Salama wadau,..
Opa inauzwa na ipo katika hali nzuri (imported)
Dau 11 million
Maongezi yanakaribishwa kwa mnunuzi mwenye nia.
Piga/tuma ujumbe > 0762193767.
karibuni nyote nauza vifaranga mbegu ya australia na malawi wale kuku wakubwa sana,kifaranga kimoja ni 2000.Ni rahisi kuwafuga na maelezo mazuri nitakupa kuwakinga na maradhi na vyakula vizuri vya...
Kiwanja kipo km 30 kutoka mbagala
ni njia iendayo kusini mwa tz,,
nauza mill 1.3 maelewano yapo
kina hati ya serikali ya kijiji
ni robo ekari kipo nusu km kutoka barabara kuu iendayo rufij na...
Shamba lipo Mlandizi, Bagamoyo road, shamba lina mikorosho, minazi na miembe, lina ukubwa wa ekari 15, gari linafika mpaka shamba lipo karibu na makazi ya watu mawasiliano 0717000990/0764434673 au...
htc one x special edition for beats by dr dre,it is brand new in box with beats by dr dre earphone,charger for charging,usb wire,crystal case,screen protector and sim card ejector.am selling this...
Habari
Natafuta nyumba chakavu in Dar ambayo iko barabarani kwenye mzunguko waa watu wengi ambapo unaweza kufungua biashara, Chaa msingi iwe sehemu Nzuri ambapo badae unaweza kujenga naa kuweka...
USED LISTERPETTER 27KVA UK GENERATOR Price: $US 8,000
HI ALL IM SELLING USED UK LISTER PETTER 27KVA GENERATOR WITH THE FOLLOWING SPECIFICATION
21KW
AMPS 37
V 415
3...
Nauza samsung galaxy s2, used, imetumika miezi mitano. Inakuja na accessory zote plus screenguard na black cover, haina scratches kwenye screen. Bei tsh 560000. Kama uko interested nipm, au...
Yard ya kuuzia magari
ina ofisi ya vyumba 3 pamoja na viti na meza zake
na choo na store pamoja na flem kubwa kwa mbele
eneo la kuengesha magari ya kuuza magari 20 mpka 25 kwa wakati mmoja...
Wauzaji wa kampuni ya kuuza mazao ya asili ndosa mmari supply wanayo furaha kukutaarifu ya kwamba wanatoa punguzo kwa bidhaa yao ya mafuta ya ubuyu..
Kwa mawasiliano: +255716955722...
Habari wana JF,naamini ya kumu ni wazima na MUNGU anaendelea kuwajalia,kama nilivoeleza hapo juu,Mtu unaweza kuwa na ndoto flani zako ili utimize ila unashindwa kutokana na sababu flani, nasema...
Naandika mashairi na tenzi zenye vina na mizani kwa shughuli tofaut kama sherehe ya harusi, kipaimara, ekaristi, ubatizo, send off, birthday, nk. Mashairi ya faraja, mapenzi, ujasiri nk. Bei ni...
Nauza VOLKSWAGEN PASSAT 2001 MODEL.
Gari lipo katika hali nzuri
Comprehensive Insurance till November 2013.
The car is available for test drive.
Gari imeingia nchini March 2011, Namba zinaanza...
Wakuu nilikuwa na kuku wa nyama (wa kisasa) 500 nimeuza wamebaki 150.bei yangu ni Tsh 4500 each.Wanauzito wa wastani si wadogo (Sijapima uzito wao).kama unahitaji ni pm au piga no.0763953759...
Huwezi amini lakini ndio hivyo tena,kwa wale wenye pesa zao na wanahitaji kupamba vyumba vyao kwa kuweka kapeti ktk ukuta basi tupo kwa ajili yenu,bei zetu ni nzuri usisite kuwasiliana nasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.