Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wanajamvi, Kwa wale wanahitaji kiwanja Arusha ukubwa wake ni 26 kwa 22 hakina mgogoro wowote nahitaji pesa tu. Huduma kama maji, umeme na barabara vyote zinapatikana, Mandhari murua unapata...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Ukubwa: square meter 602 kilipo: Mbweni JKT karibu na Baharini Bei: maelewano mawasiliano: 0754570615 au 0715570615
0 Reactions
5 Replies
1K Views
About Big one enterprises Bigone logistic inakupa suluhisho la kupaua kuanzia ushauri wa kukupigia hesabu mabati mangapi yanahitajika katika nyumba yako kwa njia ya ramani au kufika site kwako...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Shirika la ndege la Etihad leo limefungua rasmi jumba jipya la kifahari kwa ajili ya kupumzikia abiria wake katika uwanja wa ndege wa Melbourne, Australia. Jumba hilo ni mahususi kwa kuwapatia...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Andika text whatsapp yenye jina la software unayohitaji, mahali ulipo na idadi. Tutakupigia kukupa bei.... Kwa wateja wa Software zaidi ya tano unapata moja for pc bure. Piga 0718653453 COFOSS...
1 Reactions
0 Replies
692 Views
Line tajwa hapo juu znahtajika kama unazo tafadhar ntafte 0758323543, 0674743890
0 Reactions
2 Replies
864 Views
Hop
0 Reactions
0 Replies
633 Views
Wadau hata ikiwa kwa laki mbili siyo mbaya muhimu isiwe vidala dala viwili kwenda vingunguti secondary school
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu nauza kuku wa kisasa(broilers) kwa elfu nane.Ni wakubwa sana wanapatikana kwa dar es salaam na jirani na dar usafiri juu yangu.Kama upo interested nicheki 0715867505
0 Reactions
1 Replies
763 Views
Wasiliana: 0752953860 Aina: Dell Optiplex 170L Hard Disk: 80Gb Ram: 1.5Gb Processor: 3Ghz Monitor: Dell inch 14'
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Wakuu Nina uhitaji wa kuku wa kienyeji wa kufuga / vifaranga wenye umri WA mwezi mmoja na zaidi Kwa sehemu Za Morogoro. Kama kuna mtu anaweza kuwa nao Naomba tuwasiliane. Wanahitajika Kwa wingi.
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Shamba lipo sehem moja inaitwa mtamba kwa mzungu mkoa wa pwan lina documents tambulish,gari linafika had Shamba Contact 0656 698232
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau kuna Nyumba inauzwa iko KIBAHA kwa mfipa,ina vyumba 4,choo na jiko ndani.Eneo liko square na lina ukubwa wa Mita 20*40.Bei ni 65M. Hakuna dalali, wasiliana na mmiliki mwenyewe kwa namba...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kiwanja kinauzwa kipo Mkuranga maeneo ya dundani karibu na shule ya msingi mita 40 kutoka barabara ya Kilwa road . Kina upana wa mita 30 na urefu mita 40 kina miembe 3 minazi 5 na migomba 5...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Viwanja Kwa ajil ya ujenz wa makaz na shughul nyngne vinapatkana Kwa ukubwa wa 20/20 Contact 0656 698232
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama una plot kuanzia nusu eka vikiandu hadi dundani karibu na barabara na umeme na pia gari kubwa ziwe zinafika kwenye kiwanja. Kama unacho weka ukubwa na bei
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Simu ni Mpya kabsa haijatumika bei sawa na bure ya tsh 320000 niko Dar call me 0716453777 unapewa na accessories zake
0 Reactions
0 Replies
702 Views
Nyumba ina vyumba vtatu (1master&2single ),sitting room, public toilet,umeme unawaka, kisima cha maj na hayana chumv,nyumba ipo Barbara ya mtaa
0 Reactions
0 Replies
688 Views
Nataka kufanya hiki kilimo but nimepata changamoto ya kuipata eneo. Mi naish DSM nlienda kule Kimbiji Kijaka.. But nlishauriwa hakuna rutuba na kilimo ni challenge kidogo. Nikashauriwa niende...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Back
Top Bottom