Habari
Nauza nyumba ya vyumba 4 iliyo kwenye shamba la ukubwa wa mita 56 kwa 26
Shamba lina minazi, miembe, mfesi, mananasi na mazao mengine.
Bei Tsh 35,000,000 na tunaweza pia kuongea kwa aliye...
Awande General Enterprise (T) LTD
(AGE LTD)
Box 23134,Dar es Slaam
Email; ageltd@gmail.com
Maelezo ya watu wanaotafuta nyumba za kupanga au kununua Nyumba, shamba, kiwanja au gari nk.
Jina...
Honda capa ya mwaka 2000 rangi yake ni nyeusi imetumika mwaka mmoja ndani ya dar es salaam tu na inauwezo wa kubeba abiria watano na sehemu ya mizigo nyuma..uwezo wake wa kula mfuta ni mdogo sana...
Wanajamvi kuna nyumba ya vyumba 4, flemu 6 choo na bafu,ina wapangaji pia umeme full cealing board na imepakwa rangi inauzwa maeneo ya kibaha kwa mathias(msangani) juhudi,eneo hili la juhudi ni...
Used BB 9700 or BB 9300 Inahitajika..Unapewa 120k,with N95 (Original) Hacked,You wont Get Certificate Errors when You download Apps.. njoo Tufanye Biashara Number Yangu Ya Simu Ni 0718-882873,call...
Ni vitabu viwili, kila kimoja kina page 1300. Kurasa zake zina picha na michoro yenye rangi na ndio sababu sikuona umuhimu wa kuviprint kwenye printer za kawaida. Nahitaji nakala moja kwa kila...
Blackberry 9700 on sale......brand new it comes with 2 batteries,external battery charger na ipo kwnye box na components zake zote.....ambaye yupo interested pm me...........
Kwa wale wanaohitaji kushona suits za aina mbalimbali kike na kiume kwa ajili ya arusi na shughuli zingine, mkoani iringa kuna fundi wa ukweli anaitwa komba yupo karibu na kalenga...
Iphone 3g 8gb on sale price 300k,negotiable,but also
SWAPP business with other phone like BB or HTC can be done...just PM au try 0716 656967 for business.
Natafuta simu ya nokia N95 toleo la 2009 au zaidi. Kwa anaejua aliyonayo au kama unayo tuwasiliane kupitia email;
paulakwilini@gmail.com au paulakwilini@facebook.com.
Jamani wanaume wa tabora tujitokeze kwa wingi kufanyiwa tohara,ni bure hakuna gharama yoyote,kwa wanaume wenye umri zaidi ya miaka 18 unaweza kuja peke yako au na mkeo kufanyiwa tohara,kwa wenye...
Ndg wadau voucher za viwanja vya mradi wa Gezaulole zimetoka. Kwa wale amabo majina yao yalitoka wakafuatilie. Wale amabo hawakupata mimi nimepata lakini uwezo wa kulipia sina. Kama uko tayari...
Mie ni Certified Public Accountant (CPA) na nimesajili kampuni kwa ajili ya ushauri wa mambo ya biashara, na pia nimesajiliwa na TRA kama Tax Consultant. Kwa sasa nashughulikia leseni ya biashara...
Heshima kwenu wakuu, ninawiwa kutafuta wawekezaji, wawezeshaji ama wabia kwa ajili ya biashara yangu. Kifupi nina kampuni ya utoaji huduma za mikopo kwa wajasiliamali na wafanyabiashara wadogo...
je unahitaji kununua kiwanjana kipato chako kidogo?
kiwanja kipo Mabwe pande kinauzwa milioni 9 ni nusu heka kina michungwa na minazi 2.
Umeme upo .
kwa mawasiliano zaidi ni PM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.