Nauza RAV 4 Short Chasis

HAKUNAGA

JF-Expert Member
Jan 3, 2012
301
72
Nauza RAV 4-short Chasis, ya mwaka 1998, metalic blue in colour, imeingizwa inchini na kuanza kutumika mwezi April 2012. Imelipiwa kodi zote. Kama vp nicheki kwa namba 0713-632526.

 
weka tangazo linalojitosheleza kiongozi!ukiambatanisha picha,bei hali ya gari na vile vyote unavyo fikiri wewe ungependa kuvijua kabla ya kununua gari!
 
Skia gari ipo bomba sana, bei ni Tshs 13M. Nimeambatisha picha yake.
 

Attachments

  • CIMG2728.JPG
    CIMG2728.JPG
    457.9 KB · Views: 524
Wamichosho unaweza kuweka bei na picha kwa ku edit post yako ya kwanza ili kuwarahisishia wanunuzi wanaopita humu
 
Picha hiyo imepigwa kabla ya kufungwa namba za Tanzania, namba inayoonekana kwenye picha hiyo ni ya Japan.Gari hiyo ina rangi ya metalic blue (dark). Bei ni kama nilivyotaja awali yaani Tshs 13,000,000/=.


 
Picha hiyo imepigwa kabla ya kufungwa namba za Tanzania, namba inayoonekana kwenye picha hiyo ni ya Japan.Gari hiyo ina rangi ya metalic blue (dark). Bei ni kama nilivyotaja awali yaani Tshs 13,000,000/=.



Hebu piga picha baada ya kufunga plate namba za tz. Ama unaishi japani mkuu? maana hayo majengo tz hayapo. Kama utakuwa serious mi offer yangu ni tzs 10,000,000.00
 
Mkuu naomba uweke recent picture (yenye usajili wa hapa bongo) isije ikawa ulipata mzinga ukanyoosha kisha unataka kubambikiza. Weka picha tukupe shekeli.
 
Wadau naomba niwafahamishe kuwa sikukimbia bali nilikuwa na mishe mishe nyingine hvyo sikupata muda wa kuipiga picha. Hata hivyo kwa mwenye nia ya dhati picha hizi hapa japo zimepigwa muda wa jioni.
IMG0036A.jpg IMG0040A.jpg IMG0037A.jpg IMG0038A.jpg
 
Kama ni MAMA D au yeyote yule aliye serious gari bado ipo, kama vp nicheki kwa namba 0713632526
 
Back
Top Bottom