hilux mashavu any one in need of it u can consult...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Kipo Mbezi Beach maeneo ya Tangi Bovu. Kipo upande wa kulia ukiwa unatokea Mwenge unaelekea Tegeta. Kipo ndani ya fence. Umeme na maji vinapatikana. Choo kipo kwa nje. Mazingira safi. Kodi 70,000...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
habari wadau, kama kuna anayewafahamu wanaotengeneza Tshirt za pure organic cotton naomba link yao, kwa maana ya website tafadhali. kampuni iwe Tanzania. asante sana
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom