Kuna sehemu iko Mwananyamala Komakoma, iko barabarani lakini parking kidogo ni mzozo, mwenyewe anauza pamoja na vitu vyote ie freezer, viti, meza ,tv ect. Kama uko interested unaweza kuniPM nikakuunganisha naye ukaenda kuina hiyo sehemu.
Kuna sehemu iko Mwananyamala Komakoma, iko barabarani lakini parking kidogo ni mzozo, mwenyewe anauza pamoja na vitu vyote ie freezer, viti, meza ,tv ect. Kama uko interested unaweza kuniPM nikakuunganisha naye ukaenda kuina hiyo sehemu.
Nilichokuwa nimaanisha ni kuwa, mwenye baa naye kapanga but anataka kubadili biashara kwahiyo anauza vitu vyake vyote vya baa na inabidi umrudishie na pesa yake ya kodi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.