Nyumba ya kisasa ya ghorofa inauzwa,ipo maeneo yenye upepo mwanana ya Mbezi Beach karibu na bahari ya Hindi,nyaraka zote muhimu zipo ikiwa ni pamoja na title deed, lengo la kuuza ni mhusika...
Kiwanja kina ukubwa wa ekari moja kasoro mita 15. Unashuka kituo cha daladala seminari juma ya kituo cha tanesco. Kipo karibu na World Vision kilometa 1 mbele kina bikoni pia. Bei 40mil...
kuna kipindi kulikuwa na gym nzuri pale oilcom lakini imefungwa, hivyo nauliza wadau ni wapi kuna gym iliyo karibu na maeneo ya ubungo au sinza?
Than you!
WE ARE PROFESSIONALS IN GSM INDUSTRY FOR THE FOLLOWING SERVICES
UNLOCKING ANY GSM PHONES
IPHONES
NOKIA
SAMSUNG
ALCATEL
BLACKBERRY
UNLOCKING ANY GSM MODEM
ZTE
HUAWEI
VODAFONE...
TRUE ROAD TECHNOLOGIES Limited is a Tanzanian leading career andpersonal development company established in November 2012 to spearhead personaland career development programs in Tanzania. It does...
pls jaman kwa anaeuza laptop aina ya dell au hp au aina nyengine iwe na hdd 500 gb na kuendelea ram 4gb nakuendelea iwe na speed nzuri na betri zuri isiwe imechoka sana. Nipo dsm makumbsho...
NOKIA Asha 200 used kwa miezi saba inauzwa kwa 110000 tuuu!!!!!! hizi ni sifa zake
4 gb of Ram
2 line or sim card
rrm 761 (nokia)
virtual variant
language v 10.60
20-01-12
nipo mabibo nicheki...
Mashamba matatu yenye ukubwa wa ekari 1. Yapo kata ya Visiga kituo cha madafu. La kwanza lipo kilometa 1 na nusu kutoka morogoro road, bei 3.5mil. La pili lipo kilometa 4 kutoka Morogoro road, bei...
lilikuwa Shamba na sasa limebadilishwa matumizi na kuwa makazi hivyo kinauzwa kiwanja
Eneo: Bunju A. Block F
Umbali: 2.5 km toka barabara kuu iendayo bagamoyo
kinafikika kiurahisi ...
wadau,
Naomba maujuzi(legal requirements ) na baadhi ya details kwa wenye ufahamu juu ya biashara hii..ningependa kujua mara baada ya kusajiliwa brela kampuni yangu/frm natakiwa kujisajili na...
Wadau habari za leo?
Mimi natafuta vitabu vya hadithi vile vya zamani; nataka vya kununua. Kama kuna mdau hapa anafahamu wapi naweza kuvipata tafadhali nijulishe kwa PM.
Vitabu vifiuatavyo:-...
Nahitaji mkopo wa haraka nina biashara zangu,maduka, nipo kariakoo, ninahitaji mkopo unaoanza mil.30 ,naomba masharti ili niweze kupata huo mkopo.ahsanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.