OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 428
COROLLA i 100 ipo ktk hali nzuri ukiichukua ni kwenda kuipiga rangi nyeupe tu ina full AC contact 0712 85 66 82 au 0715 63 70 61 Yombo dovya dsm
Bajaj Ni 5.5m Gari 3.8m ni ya wapi? Weka spec zake labda una shida ndo maana unauza
Hicho kimeo hicho,kiogopeni kama ukoma!
Duh! Hii gari au bajaji
gari 3.8M hii ni FOB au!, loh kitakua ni KIGARI na sio gari.
Watanzania bana.
Ikiwa aghali kelele, ikiwa nafuu kelele. Sijui wanataka iweje?
Ndugu yangu ulishawahi kupata matatizo? Mi nlishawahi kuuza shamba nililonunua kwa 5m kwa bei ubwete tu ya 3.5m. Ningefanyaje? Usithubutu kukutwa!! So waweza kuta jamaa anauza kwa sababu ana shida ya hiyo hela....Ohhh! shauri zako mkuu, kama unataka kutengeneza uswahiba wa karibu na mafundi kimbilia gari zinazouzwa cheeee kama hii corola
Watanzania bana.
Ikiwa aghali kelele, ikiwa nafuu kelele. Sijui wanataka iweje?
Hicho kimeo hicho,kiogopeni kama ukoma!