Tunahitaji dada mwenye ujuzi wa kazi za customer care mwenye sifa zifuatazo.
awe na umri usiozidi miaka 30.
awe na ufahamu walau kidogo wa lugha ya kiingeleza
Awe na uwezo wa kutumia computa hasa...
Je unataka chumba cha kupanga hapa jijini mwanza tafadhali tembelda http://joackim.thomas@facebook.com kwa maelezo zaidi au piga simu namba 0765936964.bei zetu ni nafuu karibu sana.....
Canon Digital Camera imeokotwa tarehe 10/07/12 saa 11 jioni maeneo ya Ubungo stand ya Mlandizi, mwenyewe alitafutwa kwa muda huo haukupatikana. Tafadhali kama kuna mtu anamjua aliyepoteza...
Wadau kwa wanaopenda kuwekeza kwenye aridhi . kuna uwanja mzuri upo katika eneo zuri la kibiashara hapa Upanga . ENEO lina Sqm 1894 unaweza kujenga apartment 2 kubwa ktka hili eneo au kitegauchumi...
Kiwanja hiki kipo karibu kabisa na kituo cha mabasi kina sqm 15 x 30. kwa sasa kiwanja hiki kimejengwa nyumba ambayo mnunuzi atavuja . ni kizuri kwa biashara ya hotel,supermarket , kituo cha...
imetumika kidogo,ni ya zyxel,nbg4115.ina vifaa vyote kama antena nk.ina ports mbili za ethernet na inaitaji modem au ule wire kutoka kwa isp.it transmits up to 150mbps.bei ni laki moja.kama...
Torch 9800 nyeusi used ina scratch housing yajuu kwa pembeni,inakaa sana na charge haina tatizo lingine,kuanzia 400,000 pungufu unaongea 0712000119 nipo Dar
SONY Camera ya kazi ambayo imetumika lakini ipo katika hali nzuri sana na ipo tayari kwa kuanza kazi.Kama mnavojua kampuni ya SONY ni moja ya kampuni zenye kusifika.
Camera hii itaambatana na...
SONY Camera ya kazi ambayo imetumika lakini ipo katika hali nzuri sana na ipo tayari kwa kuanza kazi.Kama mnavojua kampuni ya SONY ni moja ya kampuni zenye kusifika.Bei yake shs
2 milioni, kwa...
ni bei ya promotion,inarange btn 200,000-300,000,inategemea na contents uzazohitaji ziwekwe.Pia tunatengeneza blogs kwa 30,000-40,000.logos 15,000, banners 10,000.
Tupo Mikocheni A karibu na...
Nahitaji fremu kwa ajili ya kuweka ofisi ya mambo ya video production, maeneo ya Mwenge au Sinza. Kodi isizidi LAKI 2. Mwanye kuweza kunisaidia naomba tuwasiliane: richie_massive@yahoo.com
Kampuni mpya ya Ulinzi, Usalama na Inteligensia iinao Walinzi na Maofisa wenye sifa zifuatazo:
1. Jinsia:Wa Kiume na Wa Kike
2. Umri: Walio Na Miaka kati ya 20 na Kuendelea
3. Elimu: Walio na...
Nyumba ya vyumba vinne, sebule, jiko, dining na choo cha ndani. iko chanika - D'salaam.
Kiwanja iliyop hiyo nyumba ni kikubwa chapata heka moja na kimepandwa miti mbalimbali kama mifenesi, miembe...
naitwa ally riyami nauza b.berry curve 1&2 bei poa na laptop aina ya apple mack book air yenye 250gb hdsk,2ram duocore, ni laki 8 na nusu tu.mawasiliano ni 0652740304 its new
Network Type: WCDMA (3G)
Operating System: ANDROID
Main Screen Size: 4.7 inches
The main screen resolution: 1280 x 720 pixels
Mobile CPU: Quad-Core 1.5G
Running out of memory RAM: 1G
Thickness...
kutokana na watu kuwa na ufinyu wa mawazo kwa kutamani kusoma nchi ya nje lkn wanajiwekea kuwa lazima kutakuwa na mazingira magumu sasa nakutoa uoga huo.
yeyote anayetaka kusoma ulaya kwa level ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.