Ni UPS nzuri ambayo imetengenezwa na kampuni ya APC, mwenye kuihitaji bei ni maelewano tu
Inapatikana maeneo ya Mbezi beach na kwa mawasliano zaidi tumia frankgodlisten@yahoo.com au tuma sms kwa...
shamba ekari moja kwa bei ya million 5 maelewano yapo, lipo kibaha kwa mathias karibu na makao makuu ya chuo kikuu huria au open university, panaitwa viziwaziwa, ni umbali wa kama kilometre 4 toka...
Wakuu mimi si Dalali, ila kuna Mashamba na Viwanja WAMASAI WANAUZA KWA KASI YA KUTISHA ENEO LA KISONGO NA WAO KUKIMBILA HANDENI MKOANI TANGA, so kwa anaye hitaji mimi naweza mpeleka kwa mwenye...
Jamani tuna nyumba nyingi sana za kuuza hapa Dar es Salaam. hasa maeneo ya kinondoni, tabata, tegeta, makumbusho , mwananyamala mwenge na kijitonyama. kuna zaidi ya nyumba 100. bei zimeanzia 20m...
Ashden, the sustainable energy organization, is calling for applications for the 2013 Ashden Awards. They are looking for initiatives that are improving and increasing access of renewable...
Wadau ninauza set ya vifaa vya mazoezi vya body building ambavyo ni locally made ila ni vya chuma,,vifaa hivyo ni BARBELL yenye plate 6 (each plate ina uzito wa kilo 1O),DUMBELLS-set moja za kilo...
Wadau naomba mnipe ushauri na a way forward.
Mimi ni graduate ila si engineer ingawa nimefanya mambo ya construction pale UCLAS. Nimesajili kampuni ya contractors BREla sasa nataka kwenda CRB...
I posted this advert days ago
Hermes Power Inc: COCA COCA ADVERT, IS IT FARE FOR AFRICAN?
Then it appeared with translation on michuzi
Africa should think before others think
MICHUZI...
Samsung Galaxy S II ipo sokoni Imetumika kidogo haina tatizo lolote,
Ina original chaja, headphone battery pack (extra battery)
Specs: cpu ni 1.2 Duo core Ram 1GB display HD
Camera 8 megapix...
Shamba lenye ukubwa wa eka mbili na nusu linauzwa. Liko Vianzi maeneo ya Vikindu. Bei ni shs 10m lakini maelewano yapo. Kama unahitaji nipigie 0754 599929. sina dalali yeyote mawasiliano yote yaje...
Tunahitaji dada mwenye ujuzi wa kazi za customer care mwenye sifa zifuatazo.
awe na umri usiozidi miaka 30.
awe na ufahamu walau kidogo wa lugha ya kiingeleza
Awe na uwezo wa kutumia computa hasa...
Je unataka chumba cha kupanga hapa jijini mwanza tafadhali tembelda http://joackim.thomas@facebook.com kwa maelezo zaidi au piga simu namba 0765936964.bei zetu ni nafuu karibu sana.....
Canon Digital Camera imeokotwa tarehe 10/07/12 saa 11 jioni maeneo ya Ubungo stand ya Mlandizi, mwenyewe alitafutwa kwa muda huo haukupatikana. Tafadhali kama kuna mtu anamjua aliyepoteza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.