Umejianda anda aje? Maana sinza ya leo sio ile ya mwaka 47,waweza lipia 300 kwa mwezi? Mwaka mzima.
Mdau mimi niko nayo laki nne kwa mwezi nataka kodi ya mwaka mzima sitanii,,,
Siko nyumbani kwa sasa lakini jamaa zangu wako hapo na walimpangisha mtu kiasala
Mda si mrefu kodi yake itakwisha kama una uwakika unataka nyumba nitafute na nitawasiliana
na watu wa nyumbani
wakatabau
sawa ndugu, lakin huyo mtu anamaliza lini, kwasababu na mimi nimejipanga kuanzia wiki ijayo, na ipo maeneo gani?
kwa 300 kwa mwez sio mbaya pia kama nyumba ipo katika hali nzuri
Sio rahisi kupata nyumba ya laki 3 Sinza labda kama ni Sinza(Tandale) Uzuri
Jamaa anamaliza Nov mwaka huu sasa kama wiki ijayo nisikucheleweshe kutafuta kwengine,,cha msingi sihitaji dalali maana wamenisumbua sana......