wana jamii
incubator za mayai 24- laki 6
mayai 176 kwa 1m na mayai 264 1.3m
zote ni automatic na multi function
zinatumia umeme kidogo namade in china soko la EU certificated approved.
kwa...
hi all,
nauza flat screen computer monitor HP LE1901W (search it on google ukipenda) imetumika wiki 3.unatest kabisa.niko dar.price ni Tshs laki na 70 (this is very cheap confirm it on google au...
Kiwanja cha ukubwa wa sqm 2,941 ( low density )
kimetengwa kwa ajiri ya makazi
kipo Bunja Block A​
kimepimwa,
kinahati
ni umbali wa km 1.5 toka bara barani
eneo tayari lina miundombinu ya...
Habari wakuu,
Nina gari yangu Chaser avante gx100, nahitaj sehem ya kuikodisha kama ofis, hotel au popote pale angalau iweze nisaidia kidogo kujiaptia kipato..
Gari ipo katika hali ya upya ina...
Kama mnavyojua tupo ktk mchakato wa kuhamia kwenye ulimwengu wa digital.
Startimes tunapokea mtu anayetaka kuwa wakala wa kuuza ving'amuzi, antena, wirecable kwa mda huu ambapo demand ya...
USED LISTERPETTER 27KVA UK GENERATOR Price: $US 8,000
HI ALL IM SELLING USED UK LISTER PETTER 27KVA GENERATOR WITH THE FOLLOWING SPECIFICATION
21KW
AMPS 37
V 415
3 CYLINDER...
kama kichwa cha habari kinavyosomeka.nauza HTC 1x tsh 750000/-used kama mpya.rangi ni nyeupe.
GENERAL
2G Network GSM 850 / 900 / 1800 / 1900
3G Network HSDPA 850 / 900 / 1900 / 2100...
Habari Wakuu,
Kiwanja kinauzwa Nusu Heka, kipo Mbezi Beach Jogoo, upande wa Baharini km 3 kutoka bagamoyo Road ,kilomita 2 kutoka baharini. Bei TSH. Mil.600 . mazingira yake ni Mazuri kwa Kwa...
Kiwanja kipo mita 20 toka baharini kinatizamana na geti la Hospitali Kuu ya Wilaya ya Bagamoyo, vinatenganishwa na barabara, kinafaa sana kwa biashara ya duka kubwa la dawa, jumla na rejareja...
www.asaliwamoyo.co.tz
Asali wa moyo - Mtandao wa Urafiki na Mahusiano kwa Kiswahili.
Asali wa moyo ni mtandao unaokuwezesha kutafuta marafiki na mwenza wako kwa njia ya mtandao. Lengo kubwa la...
Natafuta nyumba nzuri ya kupanga yenye compound shared maximum wapangaji 3 wenye heshima na familia ndogo au ya peke yake yenye uzio pia na parking safi...iwe na vyumba vya kulala viwili (kimoja...
Natafuta kiwanja ambacho kiko sehemu nzuri na kiwe na hati ambacho bei yake isizidi milion 6
wapendwa nitashukuru
hata kama hakipo maeneo tajwa hapo juu lakini kipo eneo zuri nitafikiria baada ya...
Wandugu, nina stationery shop USA River - Arusha na nataka kuanza kuuza cartons za photocopy papers kwani nimeona upo uhitaji mkubwa toka kwa wateja wangu. Badala ya kununua ream moja moja...
Inaitajika 12 million kwa mark ii
Inaitajika 27 million kwa Rav 4.
Gari zote ziko katika hali nzuri.(just imported)
Mazungumzo ni sehemu ya biashara.
piga/tuma ujumbe > 0762193767
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.