Mimi ninauza Mbwa aina ya Belgian Shepherd Malinois, nimebakiza puppies wa 3. Majike 2, Dume 1. Wamezaliwa wana wiki 1 mpaka leo trh 21 July 2012. wamezaliwa puppies wa5 wawili wapo kwenye oda...
This is for all owners of the medium size restaurants/hotel and big families. Simgas Tanzania Limited has a complete solution for you by launching its second product gas 2000 after great...
Samsung Intel,Soler Energy, HD 300GB, Ram 2GB, Linux Deepin 11.12,Nyeusi
Software za Microsoft zote zinaingia,
Haiathiriwi na Virus
Bei 600,000/= maongezi yapo!
Inamiezi miwili tu...
husika na kichwa Cha habari,nahitaji blackberry Curve 8530 (curve 2) iliyotumika.. Pesa niliyonayo CASH ni 150,000..kama Unayo send Message to this number 0782882873
wakuu nauza nokia asha 200 kwa kiasi cha tshs.140,000/=.
kama wahitaji nipigie simu namba 0715404808,
simu imetumika wiki 3 tu!
Nokia Asha 200
Nokia Asha 200 review: Dual SIMpatico...
wakuu nisaidieni nahitaji kununua matyre ya gari langu lakini nimezunguka kwenye maduka kila nikiulizia naambiwa hili kiasi fulani ni china mara hili la india mara hili ni Vee Rubber.
jamani...
Kuna yeyote anayefahamu hawa dealers wa hizi pikipiki za Honda Ace wako wapi?
2012 Honda Ace CB125 and Ace CB125-D – $627 Motorcycles for African Market | Motorcycle.com News
Txup ma brethren n ccstas tc ma hp dat al of u your are cool.Am teking dc opportunity 2 anounce dat am selling a vehicle a kind of pickup hilux mashavu any one in need of it u can consult...
Kipo Mbezi Beach maeneo ya Tangi Bovu. Kipo upande wa kulia ukiwa unatokea Mwenge unaelekea Tegeta. Kipo ndani ya fence. Umeme na maji vinapatikana. Choo kipo kwa nje. Mazingira safi. Kodi 70,000...
habari wadau,
kama kuna anayewafahamu wanaotengeneza Tshirt za pure organic cotton naomba link yao, kwa maana ya website tafadhali. kampuni iwe Tanzania.
asante sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.