Seeing is believing! *viewing advised** This house comprises of study/Tv room, living room, dining room, kitchen, store and three en suites. If you don't want to take a car every time you head off...
Hi guys..kwa wale wapenz wa ujasiriamali..wenye alerg na.umasikin..wapenda chapaa..wabunifu..wanaopenda kujiajiri wwnyewe..karibu sana ndan ya rock city.mwanza.GOLDCREST HOTEL tar 17.4.16 saa 9...
- Nabadilisha mikanda/tape za vhs kwenda mfumo wa digital yani kuziweka kwenye memory au dvd e.g. mikanda ya maharusi, vipaimara, etc (vhs tapes to modern digital video conversion...store in...
Duka la vipodozi linauzwa liko tabata relini ni sehemu nzuri na ni barabarani kabisa.anayehitaji anipm.being n 5M namuachia kila kitu na kodi imelipwa mwaka mzima.
Wakuu wa nchi natafuta Gari ndogo kwa ajili ya shughuli zangu binafsi kama Kuna mtu anayeuza kati ya hizi Gari please let me know please contact 0752027966.au kama nikipata Vitz au starlet...
Wadau natafuta laini hizo nilizitaja hapo juu!!! Ili biashara iwe nyepesi napenda zaidi uwe unapstikana mtwara mjini.... Unaweza nipata kutumia namba 0762036146 ili tuongee biashara!!!
Natafuta galaxy note 3 original, ikiwa mpya au used sio shida ila iwe katika hali ya kuridhisha kiasi cha kunishawishi kukutunukia kiasi cha tshs tembo 40 chap chap (400k), naihitaji leo kabla...
Habari zenu wadau,
Naomba kuuliza kwamba, nina Sh. Mil 1.5, npo Kwimba/Mwanza naweza pata Muziki ambao naweza nikapigia sehemu za wazi kama vile kwenye sherehe mbalimbali kama harusi, mahafali...
Kipo Dar wilaya ya Ilala jimbo la ukonga kata ya Kipunguni, kina urefu wa futi 29 na upana wa futi 19 barabara ipo na umeme upo karibu utonunua mchanga wakati wa ujenzi wala maji mnunuzi serious...
Habari wana Bodi.
Kuna Mashamba yanauzwa Mikese, Morogoro.
Yapo 2km kutoka barabara kuu.
Bei: Laki saba (700,000) kwa ekari 1.
Tuwasiliane kwenye PM na 0767 836 872
Asante
Wewe ni oil skin? Unasumbuliwa na chunusi? Unasumbuliwa na mafuta usoni? Uko soft na unahitaji basic care? Je unahitaji kung'aa kialisia? Tunavyo vitu asilia kwaajili yako.
Wasiliana nami kwa oda...
Unataka kung'aa bila kutumia vitu vyenye chemical na kuharibu ngozi yako?tumia essential fairness na silk white glow.
Kwa oda/ ushauri/ kuanza biashara......wasiliana nami 0717 343635
Kama Tangazo linavyosema nauza Simu Aina Ya Blu for 80,000 na maongezi yapo. Ina kila kitu including earphones na ni mzigo Mpya kutoka south africa. Kwa mawasiliano zaidi nicheki kwneye namba hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.