nyumba nzima inapangishwa MOSHI katika eneo la makazi mapya SOWETO karibu sana na hospitali ya St. Joseph. Ina fence, uwanja wenye garden nzuri, gate na eneo zuri la bustani call or tuma sms 0715...
FAIR DEAL AUTO(PVT)LIMITED wauzaji wakubwa wa BAJAJI na pikipiki Tanzania wanawaletea ofa kabambe ya IDDI ELFITRI katika bidhaaa zifuatazo
PIKIPIKI
BOXER 150CC 1,970,000TSH
BOXER 100CC...
Kampuni ya uhakika ya kukusaidia kukupatia mali uitakayo (Nyumba, viwanja, mashamba, magari) au kukuuzia mali unayotaka kuuza imeanzishwa na wasomi wa Chuo kikuu. Sasa huhitaji kutapeliwa na...
Habari zenu wana JF,
Katika zungukazunguka yangu kwenye mtandao nimekutana na hii kitu wanaita Home Income Package
ambapo waweza kufanya kazi online na ukalipwa kwa application fee ya...
Habari wanajamvi wakubwa na wadogo, nahitaji nyumba yakununua maeneo ya temeke , mbagala, isiwe kigamboni na vile vile ofa yangu ni mil 25 naomba kuwakilisha
nataka kutengeneza banner na flyers, natafuta profesional camera man wa kunipigia hizi picha, kama wewe ni mtaalamu wa hii kitu au unafahamu mtaalamu naomba uni-PM
asante!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.