Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ni UPS nzuri ambayo imetengenezwa na kampuni ya APC, mwenye kuihitaji bei ni maelewano tu Inapatikana maeneo ya Mbezi beach na kwa mawasliano zaidi tumia frankgodlisten@yahoo.com au tuma sms kwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
shamba ekari moja kwa bei ya million 5 maelewano yapo, lipo kibaha kwa mathias karibu na makao makuu ya chuo kikuu huria au open university, panaitwa viziwaziwa, ni umbali wa kama kilometre 4 toka...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu mimi si Dalali, ila kuna Mashamba na Viwanja WAMASAI WANAUZA KWA KASI YA KUTISHA ENEO LA KISONGO NA WAO KUKIMBILA HANDENI MKOANI TANGA, so kwa anaye hitaji mimi naweza mpeleka kwa mwenye...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu naomba mnisaidie wapi ntapata Fundi wa Playstation 2 natanguliza shukrani
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani tuna nyumba nyingi sana za kuuza hapa Dar es Salaam. hasa maeneo ya kinondoni, tabata, tegeta, makumbusho , mwananyamala mwenge na kijitonyama. kuna zaidi ya nyumba 100. bei zimeanzia 20m...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
mwenye samsung tab 10.1" tuwasiliane. sms 0714 241 666
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ashden, the sustainable energy organization, is calling for applications for the 2013 Ashden Awards. They are looking for initiatives that are improving and increasing access of renewable...
0 Reactions
0 Replies
943 Views
HP Compaq 630 Intel® Core™ i3-380M (2.53 GHz, 3 MB L3 cache) Processor; 4 GB DDR3 Memory; 500 GB HDD; SuperMulti Dual Layer (fixed) DVD+/-RW; 15.6" LED HD Bright View display; WEBCAM 2.0MP...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Wadau ninauza set ya vifaa vya mazoezi vya body building ambavyo ni locally made ila ni vya chuma,,vifaa hivyo ni BARBELL yenye plate 6 (each plate ina uzito wa kilo 1O),DUMBELLS-set moja za kilo...
0 Reactions
4 Replies
7K Views
Wadau naomba mnipe ushauri na a way forward. Mimi ni graduate ila si engineer ingawa nimefanya mambo ya construction pale UCLAS. Nimesajili kampuni ya contractors BREla sasa nataka kwenda CRB...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Bata mzinga na kuku wa kienyeji wanauzwa kwa bei poa dar,,,kwa ma wasiliano piga 0712419419
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Rav4 inauzwa ipo safi, bei Tsh 14,000,000/= 0715287506.
0 Reactions
1 Replies
940 Views
wadau jf natafuta samsung galaxy s iliyotumika
0 Reactions
4 Replies
1K Views
I posted this advert days ago Hermes Power Inc: COCA COCA ADVERT, IS IT FARE FOR AFRICAN? Then it appeared with translation on michuzi Africa should think before others think MICHUZI...
0 Reactions
0 Replies
862 Views
Samsung Galaxy S II ipo sokoni Imetumika kidogo haina tatizo lolote, Ina original chaja, headphone battery pack (extra battery) Specs: cpu ni 1.2 Duo core Ram 1GB display HD Camera 8 megapix...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Shamba lenye ukubwa wa eka mbili na nusu linauzwa. Liko Vianzi maeneo ya Vikindu. Bei ni shs 10m lakini maelewano yapo. Kama unahitaji nipigie 0754 599929. sina dalali yeyote mawasiliano yote yaje...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tunahitaji dada mwenye ujuzi wa kazi za customer care mwenye sifa zifuatazo. awe na umri usiozidi miaka 30. awe na ufahamu walau kidogo wa lugha ya kiingeleza Awe na uwezo wa kutumia computa hasa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wandugu, Nahitaji nyumba ya kupanga yenye walau vyumba viwili vya kupanga IRINGA mjini. Tafadhali mwenye taarifa anijuze.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Je unataka chumba cha kupanga hapa jijini mwanza tafadhali tembelda http://joackim.thomas@facebook.com kwa maelezo zaidi au piga simu namba 0765936964.bei zetu ni nafuu karibu sana.....
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Canon Digital Camera imeokotwa tarehe 10/07/12 saa 11 jioni maeneo ya Ubungo stand ya Mlandizi, mwenyewe alitafutwa kwa muda huo haukupatikana. Tafadhali kama kuna mtu anamjua aliyepoteza...
3 Reactions
34 Replies
3K Views
Back
Top Bottom