Mabwawa yako matatu. Yana jumla ukubwa wa mita za mraba 4500.
Yana uwezo wa kufuga samaki 45,000.
Mahali: Wilaya ya Magu mkoa wa Mwanza
Kilomita 2 kutoka Barabara ya Mwanza - Musoma...
kiwanja kipo Tegeta A karibu na Ghoba tunapitia mbez mwisho ukubwa n 15 kwa 20 kina msingi wa vyumba vi3 na sitng room ,, bei n million2 na nusu 2,500,000/=
mawasiliano 0712846799
Nauza mziki huo kwa 350000 tu..used kwa 6months ni wa 1000watts na original price ni over 1milion but nauza cheap hivyo kwakuwa ni bila deki yake. Utatumia kwa deki yako. Wahi uwe wako.. 0689315582
Ewe kijana, jasimalika kwa mtaji mdogo kabisa ujipatie kipato.
Pata viatu kwa bei ya jumla kuandia 8500-13000.
Kuanzia 10. Unaweza kuchanganya aina tofauti tofauti kwa pair 3katika kila moja...
Kwa mahitaji ya kurekebisha Computer...kama haiwaki au ipo slow,Ku install Windows xp,7,8,10 au Apple OS.Data Recovery za flash memory cards pamoja na Harddisk. Ofisi ipo kariakoo mtaa wa msimbazi
Jipatie raba makini, zinadumu, vyepesi kutembelea
size 40-45
Bei 25000
Mkoani natuma ila gharama za usafirishaji ni zako mteja.
watu wa Dar home delivery ni jumamos na jumapili tu. Na...
Nauza ipad 1 3G inatumia line,GB 16
HAINA CAMERA
BEI LAKI 2 TUUU
NICHEKI 0655 44 44 40
Nauza HDD 1T
BEI elfu 80 TUU
PIA IPO HP DV 2000
USED NA INA UDHAIFU KIASI NA INAFANYA KAZI
BEI LAKI 2...
A US$700m landmark finance deal struck by Etihad Airways Partners (EAP) to fund expansion has been recognised by the prestigious market intelligence organisation International Financing Review...
Habarini jamani nahitaji msumeno mdogo ule wa umeme. Mara nyingi wanatumia kukatia mbao ndogo ndogo ili kuweka maua. Mwenye nao aweke bei tufanye biashara uwe mzima
Niina galaxy note3 ipo njema but kwa bahati mbaya juzi kati imenyofoka kile kiplastiki cha ku protect camera na flash kwa nyuma nilipokuwa nikifungua mfuniko wake wa nyuma. Mbaya zaidi kilivunjika...
Nyumba inauzwa ipo maeneo ya vetenary temeke.Ina
1.master room moja
2.guests rooms mbili
3.sebule/seating room moja
4.jiko
5.public toilet ya ndani
6.public toilet ya nje
7.visima vya maji viwili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.