Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

2005 Toyota Mark II Blit 2.0IR Four with the following specs is up for sale: 2000cc 1G Engine, Anti-Lock Brakes / Driver Airbag / Passenger Airbag / Power Windows / A/C:front / Power Steering /...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu, mwenye gari aina hiyo, nahitaji kwa matumizi binafsi, isiwe mbovu, niko Dsm... Bubget yangu ni tsh. 5,000,000/=
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kama unauza MacBook Pro iliyotumika kidogo na yenye specs zifuatazo NiPM (Ukiambatanisha Picha Utakuwa Umerahisisha kazi) Originally released October 2011 Or Later 2.4Ghz (au zaidi) Intel dual...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Toyota Voxy Reg no T919 BUK. STATION WAGON(SILVER) ya 2002.PETROL ENGINE(capacity 1990)...IMETEMBEA KM 69641.BEI MIL 13... Contacts 0716 390 337 0764 468 469
0 Reactions
0 Replies
883 Views
nokia e71 inauzwa.... Ipo kwny good condtion... Ina watsup,nimbus,skype,adobe reader na you tube Bei sh.250000..... Pungufu tunaongea
0 Reactions
2 Replies
994 Views
Interested buyer please PM me
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mwenye hiyo smartphone ya lg optimus 3D, niko interested. Dau langu tsh 300,000
0 Reactions
1 Replies
906 Views
Shamba Linauzwa, liko maeneo ya Ilomba , ekari 11, kilometa 2.5 toka barabara kuu kwa kiasi cha millioni 200. Kwa mawasiliano tupigie no. 0762 380001 au 0754 277084 Asanteni.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kiwanja kimoja kipo Buyuni kina Sqm 988, eneo ni zuri na tulivu sana na kuna ujenzi wa nyumba nyingi nyingi za kisasa unaendelea. uwanja umenyooka hauna bonde hata moja .umepimwa, hati, offer na...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ninauza simu aina ya Ideos kwa kiasi cha sh. 120,000 tu Inatumia line zote, nipo Arusha 0717543373
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wadau mwenye kuhitaji hii kitu ni renault ya jeshi la ufaransa awasiliane na mimi kwa no 0754533784
0 Reactions
9 Replies
2K Views
guyz nahitaji digital camera my expenditure is tsh.50,000 kwa anaeuza a-post hapo chini
0 Reactions
2 Replies
1K Views
wakuu habar zenu.. natafu pick up ya kawaida tu ndo nahitaj.. yyte mwny nayo anitumie picha kwny email yng iddronaldo@yahoo.com
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Maelezo ya haraka, simu ni ya line mbili, ina Ana OS ya android ina wifi, inatumika kama wifi hotspot(ina supply wireless network kwenye computer 4 or 5) ina camera mbele na nyuma n.k Also known...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
This is to all owners of the medium size hotels/restaurants as well as big families. Simgas Tanzania limited has a complete solution for you. Simgas Tanzania limited is proud to launch its second...
0 Reactions
0 Replies
810 Views
Viwanja 21 vilivyopimwa vinauzwa huko Amani Gomvu kigamboni ni mwendo wa km 20 toka feri. kiwanja cha sqm ndogo kabisa katika hivi kina sqm 638. na kikumbwa kabisa kina sqm 1553. vipo jumla ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakubwa asalaam aleykum, natumaini mu wazima.ni kawaida yangu kuwajuza kuhusu biashara mbalimbali zinazopatikana hapa mjini nikiwa kama mdau wa jukwaa hili la biashara. kama nilivyo tambulisha...
0 Reactions
2 Replies
853 Views
Nyumba inapangishwa Mbezi luis mtaa wa mshikamano, umbali ni km 1.5 kutoka Morogoro Road, kodi ni laki 300,000/= kwa mwezi na inahitajika kodi ya miezi sita. Nyumba ni self contained, ina 3 bed...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Shamba linauzwa Mbeya Mjini, maeneo ya Ilomba, ukubwa wa ekari 11, kilometa 2.5 kutoka barabara kuu kwa bei Million 200. Eneo linafaa kwa kujenga shule nk nk Kwa mawasiliano tupigie no. +255...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa wadau wanafanya biashara ya Hoteli za Kitalii au Beach. Lipo eneo la Ekari tano lililopo Kikokwe- Pangani. Eneo hilo linaambatana na maeneo yenye Beach za kisasa za Ushongo Hotels (Emayan...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom