je unahitaji kununua kiwanjana kipato chako kidogo?
kiwanja kipo Mabwe pande kinauzwa milioni 9 ni nusu heka kina michungwa na minazi 2.
Umeme upo .
kwa mawasiliano zaidi ni PM.
Toyota Carina ED ipo katika hali nzuri kabisa inauzwa. DETAILS ZAKE NI; MAKE/MODEL: TOYOTA CARINA ED; ENGINE: 4S, 1800CC; TRANSMISSION: AUTOMATIC, AWD; YEAR OF MANUFACTURE: 1994; ODOMETER...
Inafanya kazi na ipo katika hali nzuri kabisa bei sh 240,000 .
wasiliana na Habibu 0717810318
10x optical zoom with IS
Compact, stylish metal body
HS System, 10.0 MP CMOS sensor
Full HD...
nauza shamba, kubwa sana la ekari tano.
Lipo CHANIKA.
linafaa kufungua yard,kiwanda,shule,kujenga nyumba au kwa matumizi yako yoyote unayohitaji.
umeme upo na linafikika kwa gari hadi hapo...
Majina ya waliofaulu usaili wa kwanza kama karani daraja c na nafasi nyingine yametoka hapa Utumishi, bandari. Hivyo wanaitwa kwenye usaili wa pili wa mahojiano. Uje usome jina lako ujue siku ya...
Kiwanja hiki kipo hapa Ada Estate pembeni mwa barabara ya Tunisia kinatazamani na Luxury apartment . karibu kabisa na ilipokuwa hospital ya Moyo au leaders club kiwanja kimezunguziwa ukuta na...
eneo zuri sana linauzwa ,lina ukubwa wa eka moja . linafaa sana kwa ujenzi wa hostel na recreation center . ni mahali pazuri mnooo . bei ni milion 35 . pm kwa mtu atakaye hitaji.
NB: maelewano yapo.
NOKIA N91 MOBILE PHONE
Imetumika na inafanya kazi bei sh 90,000 .
wasiliana na Habibu 0717810318
Product Information
Groove on the go. This pumping mobile jukebox has room for up to 3, 000...
Hbr pple,
Naulizia msimu wa kuvuna alizeti Singida ni kipindi gani na bei hua kiasi gani na kwa kipimo kipi tafadhali....Kwa mwana Jf anaeishi Singida plz anitafute kwa msaada zaid.
ARGI+
ORDER NOW: TSH 124,000/-
0754 710870
0769 888605
0786 139316
0783 454523
Dr. Ferid Murad
Nobel Prize winning doctor discusses the benefits of L-arginine, Nitric Oxide and Argi+
Shamba lenye ukubwa wa hekari 3 na nyumba sebule kubwa,vyumba vitatu.
Liko kati ya chanika na mvuti barabara ya lami bei m50
DALALI HATAKIWI.
0716883848
Ipo Mbezi Luisi ina vyumba vinne vya kulala, sitting room, dinning,store,bathroom na toilet.Iko karibu na barabara ya Morogoro njia ya kuelekea Makabe.Iko Kilometer 1 hivi toka hifadhi ya...
Wana mjengo nauza shamba la ukubwa wa ekari tatu. Shamba hilo lipo umbali wa km 2.5 toka barabarani. Shamba lina mananasi yanayozaa, miembe ya kisasa 150 na minazi 25. Bei ni 50Milioni tu. Piga...
Wakuu naomba msaada wenu, hasa kwa wale walioko nje ya nchi, natafuta mahala naweza kufundishwa soft skills, kama vile business communication skills, speech preparation and delivery, power point...
used very little and in excellent condition in Mint condition, only TSH 300,000/= serious buyer PM me
unlocked, it is both CDMA and GSM, use any simcard,
include ; phone, battery, battery cover...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.