Nina kakamera changu sony handcam kamekatika mkanda wa scrin yake nikatumia vlc nayo imekata sasa haionyeshi kitu kabisa ila inarecodi haina hata miezi 6 tangu ninunue
Tunauza nondo na vifaa vingine kama angle iron kwa jumla na rejareja. Bidhaa zetu ni za ubora wa hali ya juu,tupo kinondoni morocco karibu na jengo la airtel,pia warehouse zetu zipo mbagala. Kwa...
Hello wadau,
Kutokana na shida ya ghafla inayonikabili sina jinsi ila kuuza kiwanja changu maeneo ya Goba-Kinzudi karibu na shule ya Rightway international School kimefanyiwa survey na kina block...
Gari Tajwa hapo juu inahitajika haraka sana. Budjet ni 14m isizidi 72km. Dar es salaam ndio inako hitajika. Kama uko na gari hii tafadhali wasiliana kwa mail hii ford_298@hotmail.com Wasalaam...
ina vyumba vitatu vyote ni self contained, ipo mikocheni kwa warioba karibu na oxford library/bookstore.
bei ni 1000 usd kwa mwezi.
muhitaji piga 0654363028
Ndugu habari zenu.
Jamaa yangu wa karibu anauza gari lake aina ya opa.
Bei 8,250,000 tsh
Maelewano yapo
Gari lipo dar
Namba yake ya simu 0716554555.
Gari imetembea kilometa 100,300
Natafuta mkopo wa Laki saba na riba ntalipa laki 2, mwisho wa mwezi huu. Dhamana niliyonayo ni kadi yangu ya NSSF ambayi ina mil.1 (hata na Passport yangu kama atahitaji).alienayo anicheki kwenye...
incubator ya mayai 24 kwa 650k
incubator ya mayai 176 kwa 8k
incubator ya mayai 264 kwa 1m
incubator ya mayai 1024 kwa 1.2m
kinu ya chakula 1.2m
machine zote mpya na certificat approved
220v...
Shamba la hekari 16 linauzwa
lipo wilaya ya Tameke Dar es Salaam
Amani gomvu ni mwendo wa 32km toka feri ya magogoni
shamba lipo tambalale
gari linafika mpaka shambani
umeme upo umbali wa 1.km...
habari wadau kuna rafiki yangu anahitaji gari aina ya TOYOTA CORONA T I!!mwenye nayo tuwasiliane lakini atoe sifa za hiyo gari pamoja na GHARAMA halisi............negotiable
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.