Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nina kakamera changu sony handcam kamekatika mkanda wa scrin yake nikatumia vlc nayo imekata sasa haionyeshi kitu kabisa ila inarecodi haina hata miezi 6 tangu ninunue
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wandugu nahitaji kununua Wi-Fi SD Card kama hii hapa chini kwenye picha Wapi nitapata jamani?
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Tunauza nondo na vifaa vingine kama angle iron kwa jumla na rejareja. Bidhaa zetu ni za ubora wa hali ya juu,tupo kinondoni morocco karibu na jengo la airtel,pia warehouse zetu zipo mbagala. Kwa...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Hello wadau, Kutokana na shida ya ghafla inayonikabili sina jinsi ila kuuza kiwanja changu maeneo ya Goba-Kinzudi karibu na shule ya Rightway international School kimefanyiwa survey na kina block...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Gari Tajwa hapo juu inahitajika haraka sana. Budjet ni 14m isizidi 72km. Dar es salaam ndio inako hitajika. Kama uko na gari hii tafadhali wasiliana kwa mail hii ford_298@hotmail.com Wasalaam...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari hapo juu nipo dar. Unataja aina gani na bei yake. Asante
0 Reactions
3 Replies
979 Views
Scania 93/280 6X2 1995 C&F DAR TZS MIL. 35
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana Jf.Nina uza mayai ya kuku wa kienyeji.Kwa anae hitaji anipm.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Haya jamani nna iphone 3gs 32Gb, ios 5.0.1, iko katika good condition.... Nahitaji kilo 3 (laki 3)
0 Reactions
9 Replies
1K Views
ina vyumba vitatu vyote ni self contained, ipo mikocheni kwa warioba karibu na oxford library/bookstore. bei ni 1000 usd kwa mwezi. muhitaji piga 0654363028
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu habari zenu. Jamaa yangu wa karibu anauza gari lake aina ya opa. Bei 8,250,000 tsh Maelewano yapo Gari lipo dar Namba yake ya simu 0716554555. Gari imetembea kilometa 100,300
0 Reactions
0 Replies
2K Views
incubator kuanzia mayai 24 kwa 6.5l y mayai 176 8. na mayai 264 1m mpya .full automatic multi function 220v maelezo zaidi 0718656566
0 Reactions
1 Replies
785 Views
Natafuta mkopo wa Laki saba na riba ntalipa laki 2, mwisho wa mwezi huu. Dhamana niliyonayo ni kadi yangu ya NSSF ambayi ina mil.1 (hata na Passport yangu kama atahitaji).alienayo anicheki kwenye...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
incubator ya mayai 24 kwa 650k incubator ya mayai 176 kwa 8k incubator ya mayai 264 kwa 1m incubator ya mayai 1024 kwa 1.2m kinu ya chakula 1.2m machine zote mpya na certificat approved 220v...
0 Reactions
0 Replies
716 Views
Habari wanajamii,nahitaji tablet pc ya kununua,either ipad,android based or playbook,betry iwe inaweza kuvumilia matumizi mazito,natanguliza shukurani
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Galaxy note inauzwa-750,000 used 2months good condition +255 756 412 337
0 Reactions
0 Replies
623 Views
Shamba la hekari 16 linauzwa lipo wilaya ya Tameke Dar es Salaam Amani gomvu ni mwendo wa 32km toka feri ya magogoni shamba lipo tambalale gari linafika mpaka shambani umeme upo umbali wa 1.km...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
habari wadau kuna rafiki yangu anahitaji gari aina ya TOYOTA CORONA T I!!mwenye nayo tuwasiliane lakini atoe sifa za hiyo gari pamoja na GHARAMA halisi............negotiable
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ninaweza kupata wapi plow used oliyo kwenye hali nzuri kutoka UK au US? Hii ni kwa ajili ya massey ferguson hp 70.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
HTC Wildfire kwa 190,000/- kama unataka nitafute kwa 0713218388. Haina tatizo lolote
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom