Nauza shamba lipo Morogoro, Maeneo ya Kiegea, Bwawa la kihonda kwa bei rahisi..kutoka Msamvu dk 40 kwa pikipiki unaweza kuchimba kisima Tuwasiliana kwa namba hii 0716792692 Asanteni
chagua chako kwa 15000 tu,
size 37-41
Mkoani natuma ila gharama za usafirishaji ni zako mteja.
watu wa Dar home delivery ni jumamos na jumapili tu. Na unachangia 2000
napatikana makongo...
yanini ujenge bila mpangilio na kusumbuka kwa ukalabati wa mara kwa mara katika nyumba yako.
kwa kulijua hilo tutakutatulia usumbufu wa dhahama zote hizo
piga 0624084819 sasa kwa ramani za
NYUMBA...
Make : TOYOTA
Model : Cami
Mileage : 116000km
Engine size : 1290cc
Fuel : Gasoline/Petrol
Drive : four wheels drive (4WD)
Steering : Right
Transmission : Automatic
Ext. Color : Silver...
Kwa wale wakazi wa Dar es salaam
Nyumba inakodishwa iko wilaya ya Temeke (Mbagala kizuiani),
Vyumba vitatu, dinning room, sitting room na jiko.
Ina eneo kubwa la parking
Umeme na maji
Iko mita...
Natafuta mtu aniprintie cheti changu cha chuo kimoja cha chuo cha ufundi cheti kimepotea na imeshindikana kupata kingine. Msaada jamani duu hali mbaya kinahitajika haraka sana malipo yapo mazuri...
Nyumba Ipo safi ina vyumba vitatu na Kimoja master ambacho kina AC, Jiko safi sebule na mazingira mtulivu, maji yapo na tank la maji Juu, Ipo mabatini ya kutoka Africa sana, lami mpaka getini, bei...
Nyumba ipo Sinza Near kwa Remi Dakika 5 tu toka barabarani, inajitegemea ndani ya geti
Sifa zake
3bdrom & 1self contained, kitchen, sitting room, store, public toilet, tiles, gypsum, Allminium...
Kwa harufu nzuri za asilia kutoka katika mimea mbali mbali ikiwemo viungo na maua. Karibu ujipatie perfume original kabisa perfume pendwa katika soko la vipodozi dunian kote.
Wasiliana nami kwa...
Ni aje wanajamvi....
1. Kama unataka software package ya Adobe CS6 ama CC, Microsoft Office 2007 / 2010, Cinema 4D R14 na nyingine nyiiingi basi niPM namba yako. Nainstall na ninakuachia na copy...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.