Plot4Sale Gongo la mboto Markaz

Swordfisher

JF-Expert Member
May 1, 2013
233
37
Jamani Kiwanja chenye ukubwa wa Square meters 1000 na hati kinauzwa Gongo la mboto karibu na msikiti wa Markaz. Bei yake ni Sh. Milioni 30 na mazungumzo yapo.
Eneo linafaa kwa makazi au Biashara kama ya Hosteli za wanafunzi wa chuo kikuu na Shopping center. Umeme upo kwenye eneo na maji yako karibu. Ni tambarare na kipo kwenye eneo tulivu lenye majirani wastaarabu.
Alie na uhitaji karibu PM.
 
mi natafuta chumba maeneo ya huko gomz..bajet 25,30,35, had 40
....mazingira safi na yenye usalama ww
a kutosha..ikiwa karbu na barabra vizr zaid
 
Jamani Kiwanja chenye ukubwa wa Square meters 1000 na hati kinauzwa Gongo la mboto karibu na msikiti wa Markaz. Bei yake ni Sh. Milioni 30 na mazungumzo yapo.
Eneo linafaa kwa makazi au Biashara kama ya Hosteli za wanafunzi wa chuo kikuu na Shopping center. Umeme upo kwenye eneo na maji yako karibu. Ni tambarare na kipo kwenye eneo tulivu lenye majirani wastaarabu.
Alie na uhitaji karibu PM.

Je kimepimwa? na kina hati ya kutoka ardhi?
 
TE="king90, post: 16177108, member: 222338"]Je kimepimwa? na kina hati ya kutoka ardhi?[/QUOTE]
Kina hati kutoka wizarani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom