Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu wa nchi natafuta Gari ndogo kwa ajili ya shughuli zangu binafsi kama Kuna mtu anayeuza kati ya hizi Gari please let me know please contact 0752027966.au kama nikipata Vitz au starlet...
0 Reactions
4 Replies
955 Views
Wadau natafuta laini hizo nilizitaja hapo juu!!! Ili biashara iwe nyepesi napenda zaidi uwe unapstikana mtwara mjini.... Unaweza nipata kutumia namba 0762036146 ili tuongee biashara!!!
0 Reactions
0 Replies
856 Views
Natafuta galaxy note 3 original, ikiwa mpya au used sio shida ila iwe katika hali ya kuridhisha kiasi cha kunishawishi kukutunukia kiasi cha tshs tembo 40 chap chap (400k), naihitaji leo kabla...
1 Reactions
4 Replies
963 Views
1. Nyumba Vyumba2, Sebule, Choo ndani na Jiko. Bei laki4/Mwezi, kodi ya Miezi6. Ipo MbeziBeach Tankibovu. Mawasiliano: 0713226191
0 Reactions
15 Replies
8K Views
Habari wakuu, Nauza gari aina ya nissan civilian (bus) Plate namba T781 CVN Gari ipo ktk hali nzuri Bei; milioni 33 (kuna maongezi pia) Contacts; 0714 521 128
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari zenu wadau, Naomba kuuliza kwamba, nina Sh. Mil 1.5, npo Kwimba/Mwanza naweza pata Muziki ambao naweza nikapigia sehemu za wazi kama vile kwenye sherehe mbalimbali kama harusi, mahafali...
1 Reactions
39 Replies
12K Views
Kipo Dar wilaya ya Ilala jimbo la ukonga kata ya Kipunguni, kina urefu wa futi 29 na upana wa futi 19 barabara ipo na umeme upo karibu utonunua mchanga wakati wa ujenzi wala maji mnunuzi serious...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wana Bodi. Kuna Mashamba yanauzwa Mikese, Morogoro. Yapo 2km kutoka barabara kuu. Bei: Laki saba (700,000) kwa ekari 1. Tuwasiliane kwenye PM na 0767 836 872 Asante
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wewe ni oil skin? Unasumbuliwa na chunusi? Unasumbuliwa na mafuta usoni? Uko soft na unahitaji basic care? Je unahitaji kung'aa kialisia? Tunavyo vitu asilia kwaajili yako. Wasiliana nami kwa oda...
0 Reactions
17 Replies
6K Views
Unataka kung'aa bila kutumia vitu vyenye chemical na kuharibu ngozi yako?tumia essential fairness na silk white glow. Kwa oda/ ushauri/ kuanza biashara......wasiliana nami 0717 343635
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Kama Tangazo linavyosema nauza Simu Aina Ya Blu for 80,000 na maongezi yapo. Ina kila kitu including earphones na ni mzigo Mpya kutoka south africa. Kwa mawasiliano zaidi nicheki kwneye namba hii...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nauza pikipiki aina ya skymark, inatembea na ipo katika hali nzuri, tairi zake ni mpya kabisa, imesajiliwa kwa namba mpya na kwa jina langu mwenyewe Sababu ya kuiuza, nimechoka kutembelea...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Pata Viwanja vilivyo pimwa na visivyo pimwa, kuanzia square meter 700 adi 5000. na wenye matumizi makubwa ya ardhi ikiwa ni makapuni na watu binafsi tuna Ekari 1 adi 10 sehemu moja. Viwanja viko...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wanaJF! Nna bajeti ya mil5 - 7 natafuta kiwanja cha kujenga mkoa wa Kilimanjaro, Manispaa ya Moshi mjini, maeneo yafuatayo: - Rau (hata Uru ya mwanzo) - KCMC - Soweto - Shah Tours (hata...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Kwa yeyote anayeweza kusuply kwangu ARTIFICIAL SAUSAGE CASING au UTUMBO ulioandaliwa tafadhali ni P.M. Nahitaji sana..nipo Dar.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hi ni kwa wanawake na wanaume wanaopenda ngozi zao, kama unataka kuwa na ngozi mcharo bhas chukua moja kati ya hizi na matokeo yake, utafurah.... Hazichubui kwahyo wanaotaka kuwa weupe...
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Wakuu na wadau wa kilimo.. Ningependa kuelewa soko la VIAZI vitamu Dar es salaam likoje. Mara nyingi zao hili linalimwa na kuvunwa kwa msimu hasa miezi ya kiangazi, je soko lake nalo ni kwa msimu...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Processor intel 1.60Ghz RAM 2.00 GB Hard disk 80GB Battery life 5 hours( Ina extended battery) Price:200,000 Haina tatizo lolote.. Phone no..+255654145154 tufanye biashara
0 Reactions
2 Replies
789 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…