Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari, Natafuta housemate Nimepata nyumba kijitonyama, mtaa wa kakobe (mtaa 1 kabla ya barabara ya Africa sana - K'nyama) mita 100 kutoka barabara ya science- mtogole...natafuta housemate...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jumba lipo Temeke, Mbagara maji matitu lina sifa zifuatazo km 2 toka barabarani na km 22 toka posta mpya kumbuka ujenzi wa barabara ya kisasa unaendelea umeme maji vipo chini tiles juu qypsum...
0 Reactions
34 Replies
5K Views
Ndugu wanaJF Kuna mtu anataka kuniuzia Galaxy Tab Model GTP1000M IC. 649E iko poa au? msaada wenu tafadhali
0 Reactions
0 Replies
749 Views
Wakubwa nauza toyota camry ya mwaka 1998,namba inaanzia b,imeingia nchini mwaka 2010,bei ni sh milioni tano na nusu,cc 1998,engine ni 4s
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ninahitaji corolla spacio new model haraka sana.Cha msingi gari iwe kwenye hali nzuri na offer yangu haizidi 9M.Kama unayo wasiliana nami kwa namba zifuatazo:0714652377 au 0768224663.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nauza suzuki aerio, ipo kwenye hali nzuri sana bei ni sh 9,million namba zake zinaanzia C, picha will coming soon.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimetumia 6 months, haina dosari, bei 60,000 tu. Contact 0714-408238.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
wakuu habari,nina vyombo vyote vinavyohusu biashara ya chips,nipo dar na vyombo vyenyewe vpo dar,vitu ni kama kabati,majiko mawili moja la pumba lngne la mkaa,na jngne la kuchomea mishkaki,pamoja...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Mwenye simu ambayo ni smartphone ya ukweli aina yoyote ila bei nafuu isizidi 200000. Alienaye anicall au sms. 0713807758 au 0784838036. Niko serious!
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Tangaza Marketing Solutions(TMS): Ni Kampuni inayojihusisha na Advertising,Marketing & Promotions: Pia ni wakala wa Renew Earth Technology(RET) kwa ajili ya kutoa huduma ya ulinzi wa simu na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari ya saa hii wana JF, Aisee mi natafuta trekta complete yaani ikiwa na tela na jembe. Nlipita suma jkt wakaniambia mzigo umekwisha hadi february. Wadau kwa anaejua wapi zinauzwa mpya au used...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ninahitaji haraka spacio new model yenye hali ya kuridhisha.Nipo serious kabisa na offer yangu haizidi 9M.Kama unayo wasiliana nami kwa namba zifuatazo:0714652377 au 0768224663.
0 Reactions
0 Replies
766 Views
Niwekeeni hapa contact zake tafadhani nina bonge la deal nataka kumshirikisha..........
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ninatafuta wafasiri wa lugha za Shona<>Kiingereza, Ndebele<>Kiingereza na Oromo<>Kiingereza, yaani kutoka na kwenda Kiingereza. Ikiwa wewe unaelewa angalau moja ya lugha hizo na/au kama unamjua...
0 Reactions
0 Replies
902 Views
Nahitaji fundi wa kunifanyia wiring kwenye kanyumba kangu kapo salasala, kama wewe ni fundi wa umeme au kama unafahamu fundi mzuri wa umeme tafadhili niambie au niPM contanct zako/zake
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau ninauza set ya vifaa vya mazoezi vya body building ambavyo ni locally made ila ni vya chuma,,vifaa hivyo ni BARBELL yenye plate 6 (each plate ina uzito wa kilo 1O),DUMBELLS-set moja za kilo...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Natafuta machine za kutengeneza mikate,mpya au zilizotumika. 1:Oven ya umeme au gas. 2:mashine ya kukanda unga. 3:mashine ya kukata mikate. 4:Na kama zipo tools za aina nyingine za...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
mkaa mzuri unapatikana gongo la mboto kwa bei cheeee. kiroba cha kilo 25 kwa tshs. 12,000 tu na kiroba cha kilo 100 kwa tshs.35,000 tu BILA USAFIRI. UNAJITEGEMEA USAFIRI. Namba ya simu0717039283
1 Reactions
1 Replies
1K Views
wadau chumba kimoja kwa ajili ya ofisi au biashara kinapangishwa bei ni shs 150,000/= kwa mwezi,kodi inapokelewa ya mwaka...kwa mawasiliano piga 0756 090222
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nauza moderm mpya ya zantel nimetumia mara moja tu ile ofa yao ilipoisha kwa bei ya punguzo ya 25000/= Au kubadilishana kwa universal modern inayotumia line zote za simu PLEASE PM
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom