Bajaj 4stroke inauzwa ipo katika hali nzuri imetembea miezi 6 toka inunuliwe ni kama mpya
ipo maeneo ya sinza kumekucha
bei 3.5 milioni
contact
0714812375
nauza piki piki yangu bomba aina ya Kawasaki D tracker,
COLOR: BLACK
DESIGN: STREET BIKE
CAPACITY 250cc
PRICE = 5,000,000/=
MAONGEZI PIA YAPO.
CALL 0715353108
mwamalekela@gmail.com
Touch and type with a stylish look, 5 mp camera with a flash, 8GB internal memory, with a card slot tht supports up to 32GB microSD card. Used but in mint condition. The price is Tsh 450,000...
Ukubwa heka 10 lina mikorosho na minazi, lipo karibu na makazi ya watu ni zuri kwa matumizi yoyote, gari linaingia, bei Tsh 2m kwa heka, nitafute kwa 0717000990/0764434673
Nauza hii camera ya Fujifilm ambayo imetumika Uingereza na ipo katika hali nzuri na haina tatizo lolote.In 10.0MP na inakuja na charger pamoja na Battery mpya 4 za kuchaji pamoja na memory card ya...
Anatakiwa mhudumu kwa ajili ya kumhudumia bibi mzee-hajiwezi,kazi kubwa ni kumpikia na kumuosha.
Anayetakiwa ni mhudumu wa kike,umri kati ya 18-35,kabila yoyote,kazi iko DAR.,kula na kulala...
Habari Watanzania wenzangu.
Ninaombi maalumu ninatafuta ofisi ya kupanga kuna kampuni nimefungua ndio natafuta ofisi, uwezo wangu wa kulipia pango si zaidi ya laki moja. Bahati mbaya sina pesa ya...
inahitajika nyumba ya kupanga dar,maeneo ya kinyerezi,ukonga,kurasini au segerea,iwe na maji,ndani ya fensi,hata kama haina maji,basi iwe na tank la kuhifadhia maji,vyumba vitatu.Aksanteni sana
Hello wana JF
Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya chang'ombe......napendelea iwe maeneo ya TCC ama upande wa Mchicha. Iwe na room moja na sebule yake pia.
Regard,
Bwana Kimbunga
Wadau poleni kwa ufupi wa Tangazo.
Mosi, tuna import na export bidhaa kuja China na kutoka nchi mbalimbali, ikiwapo Tanzania. Tupo nchini China.
Tunatafuta wadau wa kudumu watakaokuwa tayari...
Ndugu wadau nahitaji kiwanja kwa wakazi wa arusha chenye at least ukubwa wa 22 x30. Hii ni minimum kama kipo kikubwa zaidi ni vema pia. Kiwanja kisiwe porini sana na pia kisiwe mjini. Kiwepo...
Wadau, merry x-mass!!!
Nilinunua ka simu kangu ka blackberry #8100 nilipojaribu ku download skype inasema hii simu hai support skype. Ninachotaka kujua ni blackberry kuanzia number ngapi ina...
Memory card mpya za 2 gb na warrant ya mwaka mzima kwa sh elfu 6500 tuuuuu!!! nicheki kwa 0764435828 au 0718512630 nipo Mabibo wahi mzigo ni mchache...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.